wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. sinza pazuri

    Tazama Diamond Platnumz akiandika wimbo wa Pawa alioimba Mbosso

    https://www.instagram.com/reel/DNKynyksZuT/?igsh=MXZ2Ym0zcGh1MDNjdQ== Kuna wakati nilieleza kuhusu Diamond Platnumz kuandika hitsong ya Pawa ambayo imeimbwa na Mbosso nilioga matusi hapa. Sasa kuna receipt hapa imepostiwa kwenye ukurasa wa Instagram wa media namba moja Tanzania. Wasanii wasio...
  2. Mlalamikaji daily

    pamoja na yote ya Pole Pole lakini huu wimbo wake ni mzuri sana aisee

    sikiliza hii ngoma aisee.. ni bonge la pini aisee
  3. chiembe

    Ngoma (wimbo) wa "wembe kupita ule.... ushindi" ni kali balaa, niko hapa nasikiliza, nambari one ni CCM

    Kula chuma hicho ndugu mtanzania. Miezi miwili ya burudani
  4. R

    Wimbo Mpya wa Nandy wafutwa Youtube na Mr. Tonge Nyama

    Staa wa Bongo Fleva Nandy ameeleza kwa uchungu kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya msanii anayejiita Mr Tonge Nyama kudai kuwa ametumiwa jina lake bila ridhaa kwenye kazi ya muziki ya Nandy na kuishusha YouTube Mr Tonge Nyama anadaiwa kutaka alipwe kiasi cha shilingi milioni 200 za...
  5. R

    Nimekutana na video wanafunzi wanaimba wimbo Tanzania nakupenda, hivi ni miaka mingapi nyuma imepita ulipoimba wimbo huu? vipi kuhusu sasa?

    Wakuu, Hii video imenikumbusha mbali sana enzi za kidumu na mfagio pembeni nimebeba jembe naenda shuleni, wakati wa kupanga mstarini tukianza kuimba utasikia sauti za juu sana tukiimba Mungu ibariki Afrika ila ifika Tanzania nakupenda watu wanachanganya mistari na kujikuta tunachapwa, na muda...
  6. mdukuzi

    Marijan Rajab alivyojichukulia ujiko kwa wimbo wa Geogina wakati hakuutunga yeye

    Mpaka anafariki Jumanne Khalfani Uvuruge kilikuwa kinamuuma kuona wimbo alioutunga yeye lakini dunia nzima ilidhani umetungwa na Marijan Rajab Marijan alikuwa mtoto wa mjini sema alizaliwa kipindi muziki haulipi,ingekuwa sasa angekufa tajiri kwa huo wimbo. Wanamuziki wa zamani waliambulia...
  7. ndege JOHN

    Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

    Kuna pindi Tu inatokea wimbo Fulani ukaupenda Sana yaani unaweza Ku repeat hata mara 100 na usione shida hasa kwenye safari mfano kwenye bus umevaa zako earphones Mimi kwa sasa.. nitaamini -israel Mbonyi toka mchana mpaka alfajiri nitausikiliza.
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    Naombeni tafsiri ya huu wimbo kwa muktadha wa siasa za Bongo

    https://youtu.be/mpNrmB_Qe6U?si=mbUaIlbrDNWvaiyY
  9. The Burning Spear

    Huu wimbo umfikie Raisi Samia sikiliza hadi mwisho Kuna watu walimwona Kabla.

    GT Sanaa ilikuwa zamani siyo sasa wanashindana kutingisha makalio tu hawana ubunivu wowote. Kwa wimbo huu nadhani Prof J alimwona Samia ndotoni anakuja yanayotendeka sasa ni yaleyale 100% kwenye wimbo huu. Kiufupi watawala kuanzia awamu ya tano hadi sasa wana dhambi nyingi sana japo...
  10. Kizibo

    Msaada: Naomba kujua jina la huu wimbo

    https://www.instagram.com/reel/DKXY9NGtTdT/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg== Samahani wakuu, Kwa anayejua lina la huu wimbo naomba anisaidie ili nikaupakue. Natanguliza shukrani
  11. Kisesetusese

    Nimekuwa nikitafuta wimbo wenye lyrics hii naomba mwenye kuujua

    Ni miaka sasa natafuta huu wimbo sijui bali huu mlio ndio nautambua naomba sana anayejua Ninaamini mtanisaidia. Ni kumbukumb yangu kubwa sana.
  12. Ashampoo burning

    Ukweli kuhusu v2 wa wimbo :nasonga mbele"

    https://youtu.be/dmc-xxRof60?si=AQyC2o1xsr_iCO7m Bro hebu kaa chini tusimuliane hii ishu ya zamani lakini bado inabamba hadi leo. Kama uliishi enzi za Bongo Flava halisi, lazima utakumbuka ule wimbo mkali wa “Nasonga Mbele” kutoka kwa V2 – mrembo mwenye sauti ya dhahabu aliyewatoa machozi...
  13. Uwesutanzania

    Huo wimbo mnaouimba ni wa kipumbavu

    Mi pia kipindi nikiwa muhuni tu mtaani nilikua nikiwa ndani ya basi natoka mkoani nilikuwa natamani gari ipate ajali ili nipate mali za abiria watakaokuwa wamekufa🤕🤕🤕 bila kujua kuwa wenda kwenye hiyo ajali na mimi nitakuwa miongoni mwa marehemu au watakao kwenye hali mbaya,. Funzo: Kipindi...
  14. ELI COHEN

    Miaka 22 iliopita JD alitoa wimbo wa wanaume kama mabinti, wimbo ulikuwa controversial kidogo, lakini kumbe alicheza na muda na leo umekuwa relevant.

    ⚠️Vijana wa kiume wanatengeneza group chats kuwasema na kusengenya wanaume wenzao ⚠️Vijana wa kiume wana ng'anga'nia kujumuika na wanawake katika party zilizo undwa kwa ajili ya wanawake pekee. ⚠️Zamani ilikuwa unasikia sikia tu fununu kwamba flani ni shoga ila leo unawahesabu kwa maana...
  15. stakehigh

    Kuna ukweli wowote kwenye hii translation ya wimbo wa vice versa (Madilu system)

  16. mdukuzi

    Kwa miaka karibu 30 nasikiliza wimbo Nadina wa Mbilia Beli ila sielewi kiswahili chake

    Finyanga udongo Choma majani Pepo naudongo Samaki,nyama,mboga majani ohoo ndegeee Simba wa binadamu Jua maji Mwezi nyota Tumsifuu Mungu baba Hata mara mojaa kwa jumaa Hata ni wa shetani jua hii nalijua Sijui nini sijui niini Nadina hoo nadina ohioo
  17. JanguKamaJangu

    Céline Dion alikataa kuimba Wimbo wa ‘My Heart Will Go On’

    Wimbo wa 'My Heart Will Go On' ni kati ya nyimbo zilizompa umaarufu mkubwa na kumuongezea utajiri Celine Dion, kupitia wimbo huo aliouimba akiwa na umri wa Miaka 29 wakati huo ulikuwa ‘soundtrack’ ya Filamu ya Titanic ambayo ilitoka Mwaka 1997. Msanii huyo aliwahi kuhojiwa na kusema “Sikuona...
  18. FYATU

    Wanaimba nonsense lakini napenda kusikiliza,huu wimbo wameimba kina nani?.nawezaje kuupata full?.

    Mara kadhaa nimekutana nao ila ukiwa vipande vipande kupitia TBC.Baadhi ya mashahiri ambayo hata sielewi wanamaanisha nini,wanaimba"jiwe jiwe jiwe lanichoma choma...nikimkumbuka Mama jiwe lanichoma choma" Mengine "Amazulu.amazulu amazulu".na sijawahi kubahatika kuusikia mwanzo mpaka mwisho.
  19. Keynez

    Naomba kushare wimbo wangu mpya wa "No Reforms, No Election"!

    Kama mchango wangu mdogo katika hizi juhudi za kila Mtanzania mpenda nchi yake ya kuijenga Tanzania mpya yenye siasa safi, uchaguzi huru na wa haki, uongozi na utawala bora nimetengeneza wimbo huu wa kuhimiza, kuhamasisha na kuunga mkono kampeni za "No Reforms, No Election". Ni ruhusa kuutumia...
Back
Top Bottom