Nadhani title inajieleza hapo juu, hakuna shabiki halisi wa Simba anaweza kukushambulia kwa mafanikio yako ktk SSC kuipelekea kuwapiku yeboyebo kwa rekodi ya ubingwa miaka 4 mfululizo hasa ukifikiria Simba ilivyokuwa taaban kwa Yanga huko nyuma.
Na huyo Manara kawekeza sh ngapi SSC, atokomee zake.
Siye tunataka ushindi tu hadi Yanga wakome.
Na huyo Manara kawekeza sh ngapi SSC, atokomee zake.
Siye tunataka ushindi tu hadi Yanga wakome.