Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,161
- 4,571
Mimi ni Mwana CHADEMA ila msema ukweli na ukweli unampa mtu uhuru.
Uchaguzi umeisha ila tumeshuhudia mambo mabaya sana hasa huko Zanzibar Pemba. Tumeshuhudia picha za maiti zikiwa zinatisha na ndugu wa marehemu wakisema ndugu zao waliuliwa na polisi.
Kwa jeshi linalofanya kazi kwa weledi sisi kama watanzania tulitakiwa tupate ukweli juu ya hizi picha na mauaji haya.
Niseme ukweli kuna mambo mabaya sana Polisi na vyombo vya usalama wanayafanya ila wanalindana na kuyaficha.
Tanzania ya leo sio ya miaka ya 70 ambayo watu walikuwa wanateswa na kufa mpaka Mzee Mwinyi akajiuzulu na viongozi wakuu wa vyombo vya usalama.
Niseme ukweli tu Polisi na vyombo vya ulinzi hawafanyi kazi kwa weledi sababu wakuu wao kama Sirro hawna weledi na sio wakweli. Leo hii ukiunda Tume huru utakuta 90% ya watanzania waliuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama bila makosa na Polisi walipotosha na kutoa ripoti za uongo.
Unaenda kumaliza awamu ya pili tafuta IGP ambae atawafaa watanzania na sio IGP kama Sirro ambae analinda makosa ya askari wanaoonea raia wasio na hatia.
Uchaguzi umeisha ila tumeshuhudia mambo mabaya sana hasa huko Zanzibar Pemba. Tumeshuhudia picha za maiti zikiwa zinatisha na ndugu wa marehemu wakisema ndugu zao waliuliwa na polisi.
Kwa jeshi linalofanya kazi kwa weledi sisi kama watanzania tulitakiwa tupate ukweli juu ya hizi picha na mauaji haya.
Niseme ukweli kuna mambo mabaya sana Polisi na vyombo vya usalama wanayafanya ila wanalindana na kuyaficha.
Tanzania ya leo sio ya miaka ya 70 ambayo watu walikuwa wanateswa na kufa mpaka Mzee Mwinyi akajiuzulu na viongozi wakuu wa vyombo vya usalama.
Niseme ukweli tu Polisi na vyombo vya ulinzi hawafanyi kazi kwa weledi sababu wakuu wao kama Sirro hawna weledi na sio wakweli. Leo hii ukiunda Tume huru utakuta 90% ya watanzania waliuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama bila makosa na Polisi walipotosha na kutoa ripoti za uongo.
Unaenda kumaliza awamu ya pili tafuta IGP ambae atawafaa watanzania na sio IGP kama Sirro ambae analinda makosa ya askari wanaoonea raia wasio na hatia.