Wakuu baada ya kula ugali, nyanya chungu, bamia, dagaa, kabichi, maharage, nyama roast na kushushia pepsi big nimepata wazo.
Hili suala la mtoto kumshika mtu mzima wakati wa kusalimia naona kama halijakaa sawa. Naona kama linamjengea mtoto tabia ya kutojiamini, uoga na kumshusha thamani.
Pia...