watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kwanini Watanzania wanaachana na taaluma zao na kukimbilia kwenye siasa?

    Hii haina afya kwa taifa kwamba wanataaluma wanazitelekeza sekta zao na kuhamia siasani. Hivi siasani kuna nini cha ziada wanachopata? Niishie hapo kwa kifupi. Maendeleo hayana vyama!
  2. Ze Bulldozer

    VUNJO: Hii hapa hotuba nzito ya Mwenyekiti wa TLP Taifa Mhe Dk Augustino Lyatonga Mrema kwa Watanzania

    HOTUBA YA MHE DK AUGUSTINO LYATONGA MREMA-VUNJO Ndg Wanavunjo na Watanzania kwa Ujumla, Mimi Augustino Lyatonga Mrema nimehudumu Serikalini kwa awamu zote tano,Leo naomba kusema toka ndani ya moyo wangu kwa hakika Sijawahi ona kiongozi Mchapakazi,Mpenda watu na Mwadilifu kama Dk John Pombe...
  3. fasiliteta

    CHADEMA Watanzania wa leo si wa jana

    Ndugu zangu CHADEMA ukweli tutauseme hata Kama hamtaki Ila tutasema tu, nyinyi ni jipu kubwa Sana katka ustawi wa vyama vya upinzani kiasi kupoteza Imani kubwa kwa wananchi tulowaamini kabla ya kuja kugundua uovu mloficha ndani ya nafsi zenu. Hakuna wananchi wenye akili wanaoendelea kuwasapoti...
  4. wanzagitalewa

    Teknolojia ya kidijitali ilivyo na fursa kwa Watanzania

    Ni wazi kuwa mapinduzi ya kidigitali yamekuwa na mabadiliko makubwa katika namna watu wanavyoishi kwenye miaka ya karibuni. Kwa bahati nzuri, mabadiliko haya yamekuja na fursa mbalimbali na pia yameipatia Tanzania nafasi ya kukuza uchumi wake Zaidi. Katika ripoti yake ya hivi karibuni Benki...
  5. alm

    Hili ni jukumu letu sisi Watanzania wote kwa umoja wetu

    Bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kidini, kijinsia nk ni jukumu letu sote kama Watanzania wapenda amani, umoja na mshikamano wa taifa letu kumwondoa Rais Magufuli mwaka huu kupitia sanduku la kura wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika mwezi Oktoba. Pamoja na mazuri machache sana aliyofanya...
  6. B

    GE2020 Kwamba Watanzania wenye njaa wanahitaji tamasha la kuchambua wasanii wakupiga kampeni?

    Nchi hii watu wanaleta dharau, chama chetu tawala kinaleta dharua kubwa kwetu. Awali tuliambiwa hakuna haja ya wasanii, mara paap upepo umegeuka tumeamua kufanya tamasha la wasanii tuchuje nyimbo za kuimbwa kwetu wapiga kura? Je, ndipo mawazo na fikra zetu kuhusu kuvutia wananchi zilipoishia...
  7. BAK

    Huyu ndiye Lissu Mzalendo anayepigania maslahi ya Tanzania na Watanzania

    Tanzanian authorities attempt to silence activists on Bulyanhulu case 17 JANUARY 2002 Tanzanian authorities have arrested Rugemeleza Nshala, President of the Lawyers Environmental Action Team (LEAT), and raided the house of another LEAT lawyer, Tundu Lissu in connection with their...
  8. Nyani Ngabu

    GE2020 Wabeba maboksi wawaasa Watanzania wamchague tena Rais Magufuli

    Hawa ni wabeba maboksi wa huko Copenhagen, Denmark.
  9. T

    Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

    Kusema kweli mimi mkiristu kisa cha Ramadhani Ntunzwe kimenisikitisha Mwenye MB zako nisimwage chumvi Ona hapa[emoji116][emoji116][emoji116] Hii issue ikianza hivi natoa pongezi kwa Ramadhani kwa uvumilivu VIDEO: Hivi ndivyo mfanyabiashara aliyetajwa na Magufuli Baadae ikafuata hii mpaka...
  10. IAfrika

    Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

  11. G Sam

    GE2020 Akiwa njiani kwenda Tarime, Tundu Lissu asimamishwa Lamadi-Simiyu, wananchi wataka kuongea na kipenzi cha Watanzania

    Tukiwa njiani kwenda kuhutubia maelfu ya watu Tarime na Bunda ghafla tukavamiwa na halaiki hapa Busega Simiyu. Bado safari inaendelea.
  12. A

    Wapinzani msitufokee, watanzania sio wasahaulifu kiasi hicho

    Wanajamvi, Kumbukumbu zangu zimenichukua mpaka kwenye miaka 5 ya mwisho ya utawala wa Mzee Kikwete, yaani 2010 - 2015. Nimejaribu kupitia vyanzo mbalimbali pamoja na kumbukumbu zangu binafsi kuhusu zipi hasa zilikuwa ajenda za wapinzani. Wapinzani walipigia kelele sana suala la rushwa...
  13. Erythrocyte

    Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

    Hii ndio taarifa mpya inayozagaa mitandaoni kwa sasa. wote mnakaribishwa === Mgombea wa Urais, kupitia Chama cha Upinzania CHADEMA Tundu Lissu, alivyohojiwa na Citizen Online Radio Station, kutoka Nairobi Kenyan Tundu Lissu aongea mengi kuhusu mustakabali wa Tanzania, ambae anagombania...
  14. Q

    Pamoja na vitisho vyote Watanzania walikuwa wakiwaangalia tu, hongera Waunguja na wana Singida

    Acheni mtanzania aitwe mtanzania, ukimtisha anakuangalia utafikiri mjinga kumbe anasubiri siku akujibu. Na haya ndiyo majibu ya ukimya wao.
  15. A

    Nini kifanyike kukuza uzalendo miongoni mwa Watanzania?

    Wanajamvi, Ili nchi yoyote iweze kiendelea inahitaji wananchi wake wawe na uzalendo. Kwa maoni yenu, nini Kifanyike ili kukuza uzalendo miongoni mwetu sisi raia wa Tanzania?
  16. The Humble Dreamer

    Watanzania kwa aliyemuelewa Gwajima kwenye hii video atueleweshe

    Wakuu Salaam;
  17. Leslie Mbena

    “Ni yeye” anatufanya watanzania wajinga, anatufokea kama alivyofundishwa na wazungu aje kutufokea

    NI YEYE ANATUFANYA WATANZANIA WAJINGA,ANATUFOKEA KAMA ALIVYOFUNDISHWA NA WAZUNGU AJE KUTUFOKEA. Leo 12:30hrs 09/08/2020 Ni yeye kila siku akiongea anamtaja Rais John Magufuli na kazi zake zinazowakonga nyoyo Watanzania wote,maana Rais John Pombe Magufuli amekuwa ni "standard" na "measuring...
  18. Titicomb

    Kipigo alichopewa Aikande Clement Kwayu toka kwa watanzania sababu ya utafiti wake bandia hatakisahau

    Aliandika maoni yake akayaita utafiti akarusha mitandaoni na watanzania wakamjibu vizuri sana nahisi sasa atajua watanzania wa sasa si wale aliowaacha alipoenda ughaibuni. Kichwa cha habari na mambo aliyoyapa kipaumbele zaidi ya 85% kwenye andiko lake hayahusiani na kichwa cha habari yake...
  19. funaku

    GE2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

    Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais? Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais? Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa...
  20. Nafaka

    Hebu tukumbushane uongo ambao Watanzania tuliwahi kudanganywa

    Kuna uongo mwingi tuliwahi kuongopewa na watanzania weangi wakauamini hadi watu wakubwa na tuliodhani wanajua mambonao wakaukumbatia. Mimi ninaanza na huu. 1. Kipindi cha Jakaya Mrisho Kikwete akiwa rais, nakumbuka magazeti kadhaa na redio kadhaa ziliwahi ripoti kuwa kuna mapacha wawili ni...
Back
Top Bottom