Wakati wa awamu ya Mzee Mwinyi tukitoka kwenye mfumo wa dola kama ndio engine ya uchumi tulifungua milango na madirisha kwa wawekezaji. Waliingia wababaishaji na matapeli wa kila aina wakijifanya wawekezaji na kusababisha uharibifu wa uchumi wetu. Mzee Mwinyi kwa uungwana wake alikiri makosa...
Bado naomboleza kifo cha Jemedari Dkt. John Pombe Magufuli, Mzalendo wa KWELI asiye na UNAFIKI katika maslahi na ustawi wa watu wake na upendo kwa nchi yake, yaani Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtu aliyejipambanua kwa nia ya dhati akihimiza kwa vitendo juu ya miradi ya kimkakati. HAKUNA...
Andiko hili nimeliona kwenye forums kadhaa, walau Wakili Msomi amekiri kwamba mfumo sasa upo stable.
Kuhusu suala linalolalamikiwa, kwanza nikiri kwamba hoja zake Ni za ukweli na changamoto hii nilishaiona since day one.
Mara kadhaa tumeeleza kuwa kuna kazi tunaendelea nayo ya system...
Matumizi ya teknolojia yanapochukua nafasi kila mtu anategemea ufanisi kuongezeka!
Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara.
Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za...
Baada ya kuisoma ilani ya chama tawala CCM na kusikiliza hotuba ya rais alipokua anafungua bunge watanzania wengi tuliiona nia ya dhati ya serikali yetu kuboresha uchumi kwa kiasi kikubwa haswa kwa kuhakikisha wawekezaji wanapewa support na serikali kwa kujengewa mazingira mazuri na rafiki ya...
Hello bosses.
Kwenye technology yoyote ile kwa sasa kuna watu muhimu sana ambao wengi hawawafahamu bali wanaishia kuona maajabu yao tu, watu hao sio wengine bali ni COMPUTER PROGRAMMERS au SOFTWARE DEVELOPERS. Iwe unaangalia TV, una-surf mtandaoni, unacheza game au unafanya kitu chochote...
Bila ya kupoteza muda ningependa kuchukua nafasi huu kwenda moja kwa moja kwenye mada husika.
Ninakwenda kufunguka na kueleza kila kitu hatua kwa hatua juu ya wazo hili lilipotokea na kwanini muda huu ni muafaka kulitekeleza
Bila kificho nitaeleza kila kitu kinachohitajika na namna wazo hili...
Hello bosses,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni aibu kuona wanavyuo wengi wanahitimu wakati bado wengine wengi wako mitaani bila kazi au wanafanya kazi za chini sana ambazo hata hawakutegemea(kama vile ulinzi, vibarua, etc....)
Ni muda sasa wagombea wetu mje na sera za kutatua tatizo la...
Kuanzia Azam Dhidi ya Azania, Mwana FA & AY Dhidi ya MIC Tanzania (Tigo), FIESTA Dhidi ya Wasafi Festival, Simba Dhidi ya Yanga, Adidas Dhidi ya Nike, Facebook Dhidi ya Snapchat, Pepsi Dhidi ya Cocacola, Uber Dhidi ya Lyft mpaka wewe dhidi ya mpinzani wako... biashara ni vita. Kinachopiganiwa...
Serikali imewataka Wananchi kuendelea kupenda bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini kwani chanzo cha nchi kufikia uchumi wa kati ni pamoja na wananchi wake kupendelea bidhaa ambazo wanazizalisha wao kama wao, na mafanikio yametokana na juhudi za watanzania wote wakiongozwa na Rais wa...
Hii ni fursa rasmi kwa CCM na Serikali ya CCM chini ya Mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwafutilia mbali viongozi wote waliotumia fedha za wawekezaji kujipatia madaraka.
Wapo baadhi ya viongozi tena wengi wao walijipatia fedha kutoka ugjaibuni na kujiunga na upinzani na walifanikiwa sana...
Ndugu zangu,
Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi.
Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa...
Mwaka 2020 umeanza na fumua fumua ya hali ya juu pale BRELA lakini kwetu wadau wa BRELA na wadau wa wawekezaji tunaona ndiyo kwanza kero imeanza.
Wakati wa KAKWEZI japo BRELA kulikuwa na urasimu na baadhi ya madudu lakini angalu mambo yalikuwa yanaenda, kwa sasa kusajili KAMPUNI Tanzania kwa...
Mara nyingi kumekuwa na msemo kuwa wawekezaji wa nje wezi wanatuibia waafrika .Hatufaidiki na uwepo wao au tunafaidika kidogo wao ndio wanapata Sana kwenye mikataba ya madini,mafuta ,gesi nk
Tatizo kwenye hili ufumbuzi tunao sisi wenyewe waafrika.Nitatoa mfano makampuni yanayochimba...
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.
Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira...
Maendeleo ni zaidi ya kutegemea katika kufanya mambo yako peke yako. Dunia ya leo inaelekeza kwenye social capital kuliko ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.
Taifa haliwezi kuendelea likiwa huku likisukuma wawekezaji badala ya kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi kwa pamoja "mutual...
..hakuna kitu foreign investors wanakithamini na kukipa kipaumbele kabla hawajafikia maamuzi ya kuwekeza kama rule of the law and predictable government decisions.
South Africa hawana issues na hayo mambo mawili, lakini soma article hii ifuatayo halafu ujiulize ikiwa kuna watu wana mawazo ya...
Makubaliano ilikuwa ni serikali kufidia wote waliopoteza ardhi ili kupisha mradi.
Kwa kugharimia zoezi hilo Tanzania tungepatiwa kiasi fulani cha hisa ktk Bandari hiyo ambayo itakuwa kubwa kuliko zote Afrika Mashariki.
Sasa serikali imeshindwa kufanya hivyo na kupelekea kuukabidhi mradi mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.