Nilimsikia Rais Samia akisema katika ujenzi unaofanyika watumie wataalamu na wakandarasi wazalendo. Haya ni maamuzi ya kizalendo sana na ya kupongeza sana.
Hizo ndizo njia pekee za kutengeneza ajira na kukuza uchumi kwa watu wetu.
Asia na Ulaya walishaanza mbinu hizo muda mrefu kwani wakikopesha fedha wanataka kazi wafanye watu wao ni wakati na sisi fedha zetu wenyewe na tunazokopa ili watu wetu waje kulipa tutizame ni kwa namna gani tunatumia watu wetu.
Pongezi kubwa kwa mama yetu kuwaza hili.
Hizo ndizo njia pekee za kutengeneza ajira na kukuza uchumi kwa watu wetu.
Asia na Ulaya walishaanza mbinu hizo muda mrefu kwani wakikopesha fedha wanataka kazi wafanye watu wao ni wakati na sisi fedha zetu wenyewe na tunazokopa ili watu wetu waje kulipa tutizame ni kwa namna gani tunatumia watu wetu.
Pongezi kubwa kwa mama yetu kuwaza hili.