Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,071
- 9,476
Ndugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.
Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.
Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.
Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.
Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.
Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.
Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.
Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627