zanzibar

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kumbe Zanzibar hawana mchango wowote kwenye pato la Taifa. Inaumiza sana.

    https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha_ya_mikoa_ya_Tanzania_kwa_Pato_la_Taifa
  2. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Kufariki na kuzikwa nchi ya Tanganyika rasmi 1964 sio makosa ya Zanzibar na Wazanzibar ni makosa Mwl Nyerere

    Kufariki na kuzikwa nchi ya Tanganyika rasmi 1964 sio makosa ya Zanzibar na Wazanzibar ni makosa ya Baba yenu,Mtakatifu wenu,Mwenyeheri Nyerere. Daima Wazanzibar wapo sahihi kujivunia Uzanzibari wao hata pale unapotaka kujaribiwa kuzikwa kwa tamaa za siasa za kimabavu. Wazanzibar wanayo haki...
  3. Akhi

    JamiiForums Tanzania Operator watano wa backhoe wanahitajika Iris Zanzibar

    Ndugu wana JF habari ndo hii wano ndugu zao au wewe mwenyewe operator wanahitajika haraka sanaa Mimi nakuunganisha moja kwa moja na boss
  4. K

    JamiiForums Tanzania Usalama wa wageni waimarishwa Zanzibar, je ni chanzo cha ongezeko la watalii?

    Naibu Waziri,Ofisi ya Waziri mkuu kazi,vijana,na ajira pia mbunge wa chama cha mapinduzi jimbo la Shinyanga mjini Mh Paschal Katambi ametembelea katika uwanja wa ndege wa Shekh Abeid Amani Karume Zanzibar kwaajili ya ukaguzi wa mifumo ya usalama na utoaji huduma kwa wageni wanaoingia nchini na...
  5. radhiya

    JamiiForums Tanzania Khanga kubwa kutoka Zanzibar zipo

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 18,000/=. Karibu kuchagua na kuweka oda yako, tupigie 0784 829565. @radhiyastore @prathrealestate
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Waarabu Zanzibar na Watutsi maziwa makuu wote walikuwa walowezi wakoloni

    Ukoloni Zanzibar haukuanzia kwa waingereza bali kwa walowezi waarabu wa Omani ambao walihamia zanzibar pamoja na ndugu ya sultani wao ambapo walimuweka akawa sultani wa zanzibar na kuanzisha utawala wa ukoloni wa kilowezi wa kiarabu. Waomani hao wakatawala eneo la zanzibar na pwani ya afrika...
  7. Eva_Eva19900000

    JamiiForums Tanzania Looking for angel investors for bar business in Zanzibar

    We have an idea in which we open a bar with imported beer in Zanzibar. The bar will have a classy central European style, designed to deliver an unforgettable social experience in one of East Africa's most iconic tourist destinations. The bar will attract both international visitors and local...
  8. radhiya

    JamiiForums Tanzania Khanga kubwa kutoka Zanzibar Zinapatikana

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 18,000/=. Karibu kuchagua na kuweka oda yako, tupigie 0784 829565. @radhiyastore @prathrealestate
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania ACT: Tunaitaka SMZ, itoe ufafanuzi kuhusu usahihi wa gharama za Miundombinu ya AFCON Zanzibar

    Prof. Omar Fakih Hamad, Mnadhimu wa ACT Wazalendo, Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ndugu Wanahabari! Hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu, aliyetujaalia uhai na uzima na kutuwezesha leo hii tukajumuika pamoja hapa katika ukumbi wetu wa Chama kwa ajili ya kuzungumza nanyi masuala yaihusuyo nchi...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia Aongoza Kamati Kuu ya CCM Zanzibar

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mapema leo mjini Zanzibar.
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Zanzibar, Julai 2, 2026

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Zanzibar Jumatano tarehe 29 Julai, 2026.
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nyerere alishauriana na nani kuunganisha Tanganyika na Zanzibar?

    Suala la muungano sio suala la hitaji binafsi la mtu maana ni suala ambalo linagusa taifa vizazi na vizazi. Ninadhani mpaka kufika suala la kuungana au kutoungana ilibidi maoni yakusanywe kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili . Yani kama ilivyo utaratibu wa kupiga kura za rais ilibidi iwe...
  13. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Huyu bodaboda mkazi wa chakani unguja zanzibar kafariki ndugu zake hawajulikani

    Yeyote atae mfahamu awasiliane na jeshi la polisi, au afike hospitali ya jitimai, ambapo mwili wake umewekwa. Wapambanaji tunaondoka makwetu tunakuja ugenini tunapitia mengi sana, lakini ni muhimu pale tunapo pata viridhiki kidogo tujitahidi kuanzisha familia, vuta demu ghetto WA kuishi nae...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Sawa Kikwete waweza kuwa huongozi nchi kwa remote ya Zanzibar lakini vetting ya 2015 itakutafuna

    Kikwete ulizingua Mwaka 2015 baada ya kulazimisha Kato amchague Samia kama Mgombea mwenza, Tetesi zipo ambazo zingine hatuna ushahidi nao kwamba ondoa kete namba moja ili iliyokakaribu itimbe KINGI, mnaocheza draft mnaelewa kete ya KINGI ina nguvu gani, kila kete ikaayo njiani inapita nayo...
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano usilolijua usiku wa kiza

    Baadhi ya vitabu vya historia ya Zanzibar vilivyopo Maktaba Huwa nasoma nyuzi hapa JF mtu anaandika kuwa John Okello ni Baba wa Taifa la Zanzibar. Anaishia hapo. Ukimuuliiza kama anajua historia ya mapinduzi ni ubishi tu na mjadala kurefuka bila ya sababu. Ukimuuliza kama anaijua kambi ya...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Eneo la Michenzani, Jumba Namba 2 kuna uchafu ambao unaharibu taswira ya mji - Zanzibar

    Mimi ni mkazi wa Zanzibar na napenda kuwasilisha kero kuhusu hali ya usafi katika eneo la Michenzani, Jumba Namba 2. Eneo hilo limekuwa na mazingira ya uchafu ambayo hayalingani na hadhi ya eneo la mjini na lenye shughuli nyingi. Hali hii si nzuri kwa afya ya wananchi na pia inaharibu mwonekano...
  17. radhiya

    JamiiForums Tanzania TURU Villas For Sale at Zanzibar

    TURU VILLAS IN ZANZIBAR Turu villas is an exclusive collection of 12 private luxury located in the prestigious Kiombamvua area of Zanzibar. 40min from ferry, 35-40min from airport, 10min walk to the beach, 10min walk to the 9-hole golf course. Features: •2 bedrooms villas. •Boutique 12 villa...
  18. WIDERANGE AFRICAN SAFARIS

    JamiiForums Tanzania 2 Days Mikumi Safari Package from Zanzibar

    The 2 Day Mikumi Safari from Zanzibar is a fly in adventure with minimal travel time, featuring exciting game drives in Mikumi National Park to see elephants, lions, giraffes and more, guided by experts, with a quick return to Zanzibar. Packages typically start around $600 to $900+ per person...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Zanzibar futeni history ya kusema Karume ni mwanamapinduzi yenu

    John Okello alikuwa Mzaliwa wa Uganda ambaye aliongoza Mapinduzi ya Zanzibar ya tarehe 12 Januari 1964 yaliyomuondoa madarakani Sultani Jamshid bin Abdullah. Hata hivyo, baada ya mapinduzi hayo, ushawishi wake ulianza kupungua haraka. Baada ya Sheikh Abeid Amani Karume kurejea Zanzibar na kuwa...
  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM Zanzibar impe heshima yake John Gideon Okello

    Inajulikana kuwa aliyeongoza mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 ni mganda aliyejulikana kwa jina la John Gideon Okello, lakini CCM Zanzibar haitaki kumtambua wala kumpa heshima yake. CCM tunawajua ni wabinafsi lakini hili la kutokumpa heshima yake aliyeongoza mapinduzi ya Zanzibar litawagharimu...
Back
Top Bottom