Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,085
- 6,564
Hakuna mtanzania anayefurahi kuona kuna mgao wa umeme, kuona mradi muhimu kama JNHP unachelewa kwa mizengwe, na kuona mradi kama bandari ya Bagamoyo unapigiwa debe huku kuna bandari ya Tanga na Dsm.
Watanzania wenye nia njema na taifa lao wapo na wewe. Pambana na usikate tamaa mpaka mwisho. Kumbuka wewe ni sauti ya umma na unatumika kama microphone.
My take; Ukiona wahuni wanatumia njia za msituni kupambana na hoja ujue wamekwama.
Watanzania wenye nia njema na taifa lao wapo na wewe. Pambana na usikate tamaa mpaka mwisho. Kumbuka wewe ni sauti ya umma na unatumika kama microphone.
My take; Ukiona wahuni wanatumia njia za msituni kupambana na hoja ujue wamekwama.