shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 890
- 1,398
Nianze kwa kuwapongeza Watanzania kwa uzalendo wao wa kuchagua maendeleo bila kujali itikadi za vyama vyao, hakika ushindi wa CCM ni uthibitisho wa mageuzi ya ki-fikra ya Mwafrika yenye kuachana na mawazo tegemezi ya kila aletacho mzungu ni bora kuliko tulicho nacho.
Binafsi nilikuwa nina uhakika kama ilivyo kwa wazalendo wengi kuwa CCM ilikuwa lazima ishinde kwa sababu ambazo hata wapinzani walizifahamu.
Badala ya kuitisha maandamano, fanyeni press conference muwaombe msamaha watanzania kwa upotoshaji wenu, pia na ushiriki wenu wa kuisaliti nchi kwa misingi ya kutaka kuuza rasilimali za nchi yetu.
Hakika hamjachelewa, mkiomba msamaha, watanzania watawasamehe
Binafsi nilikuwa nina uhakika kama ilivyo kwa wazalendo wengi kuwa CCM ilikuwa lazima ishinde kwa sababu ambazo hata wapinzani walizifahamu.
Badala ya kuitisha maandamano, fanyeni press conference muwaombe msamaha watanzania kwa upotoshaji wenu, pia na ushiriki wenu wa kuisaliti nchi kwa misingi ya kutaka kuuza rasilimali za nchi yetu.
Hakika hamjachelewa, mkiomba msamaha, watanzania watawasamehe