wivu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nebuchadinezzer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

    Nianze kwa kulaani kitendo alichofanya huyu Grace, cha kumuua mpenzi wake kwa kumteketeza kwa moto. Ni kitendo cha kinyama sana. Funzo: 1. Tunatakiwe tuwe real kwenye mahusiano yetu. Ni dhambi kubwa sana kumuaminisha mtu kuwa unampenda halafu kumbe kuna mwingine unampenda na umeshamtambulisha...
  2. STUKA M1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuwe makini na huu wivu wetu dhidi ya Wake/wapenzi wetu

    Kusema kweli kuna kitu nimekiona kutoka kwa hawa warembo, Yaan kams pisiKali inakupenda kwa dhati na hafanyi yale ya kuchepuka alafu wewe dume ukawa huishi kutomuamini yaaan wivu kwa sana mara hivi Mara vile kwa hawa wenzetu huwa wanateseka sana na scenario kama hiyo na usipokuwa makinu unaweza...
  3. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je umewahi kupatwa na wivu uliokufanya ulie, usononeke au kuwa na stress kisa mapenzi, tiririka?

    Binafs nakumbuka kulikuwa na mtoto flani wa kipare alikuwa kanizikimikia sana yani, ilikuwa ni chuoni miaka kama 8 iliyopita. Basi mimi nnikavimba sana kichwa nikawa namletea mapozi flan ivi ili nioneka kidume ambacho ni ndoto ya wanawake, si mnajua tena vijana wadogo kwa kupenda sifa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli zinazotolewa dhidi ya Hayati Magufuli ni wazi kuna wenye wivu na aliyofanya kwa miaka 6 ya utawala wake

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri. Nimekuwa nikifuatilia kauli mbalimbali zinazotolewa na baadhi ya wanasiasa dhidi ya hayati Magufuli. Ni wazi kabisa kuna chuki kubwa dhibi yake. Na ukichunguza kwa undani zaidi utaona wanataka kupandikiza hiyo chuki hata kwa wananchi wa kawaida. Ukweli ni kwamba...
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mama anamuonea wivu mtoto wake?

    Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa...
  6. Kasie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Am Obsessed With Your Love

    Mahabuba, Mpenz, La Aziz, My Love, My Heartbeat, My Handsome, My Best Best Friend, My Soulmate, My Man, My King, My One and Only... My Pumpkin, My Darling, My Breath... Most of All, My smile.... You know what, these are sweet nothing words from me to you. With you I find peace, natural...
  7. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Munde Tambwe: Sheria itungwe kudhibiti mauaji ya mapenzi

    Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Munde Tambwe ameomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka chombo hicho cha kutunga sheria kujadili ongezeko la mauaji ya wivu wa mapenzi. Mbunge huyo ameomba mwongozo huo leo Ijumaa Juni 4, 2021 mara baada ya kipindi cha maswali na majibu. Munde amesema kuna ongezeko...
  8. Baba jayaron

    JamiiForums Tanzania Maisha yanapokufanya uonee wivu marehemu

    Wasalaam, Jamani hali ya maisha imekua ngumu, kila kukicha mikosi. Kila dili linafeli, ukiwa na shida marafiki wanakimbia, ukiomba msaada wanadhani unawakejeli hawakupi. Ukiwaza kuroga upate pesa za ndago roho inasita maana umelelewa katika ukristo mpaka ndani ya moyo wako. Nikijipa moyo...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu 'Wanajeshi' si tulishakubaliana kuwa hii tabia ya 'Kuua' Wake zenu kwa 'Wivu' wa Kimapenzi isijirudie tena?

    Askari JWTZ Mbaroni kwa Kuua Mke kwa Kumchoma na Kisu kwa kile kinachodaiwa ( na ambacho GENTAMYCINE nina uhakika nacho ) kuwa ni Wivu tu wa Kimapenzi. Chanzo: Habari Leo Ukurasa wa 3 Sasa nyie Marafiki zangu ( Wajeda ) mnakuwa na Wivu hivi kwakuwa 'mnamegewa' sana Wake zenu mbona na nyie...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Swala la chadema kuwakomalia covid-19 halina mantinki pana zaidi ya kuendeshwa na wivu na mihemuko..

    Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika...
  11. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Fahima wa Rayvanny ateswa na wivu wa mapenzi

    Fahima anateswa na wivu wa mapenzi baada ya Rayvanny kuweka kambi kwa mtoto Paula. Anamuita Paula anaejiona amepata 😂😂😂 Nakushauri move on Fey hakunaga laana ya Ex...Hicho anachofanya Ray ndio uanaume sisi wanaume hata uwe mzuri vipi ukikosa heshima na unyenyekevu tunakuacha tunatafuta mali...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Amuua Mke na mwanaye kisa wivu wa mapenzi

    Muleba. Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Joachim Rwegasira mkazi wa kijiji cha Bushanga Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera kwa tuhuma za kumuua mkewe, Rosemary na mwanaye, Joiness na kisha kujijeruhi. Rwegasira anapatiwa matibabu hospitali ya Wilaya ya Muleba Rubya akiwa chini ya...
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

    Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge. Ndugu zangu, naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha...
  14. sam green

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri, nina wivu uliopitiliza

    Wana JF nimekuwa muhanga wa kuwa na wivu uliopitiliza katika mahusiano , sijui ni mimi tu au kuna wengne wana wivu kama mimi hii imekaaje wanaume wenzangu. 1. Siihitaji mpenzi wangu awe na mazoea na wanaume bila sababu ya msingi. 2.Napenda sana kufatilia simu yake muda mwingi huwa nampokonya...
  15. JMipicha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Punguza wivu kwenye mahusiano

    Habari wana JF nina imani mko powa powa sana. Nyungu muhimu sana . Twende kwenye mada mmoja kwa mmoja .. Wanaume kwa wanawake punguzeni wivu wa kijinga katika mahusiano maana Matokeo ya wivu huo ni mbaya Unakuta kila saa unampigia simu mkeo au girl friend wako kila saa una mtext kama...
  16. Bata batani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanawake wana wivu na wanaume ambao sio wapenzi wao?

    Sijajua tatizo ni nini kwa wadada wa siku hizi unakuta una urafiki na msichana halafu inafika hatua ukimuelezea hisia zako anazingua na hataki kabisa hizo story za mapenzi yeye anataka muwe marafiki tuu au kaka na dada. Basi kwa ustaarabu unaamua muwe kaka na dada ambao mnasaidia katika shida...
Back
Top Bottom