zamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Mapito wanayopitia CHADEMA na Viongozi wake kama wangekuwa wanapitia CCM basi chama kingekuwa kilishakufa zamani

    Nakiangalia mapito wanayopitia CHADEMA na Viongozi wake kama ndiyo wangekuwa wanapitia CCM,basi chama kingekuwa kilishakufa zamani. Naamini ni mda wa kukipa madaraka chama cha Chadema kama kukomaa kimekomaa zaidi ya CCM ni vile tu serikali haitaki kuruhusu uchaguzi huru maana hata wanachama wa...
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, afariki dunia

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu. Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima...
  3. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Salim Kikeke anapitia Spana kwenye mtandao wa X

    Baada Ya Kutia Nia Salim Kikeke Ameanza Kupitia Spana Kwenye Mtandao Wa Twitter. Kwenye Moja Kati ya Chapisho Lake Ameandika Kuwa ........................ Sometimes change has to be fought from within. Albert Einstein once said “Doing the same thing over and over again and expecting different...
  4. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Tajiri Sina BAYA nimefilisika kwa sasa ni kijana Masikini kama zamani

    Ilikuwa ni taarifa tu nisiwachoshe wapambanaji, endeleeni na Threads za msingi zenye mustakabali wa kulijenga taifa letu. Niwatakie jioni njema. dosho12 Harmful Mama Ndege Intelligent businessman
  5. U

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kuchukua silaha na kuikomboa nchi yetu' - Makamu Rais wa zamani wa Burundi

    Kumekucha Burundi. Naomba kuuliza, kuna ubaya gani kwa nchi za Kiafrika kuendesha demokrasia huru shindani ili kudumisha amani na kuleta maendeleo kwa wananchi? Kwa sababu vyama vingi vina faida ya kuichangamsha serikali iliyopo madarakani isilale na kujisahau. Habari kamili: Katika mkutano na...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za Zamani ztukumbushe Hili kuelekea Uchaguzi,2025!

    Utavuna ulichopanda ×2 Kiitikio Ulichopanda×2,Utavuna! Wananchi tusidanganyike na vitenge, vyakula,pesa nk Kama mmbunge aliyopo madarakani,hajafanya lolote kwenye Jimbo lake mbali na msukumo wa serikali,asirudi Bungeni. Kama ni mgombea wa mara ya kwanza,tumuulize huko alikuwa amefanya Nini Cha...
  7. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbunge wa zamani wa Nyamagana, Lawrence Masha, ajitosa kusaka ridhaa, ubunge Nyamagana

    Mbunge wa zamani wa Nyamagana, Lawrence Masha amechukua fomu ya kuwania tena ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza. Masha amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili Juni 29, 2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Deogratias Nakei.
  8. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Chid Benzi kawa kama zamani big up kwake

    Watanzania wafarijika baada ya kuona muonekano mpya wa chid benzi, you know what? GOD DID. Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya, anatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupinga Biashara na Matumizi ya Dawa za Kulevya...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Simu ya zamani Samsung galaxy grand prime + Inasumbua

    Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore. Baada ya kuipeleka kwa fundi aliniuliza kama naweza kukumbuka email na password za google akaunti yangu...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kumbe mzabzab ni SIMP toka zamani

    mzabzab usiniulize nimepata picha yako wapi 🤣🤣 -Jasusi Cohen🚀
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kwa nini tukinunua betri jipya mafundi huunganisha kwanza betri la zamani au used kuwasha gari halafu ndio wanaweka jipya ?

    Mara kadhaa nimeona hili, mtu akinunua battery, fundi anaenda kutafuta battery lingine aje kuwashia gari, gari likiwaka anachomoa battery, akichomoa battery bado gari linaendelea kufanya kazi ndipo anaweka battery jipya. kwanini huwa hawaweki moja kwa moja battery jipya ?
  12. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hii Israel ya Sasa inaonekana kufanikiwa kuliko Israel za zamani ambazo hazikuwa na ukaribu na wazungu isipokuwa Mungu tu?

    Tangu kuwepo KWA Taifa hilo limekuwa ni taifa la kuonewa sana. Kipindi lilichokaa KWA amani ni wakati wa Mfalme Suleiman tu. Sababu za kufanikiwa kwao ni ukaribu wao na Mungu wao, sababu za kufeli kwao ilikuwa ni umbali wao na Mungu wao. Mfano Waliteswa na Wafilisti Walikuwa watumwa wa Wairaq...
  13. Mangwea1900

    JamiiForums Tanzania Majina yaliyoandikwa kwenye magari ya zamani

    Kama unakumbuka majina au jina la gari ulipokuwa unaishi kuanzia miaka ya 1962-1990 tushirikishane hapa. Basi la abiria kati Tabora hadi Mwanza liliitwa "MABOYA" Watoto wa 2000 mkalale
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania DRC yapiga marufuku Vyombo vya Habari kutoa taarifa kumhusu Rais Mstaafu, Joseph Kabila

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku vyombo vya habari nchini humo kuripoti kuhusu shughuli za aliyekuwa Rais, Joseph Kabila, pamoja na kufanya mahojiano na wanachama wa chama chake cha siasa. Amri hii inajiri wakati kukiwa na mvutano mkubwa wa kisiasa kati ya Bw...
  15. See For Me

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli

    Asalaam Wakuu,, moja kwa moja Uzi tayari Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli
  16. VERITE-NUE

    JamiiForums Tanzania Rais wa zamani wa DRC atua Goma

    Joseph Kabila aliyekuwa Rais wa DRC amezungumza kwa video na akamuita Rais wa sasa wa DRC Dictator. Kabila amezungumza baada ya Bunge la DRC kumuondolea kinga ya kutokushitakiwa. Mamlaka za DRC zinataka kumshitaki kabila kwa makosa ya Uhaini na uhalifu wa kivita akihusishwa na M23. Serikali ya...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Je wanasiasa serikalini ni vilaza kuliko zamani?

    Kuna hisia kwenye jamii kutokana ma matukio ambayo yamekosa mwelekeo. Ukilaza haina maana hawajasoma lakini je wanafanya mambo kwa kufiria manufaa ya taifa. Je tuna wakina Makinda, mongella , warioba, salim, Msuya, Nyalali...... hata kwenye majeshi Mahundi. Je tunawatu bado wenye vipaji...
  18. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Rais wa zamani wa DRC huenda akaondolewa kinga ya kutokushtakiwa

    #HABARI Bunge la seneti nchini DRC leo litapiga kura kuamua ikiwa limuondolee kinga rais wa zamani Joseph Kabila, ambaye anatuhumiwa kwa makosa ya kivita pamoja na kushirikiana na waasi wa AFC/M23 wanaosaidiwa na Rwanda. Maseneta watajadili kwanza kuhusu pendekezo hilo la jeshi la Congo kabla...
  19. Tundazuri

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa X zamani Twitter mbona una ugumu kufunguka?

    Jaman wapendwa wangu, naomba msaada wenu. Nimejaribu kuingia tweeter a.k.a X lakini nashindwa jamani. Nataka nifuatilie habari za nchi yetu na mambo mengine.
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais viwanja vyote vya zamani vyote vitaboreshwa na kuwa world-class na kila mkoa utajengwa kiwanja

    Viwanja vitaboreshwa vitawekwa nyasi za kisasa na sio kapeti, viti vitakua na namba, vitakuwa na mapaa, vyoo vitakua visafi, kutakua na VAR, vitakuwa visafi na hakutakua na mechi ya saa nane sababu viwanja vitakua na taa mechi zitaanza saa 11 jioni Multiplier effects ya mpira ni kubwa sana kama...
Back
Top Bottom