Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman akiambatana na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Juma Duni Haji, leo Jumatatu Aprili 13, 2026 wamekutana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Rais mstaafu wa Malawi, Lazarus Chakwera Mjini Unguja, Zanzibar.
Katika kikao...