waswahili

The Swahili people (Swahili: WaSwahili) are a Bantu ethnic group inhabiting East Africa. Members of this ethnicity primarily reside on the Swahili coast, in an area encompassing the Zanzibar archipelago, littoral Kenya, the Tanzania seaboard, northern Mozambique, the Comoros Islands, and Northwest Madagascar. More recently, Swahili identity is centered around any person of African descent who speaks Swahili as their first language, is Muslim and lives in a town on the main urban centers of most of modern day Tanzania and coastal Kenya, northern Mozambique and the Comoros, through a process of swahilization.The name Swahili is an Exonym derived from Arabic: سواحل, romanized: Sawāhil, lit. 'coasts'.
Swahili people speak the Swahili language. Swahili people's endonym for themselves is Waungwana, which means "the civilized ones." Modern Standard Swahili, derived from the Kiunguja dialect of Zanzibar. Like many other world language, Swahili has borrowed a number of words from foreign languages, particularly administrative terms from Arabic, but also words from Portuguese, Hindi and German. Other, older dialects like Kimrima and Kitumbatu have far fewer Arabic loanwords, indicative of the language's fundamental Bantu nature. Kiswahili served as coastal East Africa's lingua franca and trade language from the ninth century onward. Zanzibari traders' intensive push into the African interior from the late eighteenth century induced the adoption of Swahili as a common language throughout much of East Africa. Thus, Kiswahili is the most spoken African language though it is used by far more than just the Waswahili themselves.

View More On Wikipedia.org
  1. TheChoji

    Kwanini Waswahili hatuwezi kwenda na muda?

    Tunakubaliana kabisa, jamani eeh kesho tukutane saa tatu kamili asubuhi. Watu wote wanaitikia "Sawa, saa tatu imekaa vizuri kabisa!" Wewe unawahi saa tatu kasoro dakika 5 unafika eneo la tukio unakuta hakuna mtu hata mmoja. Unaanza kusubiri... saa tatu kamili, saa tatu na dakika 10, saa tatu na...
  2. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC tafadhali waambieni Wachezaji wazawa (Waswahili) waache kuwapiga Miba (Kuwaroga) Wenzao wa Kigeni

    GENTAMYCINE nimetaarifiwa na Mdau Mwenzao ( Mshirikina ) Mwenzao bila Yeye kujua aliyekuwa nae ni Mtu HATARI kwa kutafuta Taarifa Ngumu na Zilizojificha na mpaka aliko huyo Mganga Wao na Wachezaji Wenzake wote wa Simba SC, Yanga SC na hata wa Azam FC anaokwenda nao. Na huyo Mganga Wao wa...
  3. Lycaon pictus

    Ni desturi kwa Waswahili kusuka nywele bila kujali jinsia zao, kwanini Zanzibar wanakataza wanaume kusuka?

    Nimesikia Zanzibar mwanaume ukikutwa umesuka nywele unapigwa faini. Wanadai ili kulinda maadili na utamaduni wa Mzanzibari. Lakini wakati huo huo utamaduni wa Mzanzibar, kama ulivyo kwa Waswahili wote ilikuwa ni ruhusa kwa mwanaume na mwanamke kusuka nywele. Naona hawa wanaodai kulinda utamaduni...
  4. Superbug

    Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

    Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata. Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo...
  5. B

    Vijana wanaookota mipira uwanjani waswahili husema usiige kunya kwa tembo. TFF chukueni hatua tunakoelekea ni kubaya zaidi

    Siku zote mtu kufanya jambo lisilo la kwako na kulifanya kuwa la kwako lazima utaangukia pua tu. Tangu mechi ya Jana kati ya Taifa Stars na Niger kuna kitendo kilifanywa na hawa Vijana wanaookota mipira uwanjani, walirusha mara kadhaa mipira uwanjani kwa mkupuo. Watanzania wengi walishangilia...
  6. GENTAMYCINE

    DP World wawepo Uingereza kwa wanaojitambua halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

    Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae? Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata...
  7. Papasa

    Tulipofikia sasa hivi Waswahili

    Kula chuma hicho kutoka kwa wakudata
  8. R

    Kumbe hata wanawake wa Kizungu wanapenda sana kuhingwa? Nilijua ni waswahili tu.

    Nimeleta hii kama taarifa tu. Mimi nilikuwa naamini kwa kuwa wazungu wametutangulia kwa kila kitu hadi haki za uhuru na usawa baina ya jinsia moja na nyingine basi nilijuaga wao hawasumbui mambo ya vibomu. Ebwanaaee tena kuna wengine ni Vibom international Nimeona hii kwa mademu zake jamaa...
  9. A man with one idea

    Matabaka matano (5) ya Waswahili kiuchumi

    1. Mabwanyenye- Matajiri kupindukia, miungudunia 2. Walala heri- kipato cha kati 3. Walala hai- Wana Chakula cha kutosha tu 4. Walala hoi/Makabwela- Maskini, Mshahara kijungujiko, 5. Mafukara/Hohehahe/hawinde /fakiri - maskini kupindukia Tuendelee kukuza ulumbi
  10. Mohamed Said

    Waswahili katika kupinga ukoloni wa Wabelgiji Burundi

    WASWAHILI KATIKA KUPINGA UKOLONI BURUNDI Historia ya Sheikh Hassan bin Ameir na Waislam wa Burundi inashangaza. Hakuna Sheikh katika Afrika ya Mashariki aliyeweza kuingia Belgian Congo, Rwanda na Burundi kumpita Sheikh Hassan bin Ameir akieneza Uislam na wakati huo huo kwa ujanja mkubwa...
  11. Tajiri wa kinyankole

    Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

    Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa...
Back
Top Bottom