Mbunge Viti Maalum, Neema Lugangira: Sheria za kugharamia matunzo ya watoto zina changamoto

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mbunge wa Viti Maalum Neema Lugangira amesema bado kuna changamoto kubwa kisheria kwa upande wa suala la kugharamia matunzo ya Watoto kwa Wanawake wanaoachiwa kuwalea bila msaada wa Baba.

Akiwa Bungeni amehoji kama Serikali haioni haja ya kurekebisha Sheria zilizopo ili gharama ya matunzo ya Watoto iendane na hali ya Uchumi na Maisha ya sasa.

Kuhusu suala la ongezeko la Watoto wanaotelekezwa, Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amekiri tatizo Watoto kutelekezwa ni kubwa na ipo haja ya Serikali kufanya harakati za ziada ili kulidhibiti.
 
Mbunge wa Viti Maalum Neema Lugangira amesema bado kuna changamoto kubwa kisheria kwa upande wa suala la kugharamia matunzo ya Watoto kwa Wanawake wanaoachiwa kuwalea bila msaada wa Baba.

Akiwa Bungeni amehoji kama Serikali haioni haja ya kurekebisha Sheria zilizopo ili gharama ya matunzo ya Watoto iendane na hali ya Uchumi na Maisha ya sasa.

Kuhusu suala la ongezeko la Watoto wanaotelekezwa, Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amekiri tatizo Watoto kutelekezwa ni kubwa na ipo haja ya Serikali kufanya harakati za ziada ili kulidhibiti.
Huyu dada ana chuki na wanaume huko bungeni kila akisimama ni kuwashutumu wanaume tu!!ana ndoa yenye amani ana mume au ana bushoke? Bunge ni sehemu ya maslahi mapana ya taifa siyo chuki binafsi. Ina maana hakuna wanawake goigoi, wakorofi na wazembe ktk tendo la ndoa na ktk malezi ya watoto. Mwanamke akiwa ana kitambi cha bia za bure hana zoezi mzembe hiyo hamu ya tendo itatoka wapi ukizingatia unyagoni hamuendi. Ingekuwa hizo gharama na wanawake nao wanaamriwa kutoa wangeona kama zinachangamoto au la. Hii ni vita wanaume mjilinde.

images-109.jpg


images-136.jpg
 
Huyu mbunge toka ndoa yake ivunjike amekua kama mwehu, ana chuki isiyokifani
 
Huyu mbunge toka ndoa yake ivunjike amekua kama mwehu, ana chuki isiyokifani
Alinyanyaswa sana na mmewe na pia ukijumlisha mmewe ni familia bora..akaporwa kila kitu hadi kuwaona watoto ilikuwa shida..akienda kushtak hata polisi wanamuhurumia tu maana manyota anajulikana...mwache atoe yake ya moyoni ase
 
Huyu dada ana chuki na wanaume huko bungeni kila akisimama ni kuwashutumu wanaume tu!!ana ndoa yenye amani ana mume au ana bushoke? Bunge ni sehemu ya maslahi mapana ya taifa siyo chuki binafsi. Ina maana hakuna wanawake goigoi, wakorofi na wazembe ktk tendo la ndoa na ktk malezi ya watoto. Mwanamke akiwa ana kitambi cha bia za bure hana zoezi mzembe hiyo hamu ya tendo itatoka wapi ukizingatia unyagoni hamuendi. Ingekuwa hizo gharama na wanawake nao wanaamriwa kutoa wangeona kama zinachangamoto au la. Hii ni vita wanaume mjilinde.

View attachment 1792813

View attachment 1792814
Tutaitisha kikao cha dharula cha wanaume tumjadili
Tutaila nyama yake uku tukimsimanga
 
Back
Top Bottom