Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Hii inaitwa: mtoto akililia wembe, mpe.
Ndio maana tunadai Katiba Mpya.Hahahaaaa.......... Zitto Kabwe bhana!
CHADEMA 7%Ndio maana tunadai Katiba Mpya.
Angalia juu hapo yapoMatokeo ya ACT mbona hayapo?
Hao ni CCMMuwe mnawasikiliza walim wenu wa siasa Chadema mkubwa mkubwa tu
ACT= CCM CMatokeo ya ACT mbona hayapo?
Nimeshangaa sana mkuuMtalia sana na kusaga meno
Yani kuna chama kina kura 3 halafu 1%
Chama kingine kura 4 halafu 0%
Upinzani mmelala yoooo
Upinzani hakuna kitu, wamekufa yooooNimeshangaa sana mkuu