Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,898
- 61,624
Wengi huwa wanajidanganya, kwa kusema fulani ni rafiki yangu wa katika shida na raha. Na wengine mpaka wanaitana shoga yangu n.k
Ila ukweli ni huu; wote ni wasaka fursa, ila kwa sasa mnapeana tu kampani za kupunguza machungu ya kuungua na jua la utosi.
Unafikiri huyo unayemuita rafiki yako wa kufa na kuzikana, akipewa milioni 50 ili akufitini wewe, atakataa?
Duniani hakuna rafiki, bali uko peke yako.
Ila ukweli ni huu; wote ni wasaka fursa, ila kwa sasa mnapeana tu kampani za kupunguza machungu ya kuungua na jua la utosi.
Unafikiri huyo unayemuita rafiki yako wa kufa na kuzikana, akipewa milioni 50 ili akufitini wewe, atakataa?
Duniani hakuna rafiki, bali uko peke yako.