zanzibar

  1. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Zanzibar mbioni kuanzisha shirika lake la ndege ''Zanzibar Airline''

    Zanzibar iko katika mazungumzo na wawekezaji, ikiwa ni sehemu ya hatua zake za kuanzisha shirika la ndege la kitaifa. Mpango huu unaonekana kama hatua ya kimkakati ya kuboresha miundombinu ya usafiri wa anga na kukuza sekta ya utalii visiwani humo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar wanaongezwa mishahara halafu sisi Watanganyika TUCTA inasema hatuhitaji mshahara kupanda. Kwa mantiki hii najitoa CWT

    Mafuta yamepanda bei. Maisha yamekuwa ghali. Wazanzibari wanaongezwa mshahara Watanganyika tunaambiwa eti pesa zilitumika kwenye uchaguzi na nyingine zitatumika kwenye kukarabati uharibifu uliofanywa na Gen Z waliotaka kupindua nchi. Jumatatu najaza fomu na kujitoa CWT.
  3. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Muslims wa Tanzania (bado) wako poa, shida ni Zanzibar!

    Kwa mujibu wa pew research center 41% ya Muslims wa tanzagiza wanasapoti sharia au wangependa sharia iwe sheria ya nchi vs 39 % ya Christians wangependa Biblia iwe sheria mama ya nchi i.e tuishi kwa kufuata Biblia amri 10 za Mungu ziwe supreme, kulinganisna na muslims wa kwingineko bado hali...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Unahisi ni mkoa gani ungepewa hadhi ya muungano kama Zanzibar ungekuwa na maendeleo sana kuzidi hata Dar ?

    Kuna mikoa ingepewa hadhi ya kuwa nchi ndogo kama Zanzibar ndani ya Muungano ingekuwa mbali sana. Je unauona mkoa gani na kwa sababu zipi Kwa mtazamamo wangu nahisi mikoa hii ingekuwa mbali sana Kilimanjaro ingekuwa so far, Kuna mwamko mkubwa wa elimu, utamaduni wa kupanga na kushirikiana...
  5. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Zanzibar hapana!! Wanapenda kwenda Mahakamani

    Nipo Zanzibar nimemleta Mtuhumiwa escort. Hawa jamaa wanapenda kupelekana Mahakamani Mi muislamu ila hawa jamaa wana roho mbaya
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ukitoka nje ya Tanzania ndio utajua kuwa kumbe hatujulikani sana tunapitwa hata na Zanzibar na Zimbambwe

    Nadhani tuna safari ndefu sana kujulikana kimataifa sijajua kwa upande wa western countries sana ila ukanda wa cental asia na southern asia na oceania countries bas Tanzania haijulikani kabisa hata ukiwatajia raia wa kawaida kuitamka ni shida. Ila kuhusu safari tour wanajua ni kenya pekee...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Simba 3-0 Mlandege | New Amani Zanzibar Kombe la Muungano | 26 Aprili 2026. Fainali ni Simba vs Yanga

    Mnyama anaunguruma Zanzibar, Dabi ipo pale pale hakuna kukimbia Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 inatarajiwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Simba, hiyo ni baada ya Simba kuitafuna Mlandege Magoli 3 -0 kwenye Nusu Fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Aprili 26, 2026. Fainali hiyo inatarajiwa...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live From Tunguu Zanzibar: Kongamano Kuadhimisha Miaka 62 ya Muungano Wetu Huu Adimu na Adhimu, Tutaulinda kwa Gharama Yoyote ili Udumu Milele!

    Wanabodi, Kupitia TBC, matangazo ya moja kwa moja, live Mubashara kutoke Tunguu Zanzibar: Nawaletea Kongamano la Vijana la kuadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika Viwanja vya Tunguu - Zanzibar ambapo mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa CCM na Rais...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chande. Imevunja Umoja wa Tanganyika na Zanzibar

    Tunzeni hii kumbukumbu
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Spika Mstaafu Samweli Sita. Zanzibar wakijifanya kiburi, wazimieni Umeme

    Hayati Samwel Sitta alivekuwa Spika Mstaafu. alidokeza kwamba Zanzibar hawana mito na umeme wote Unatoka Tanganyika. MY TAKE; Je, kwa mauaji ya 29 Oktoba 2025, kwanini Zanzibar tusiwakatie Umeme? Sikutegemea Wazanzibari watuue bila Huruma. Kumbuka Abdul Hafidh Samia Suluhu, Issa Khatibu wote...
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania Khanga kubwa kutoka Zanzibar zinapatikana

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Zimebaki pc 7. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 2,000/= tu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Polisi inamshikilia Joe McCann, Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee kwa mahojiano

    Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar linamshikilia Joe McCann ni Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee Jenae" kufuatia tukio la kifo chake lililoripotiwa kutokea siku kadhaa zilizopita baada ya kukutwa amejinyonga katika chumba cha hoteli. Akizungumzia tukio hilo leo April 14...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Mrembo wa Marekani, Ashlee wapanga kwenda Zanzibar, kufuatilia chanzo cha kifo cha binti yao

    Wazazi wa Ashly wanaendelea kutafuta majibu kuhusu kifo cha binti yao. Katika mahojiano yao ya kwanza na chombo cha habari cha kitaifa, CBS wazazi wa Ashly Robinson, mshawishi wa mitindo ya maisha wa Marekani mwenye umri wa miaka 31 aliyefariki chini ya mazingira yasiyoeleweka akiwa likizoni...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje kesi ambayo mpaka sasa inasema ni TZ wakati Zanzibar kuna raisi

    Muungano wa ajabu nchi hii.Yani kesi ya mwanadada mmoja wanatangaza ni tanzania ina maana tanzania ni znz.
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera akutana na kuzungumza na viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar

    Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera ambaye ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ameendelea na ziara ya kukutana na wadau mbalimbali wa nchini Tanzania ambapo leo Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar. Dkt. Chakwera pia alipata fursa...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Chakwera akutana na Othman Masoud pamoja na Babu Duni, Zanzibar

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman akiambatana na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Juma Duni Haji, leo Jumatatu Aprili 13, 2026 wamekutana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Rais mstaafu wa Malawi, Lazarus Chakwera Mjini Unguja, Zanzibar. Katika kikao...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Dream trip, deadly end: The unanswered questions surrounding Ashlee Jenae's death at Zuri Zanzibar

    A 31-year-old Miami influencer arrived in Zanzibar to celebrate her birthday and a surprise engagement. Seven days later, she was dead — and her fiancé's account of events has triggered a storm of disbelief from family, friends, and thousands online. What began as a picture-perfect...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Petroli kuuzwa Tsh. 3500 Zanzibar kuanzia Aprili 9, 2026

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) leo April 8 imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zitaanza kutumika rasmi kuanzia kesho Alhamisi April 9 2026 ambapo bei ya Petrol imeonekana kupanda hadi kufikia shilingi 3,500. Bei mpya zilizotangazwa leo ambazo zota kwa pamoja...
  19. Inside10

    JamiiForums Tanzania TANZIA Meya Mstaafu Mahmoud Mussa Wa Jiji La Zanzibar Afariki Dunia

    Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Zanzibar, Ndg. Mahmoud Muhammed Mussa amefariki Dunia leo Aprili 6, 2026. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Familia ambapo Maziko yatafanyika kwake Fuoni Mambosasa na Maiti itaswalia Msikiti wa Mwembeshauri...
  20. Ileje

    JamiiForums Tanzania Zanzibar inavyoichafua Tanzania (Tanganyika) kimataifa

    Zanzibar kwa kutumia mamlaka yao ya ndani imekuwa ikisajili meli za walanguzi wa madawa ya kulevya na kuwaruhusu kutumia bendera ya Tanzania. Hali hii imeiweka Tanzania katika hali mbaya sana kimataifa kuwa nchi inayosambaza dawa za kulevya duniani na hivyo kushusha hadhi kama moja ya nchi...
Back
Top Bottom