Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

Joined
Dec 29, 2021
Posts
63
Reaction score
99
Je, kuna makanisa ya zamani au ya kihistoria katika jimbo la Arusha? Nilikuwa najiuliza kwanini katika majimbo mengi nchini Tanzania unakuta makanisa mengi ya zamani na mazuri ya Kanisa Katoliki, lakini katika jimbo la Arusha sijawahi kuona hata moja.

Ninaposema makanisa ya zamani, ninamaanisha kanisa kama lile la Kibosho, Moshi ambalo lipo kwenye picha. Tafadhali nisaidie kupata makanisa haya ya zamani ikiwa yapo katika jimbo la Arusha.


1754902981657.jpeg


1754902956263.jpeg
 
Wakoloni walijua sana kwenye mafao ndipo walipoweka makazi sio popote tu
 
Arusha ni Lutheran Kila dhehebu au dini Ina sehemu yake ambapo wamissionary walipita kama ukifatilia historia ya madhehebu utaelewa zaidi
 
Je, kuna makanisa ya zamani au ya kihistoria katika jimbo la Arusha? Nilikuwa najiuliza kwanini katika majimbo mengi nchini Tanzania unakuta makanisa mengi ya zamani na mazuri ya Kanisa Katoliki, lakini katika jimbo la Arusha sijawahi kuona hata moja.

Ninaposema makanisa ya zamani, ninamaanisha kanisa kama lile la Kibosho, Moshi ambalo lipo kwenye picha. Tafadhali nisaidie kupata makanisa haya ya zamani ikiwa yapo katika jimbo la Arusha.


View attachment 3438304

View attachment 3438302
Masterpiece
 
Mwanalumango karibu na Uyole wilaya ya Arusha jirani na Ujiji mkoa wa Kivu kaskazini
 
Kanisa kongwe Arusha ni La Anglican high church maarufu kama Christ church liko uzunguni ni la 1930’s huko, lingine ni kanisa la Lutheran Ilboru karibia na Ilboru sec lilikuwa la Tofali za kuchoma sijui kama bado lipo! Mengine ni Lutheran Enaboishu na kwa Meru ni kule hospital ya Lutheran Nkoaranga. Mengine ni Baptist church ngarenaro maarufu kama Maromboso, Mennonite church Makao mapya, church of God Ngarenaro just to mention a few
 
Kanisa kongwe Arusha ni La Anglican high church maarufu kama Christ church liko uzunguni ni la 1930’s huko, lingine ni kanisa la Lutheran Ilboru karibia na Ilboru sec lilikuwa la Tofali za kuchoma sijui kama bado lipo! Mengine ni Lutheran Enaboishu na kwa Meru ni kule hospital ya Lutheran Nkoaranga. Mengine ni Baptist church ngarenaro maarufu kama Maromboso, Mennonite church Makao mapya, church of God Ngarenaro just to mention a few
 
Back
Top Bottom