Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021
Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98