Siku kadhaa zilizopita, katibu wa CCM Lutoro Muleba ameuaawa kwa kupigwa risasi na walinzi wa ranch za wawekezaji Lutoro mpakani mwa wilaya ya Muleba na Karagwe-Kagera.
Hapa chini ni kipande cha video wakati wa mazishi ya huyo kijana. Mbuge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage alionekana kuchukizwa na tukio hill na kuiomba Serikali na vyombo vya ulinzi kuchua hatua za haraka kubaini wote waliohusika.
NB.Serikali isipoingilia kati na kutatua hii migogoro ya wawekezaji na wananchi, watu watazidi kupoteza maisha.
Hapa chini ni kipande cha video wakati wa mazishi ya huyo kijana. Mbuge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage alionekana kuchukizwa na tukio hill na kuiomba Serikali na vyombo vya ulinzi kuchua hatua za haraka kubaini wote waliohusika.
NB.Serikali isipoingilia kati na kutatua hii migogoro ya wawekezaji na wananchi, watu watazidi kupoteza maisha.