Ukiona mtu anakwambia mtu yeyote asiwashe taa hata kama giza lina tisha watoto, wanalia wanataka kujua nini kilichomo katika giza hilo. Bado sauti inasema: hakuna kuwasha taa. Basi cha kufanya wabembelezeni watoto walale, kutapambazuka tu, wakati mtoa katazo akiwa bado kafumba macho.
ONYO...