wazalendo

The Alliance for Change and Transparency, sometimes known as the ACT–Wazalendo, is the third-largest political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania ACT- Wazalendo, matokeo ya uchaguzi mdogo Jimbo la Konde ni ya kupika

    Hii inaitwa: mtoto akililia wembe, mpe.
  2. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo mlishiriki kubariki dhuluma ya uchaguzi uliopita; mshirika wenu anawaonesha rangi yake sasa, vumilieni

    Maandiko yalikuwa ukutani, wakayapuuza. Mazingira ya kisiasa , Vyombo vya dola, tume ya uchaguzi, sheria n.k vyote vilikuwa si rafiki sawa na hapo awtu ali lakini ACT Wazalendo walichagua kushiriki kubariki uchaguzi uliyopita na kuwapa CCM uhalali ambao waliuhitaji sana,wakati ACT wote...
  3. kasanga70

    JamiiForums Tanzania Kuna hatari kizazi hiki kikaaminishwa kuwa Tundu Lissu ni moja ya Watu wabaya na sio wazalendo kwa Taifa

    Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli. 1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe. 2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo...
  4. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa wasijikoshe kwa kumjengea sanamu Hayati Magufuli, badala yake wamuenzi kwa kuwa wazalendo na wachapakazi

    Habari wadau! Binafsi naomba niwe tofauti kuhusu suala la Magufuli kujengewa sanamu pale sabasaba. Magufuli sasa hayupo hivyo hakuna wa kumsemea leo nimejaribu kuvaa viatu vyake ,naamini kama angekuwa hai hasingeafiki swala hili ingewataka wale waliotenga pesa za sanamu wazielekeze kwenye...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Walifikaje tarehe 7 Julai 1954 kuunda TANU na tunawaadhimishaje Wazalendo hawa?

    WALIFIKAJE TAREHE 7 JULAI 1954 NA KUUNDA TANU NA TUNAWAADHIMISHAJE WAZALENDO HAWA? Kuna mtaa Dar es Salaam sisi tulimezaliwa tumeukuta ukiitwa Stanley Street. Baada ya kupatikana uhuru mtaa huu ukabadilishwa jina ukaitwa Aggrey Street kisha baadae wakati marehemu Kitwana Kondo alipokuwa Meya...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Uingereza ni wazalendo wa kweli

    Watu wengi huku kwetu kusini mwa jangwa la sahara wanapotosha maana halisi ya "uzalendo" maana wanaligeuza neno kama kibwagizo cha kutafutia fulsa na kushibisha matumbo yao. Uzalendo sio kelele za kasuku bali uzalendo ni vitendo vya utu, upendo, na kuwa na matarajio mema kwa taifa husika...
  7. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Mbowe na CHADEMA ni jiko zuri la Viongozi, wengi wateuliwa

    Watoto Wa Freeman Mbowe Kisiasa! David Kafulila, RC Mwita Waitara, N/Waziri Joshua Nassari, DC Fakii Lulandala, DC Albert Msando, DC David Silinde, N/Waziri, Vincent Mashinji, DC Mwambe, MB P. Gekuli, N/Waziri Shonza, MB Katambi, N/Waziri LijuaLikali, DC Kitila Mkumbo /Waziri Nadhani ni sahihi...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: ACT - Wazalendo kilianzishwa na watu watatu tu; Mimi, Kitila Mkumbo na Mwanaharakati mmoja wa kike

    Akiongea mapema leo asubuhi katika kipindi cha Joto Kali la asubuhi kinachorushwa na vyombo vya habari vya TVE na Efm Kiongozi wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe, ameongea mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na ameichambua bajeti kuu ya Serikali iliyowasilishwa week iliyopita Bungeni. Kwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wazalendo ni wachache, wazalendo hawadumu

    Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC Mfano kionjo flani tamu kinaimbwagwa hivi: "Nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh!" "Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu" "Kila unaponunua kitu...
  10. Nguruka

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tume ya Uchaguzi yapuliza kipenga uchaguzi mdogo jimbo la Konde na kata 6 Tanzania bara

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza ratiba ya Uchaguzi Jimbo la Konde, Micheweni, Kaskazini Pemba na Kata sita za Tanzania Bara.
  11. Kinuju

    JamiiForums Tanzania Kasi ya utendaji ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa inatufuta machozi wazalendo

    UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA •Tarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa. •Tarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya...
Back
Top Bottom