Hivi inakuwaje mama anamuonea wivu mtoto wake?

Thaconfession

JF-Expert Member
Jun 16, 2021
295
575
Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.

Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)

Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?

Hii inasabababishwa na nini?
 
Atajua nimechukulia jambo lake serious kiasi cha kuomba raia wengine watusaidie kulipatia ufumbuzi
Jambo dogo kama Hilo kulileta humu linapima uwezo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo na hata huyo jamaaa yako nae hamnazo ishu ndogo TU ya kukaa na huyo mwana mama na kutoa kauli na matamko ya kiutuzima kashindwa.

Kakuomba ushauri wewe na wewe ulivyo hopeless ukalileta humu Ni aibu Sana kwa uoni wangu wa mbali Ni wewe mwenyewe sema unatumia fursa ya jamaaa yako kutka ushauri

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Jambo dogo kama Hilo kulileta humu linapima uwezo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo na hata huyo jamaaa yako nae hamnazo ishu ndogo TU ya kukaa na huyo mwana mama na kutoa kauli na matamko ya kiutuzima kashindwa.kakuomba ushauri wewe na wewe ulivyo hopeless ukalileta humu Ni aibu Sana kwa uoni wangu wa mbali Ni wewe mwenyewe sema unatumia fursa ya jamaaa yako kutka ushauri

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Unaona Sasa ulivyo na akili finyu,humu kila siku mnajaza nyuzi kwa Mambo ya "kula kimaskhara" kufumania na mengine mengi, if you find it useless unapita kimya kimya, we don't take things too serious hiini sehemu ya kujifunza, kufurahisha na hata kushea mazuri na mabaya lakini ukianza kujifanya veeeeeeery serious in everything mzee utakufa mapema, mambo ya "uwezo mdogo wa kufikiri, jamaa yako hamnazo" yanatoka wapi?

Kama wewe una akili nyingi unakomenti nini sasa uzi wa wenye akili ndogo? Huoni hapo na wewe unakuwa na akili ndogo kuliko wenye Uzi?

Mpuuzi mkomavu kabisaa,kakojoe ulale!
 
Unaona Sasa ulivyo na akili finyu,humu kila siku mnajaza nyuzi kwa Mambo ya "kula kimaskhara" kufumania na mengine mengi, if you find it useless unapita kimya kimya, we don't take things too serious hiini sehemu ya kujifunza, kufurahisha na hata kushea mazuri na mabaya lakini ukianza kujifanya veeeeeeery serious in everything mzee utakufa mapema, mambo ya "uwezo mdogo wa kufikiri, jamaa yako hamnazo" yanatoka wapi?

Kama wewe una akili nyingi unakomenti nini sasa uzi wa wenye akili ndogo? Huoni hapo na wewe unakuwa na akili ndogo kuliko wenye Uzi?

Mpuuzi mkomavu kabisaa,kakojoe ulale!
Nakuelekeza kijana acha kutoa Siri za watu kwa ushahid kabisaaaa ungekuja kwa njia nyingne kabisa kuwasilisha hoja yako

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana,kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni,(aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana,baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.

Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)

Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?

Hii inasabababishwa na nini?View attachment 1847414
67% ya WANAWAKE Ni wachawi
 
Back
Top Bottom