Kwanini miji yenye Waswahili wengi mfano Bagamoyo huwa iko nyuma kimaendeleo?

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,866
Nimebahatika kufika Bagamoyo safi na salama kabisa, shukran za dhati ziende kwa Mungu Mkuu.

Mji wa Bagamoyo ni mji mzuri sana kimandhari, ukitizama mji wenyewe huko kando kando ya bahari ya Hindi. Nimefika Bagamoyo kwanza ni mji umepoa sana, sio mji wenye harakati kwa sisi wachakarikaji, nahisi hata mzunguko wa pesa ni mdogo sana, na maduka ni ya kuhesabu hesabu kwenye mitaa niliyobahatika kupita.

Kwenye upande wa chakula wanajitahidi sana, nimekula wali wenye bei ndogo na radha nzuri tofauti na wali wa usukumani. Watu wa Bagamoyo hawasemi Wali, bali wanasema ni Ubwabwa. Kila mtu utasikia nipate Ubwabwa, mimi wa kanda ya ziwa nimezoea neno wali.

Ubaya wa Bagamoyo, mziki unaanzia kwenye barabara za mitaani, barabara nyingi mtaani ni za vumbi zenye mabonde mabonde, mvua ikinyesha barabara zote zinajaa madimbwi ya maji. Yaani hakuna Water Drainage Systems mabararani.

Maeneo mengi hayana nyumba za kupangisha za maana zinazoendana na kodi. Nyumba nyingi ni za wakazi, na za kupangisha utakuta unakaa na mwenye nyumba hapo hapo. Kwa sisi tusiopenda kukaa na wenye nyumba kidogo ni mtihani.

Mji ni mzuri, japo waswahili kibao, ukitembea hatua chache kila baada ya nyumba unakuta watu wamekaa nje. Vijana wengi ni bodaboda, wazee wengi ni wakukaaa majumbani tu. Tofauti na mikoa kama mwanza unakuta mzee nae anachakalika.

Kwa kifupi mara ya mwisho kuja bagamoyo ilikuwa 2016, sasa nimerejea 2023 lakini sijaona mabadiliko yoyote ya kimaendeleo, kwa kifupi mji haukui. Stendi ya daladala iko vile vile. Miji mingi iko vilevile. Kwa sababu ni mji unaopakana na Dar es Salaam nilitegemea kuona maendeleo kwa sababu ni rahisi kuagiza bidhaa za ujenzi na mambo mengine ya kimaendeleo na mji ukakua.

Sijui hawa jamaa wanafeli wapi kwenye maendeleo, huu ni miongoni mwa miji mikongwe sana hapa Tanzania (Tanganyika) ila wilaya hii haina maendeleo na inazidiwa maendeleo na Wilaya za juzi juzi tu kama Chato, na wilaya nyingine zinazofanya vizuri kiuchumi.

Unaweza kuongezea experience yako kuhusiana na mji huu mkongwe, na pia unawashauri nini wageni wanaoingia mji huu ni kipi cha kuzingatia na kipi cha kukaa nacho chonjo, kipi cha kufanya na kipi cha kuacha kufanya ndani ya mji huu mkongwe toka enzi za utumwa.
 
Kila Aya unasema njia mzuri harafu zinafuata blaaa blaaa kibao 😁😁

Kama huna hela ya kununua plot Bagamoyo sepa nenda mashambani huko Ngara 😂😂
😂😂😂 Mzee baba njia nyingi bagamoyo ni mbovu, hususani kipindi cha mvua, ni madimbwi... Pia watu wa huku sio hustlers, mji umepoa sana.

Kama ingekuwa Marekani basi haya maeneo uwa yanaitwa Countryside, ni maeneo kongwe yasiobadirika.

Kinachonishangaza ni kwa nini uwe mji mkongwe toka enzi za ukoloni, arab settlers, na wamishionari ila bado mji kiuchumi ni mbovu
 
Ni ubaguzi tu wa utawala wetu,mfano mtwara,nyerere alingoa reli na barabara ya kusini kuipotezea miaka na miaka.
Bagamoyo,JK alipitisha barabara,Aliyeisimamia JPM akaleta sababu ya mto Ruvu ikapindishwa pindishwa na haikupita kati kati ya bagamoyo,ingepita ingekuwa rahisi magari ya mikoa kupita na kuamsha ari ya ukuaji.leo JPM amepitisha daraja juu ya ziwa.
Tukija makazini wachaga wanawaingiza watoto wao wakiwa form six,na chuo degree moja mbio mbio kwenye mashirika yote ambayo msuya na mtei waluwaingiza wachaga miaka zaidi ya 40 iliyopita,wao wanaingiza watoto.
Sababu ni nyingi sana.
 
Tukija makazini wachaga wanawaingiza watoto wao wakiwa form six,na chuo degree moja mbio mbio kwenye mashirika yote ambayo msuya na mtei waluwaingiza wachaga miaka zaidi ya 40 iliyopita,wao wanaingiza watoto.
Hapa kwa wachaga na maendeleo ya Bagamoyo kuna uhusiano gani mkuu
 
Maendeleo ni relative term mkuu. Kwa wengine huo ubwaubwa wenye radha nzuri ndio Maendeleo yenyewe na sio hayo mabarabara

So long as wenyewe wanaridhika na kufurahia maisha we potezea tu
 
Nimebahatika kufika Bagamoyo safi na salama kabisa, shukran za dhati ziende kwa Mungu Mkuu.

Mji wa Bagamoyo ni mji mzuri sana kimandhari, ukitizama mji wenyewe huko kando kando ya bahari ya Hindi. Nimefika Bagamoyo kwanza ni mji umepoa sana, sio mji wenye harakati kwa sisi wachakarikaji, nahisi hata mzunguko wa pesa ni mdogo sana, na maduka ni ya kuhesabu hesabu kwenye mitaa niliyobahatika kupita.

Kwenye upande wa chakula wanajitahidi sana, nimekula wali wenye bei ndogo na radha nzuri tofauti na wali wa usukumani. Watu wa Bagamoyo hawasemi Wali, bali wanasema ni Ubwabwa. Kila mtu utasikia nipate Ubwabwa, mimi wa kanda ya ziwa nimezoea neno wali.

Ubaya wa Bagamoyo, mziki unaanzia kwenye barabara za mitaani, barabara nyingi mtaani ni za vumbi zenye mabonde mabonde, mvua ikinyesha barabara zote zinajaa madimbwi ya maji. Yaani hakuna Water Drainage Systems mabararani.

Maeneo mengi hayana nyumba za kupangisha za maana zinazoendana na kodi. Nyumba nyingi ni za wakazi, na za kupangisha utakuta unakaa na mwenye nyumba hapo hapo. Kwa sisi tusiopenda kukaa na wenye nyumba kidogo ni mtihani.

Mji ni mzuri, japo waswahili kibao, ukitembea hatua chache kila baada ya nyumba unakuta watu wamekaa nje. Vijana wengi ni bodaboda, wazee wengi ni wakukaaa majumbani tu. Tofauti na mikoa kama mwanza unakuta mzee nae anachakalika.

Kwa kifupi mara ya mwisho kuja bagamoyo ilikuwa 2016, sasa nimerejea 2023 lakini sijaona mabadiliko yoyote ya kimaendeleo, kwa kifupi mji haukui. Stendi ya daladala iko vile vile. Miji mingi iko vilevile. Kwa sababu ni mji unaopakana na Dar es Salaam nilitegemea kuona maendeleo kwa sababu ni rahisi kuagiza bidhaa za ujenzi na mambo mengine ya kimaendeleo na mji ukakua.

Sijui hawa jamaa wanafeli wapi kwenye maendeleo, huu ni miongoni mwa miji mikongwe sana hapa Tanzania (Tanganyika) ila wilaya hii haina maendeleo na inazidiwa maendeleo na Wilaya za juzi juzi tu kama Chato, na wilaya nyingine zinazofanya vizuri kiuchumi.

Unaweza kuongezea experience yako kuhusiana na mji huu mkongwe, na pia unawashauri nini wageni wanaoingia mji huu ni kipi cha kuzingatia na kipi cha kukaa nacho chonjo, kipi cha kufanya na kipi cha kuacha kufanya ndani ya mji huu mkongwe toka enzi za utumwa.
"ukitizama mji wenyewe huko kando kando ya bahari", hebu tafsiri kwa kiswahili nielewe kwani "huko" inanichangaya.
 
😂😂😂 Mzee baba njia nyingi bagamoyo ni mbovu, hususani kipindi cha mvua, ni madimbwi... Pia watu wa huku sio hustlers, mji umepoa sana.

Kama ingekuwa Marekani basi haya maeneo uwa yanaitwa Countryside, ni maeneo kongwe yasiobadirika.

Kinachonishangaza ni kwa nini uwe mji mkongwe toka enzi za ukoloni, arab settlers, na wamishionari ila bado mji kiuchumi ni mbovu
Kwani pale bukoba pakoje
 
Ni ubaguzi tu wa utawala wetu,mfano mtwara,nyerere alingoa reli na barabara ya kusini kuipotezea miaka na miaka.
Bagamoyo,JK alipitisha barabara,Aliyeisimamia JPM akaleta sababu ya mto Ruvu ikapindishwa pindishwa na haikupita kati kati ya bagamoyo,ingepita ingekuwa rahisi magari ya mikoa kupita na kuamsha ari ya ukuaji.leo JPM amepitisha daraja juu ya ziwa.
Tukija makazini wachaga wanawaingiza watoto wao wakiwa form six,na chuo degree moja mbio mbio kwenye mashirika yote ambayo msuya na mtei waluwaingiza wachaga miaka zaidi ya 40 iliyopita,wao wanaingiza watoto.
Sababu ni nyingi sana.
Sheria hairuhusu barabara kuu kupita katikati ya mji, miji mingi serikali inaziondoa barabara na kuzipitisha nje ya miji, mfano Morogoro ilikuwa inapita katikati ya mji kwenye soko kuu, ikapelekw Msamvu. Dodoma hivi sasa inajengwa nje ya mji, Mbeya nako inajengwa nje ya mji.
 
Utadhani Bukoba ina maendeleo vile😀😀 na iko kandokando ya ziwa.
Kwa namna Wahaya walivyo na sifa, wasomi, wamejaa Marekani, BK haipaswi kuwa vile ilivyo.
Nyani haoni kundule.
 
Nimebahatika kufika Bagamoyo safi na salama kabisa, shukran za dhati ziende kwa Mungu Mkuu.

Mji wa Bagamoyo ni mji mzuri sana kimandhari, ukitizama mji wenyewe huko kando kando ya bahari ya Hindi. Nimefika Bagamoyo kwanza ni mji umepoa sana, sio mji wenye harakati kwa sisi wachakarikaji, nahisi hata mzunguko wa pesa ni mdogo sana, na maduka ni ya kuhesabu hesabu kwenye mitaa niliyobahatika kupita.

Kwenye upande wa chakula wanajitahidi sana, nimekula wali wenye bei ndogo na radha nzuri tofauti na wali wa usukumani. Watu wa Bagamoyo hawasemi Wali, bali wanasema ni Ubwabwa. Kila mtu utasikia nipate Ubwabwa, mimi wa kanda ya ziwa nimezoea neno wali.

Ubaya wa Bagamoyo, mziki unaanzia kwenye barabara za mitaani, barabara nyingi mtaani ni za vumbi zenye mabonde mabonde, mvua ikinyesha barabara zote zinajaa madimbwi ya maji. Yaani hakuna Water Drainage Systems mabararani.

Maeneo mengi hayana nyumba za kupangisha za maana zinazoendana na kodi. Nyumba nyingi ni za wakazi, na za kupangisha utakuta unakaa na mwenye nyumba hapo hapo. Kwa sisi tusiopenda kukaa na wenye nyumba kidogo ni mtihani.

Mji ni mzuri, japo waswahili kibao, ukitembea hatua chache kila baada ya nyumba unakuta watu wamekaa nje. Vijana wengi ni bodaboda, wazee wengi ni wakukaaa majumbani tu. Tofauti na mikoa kama mwanza unakuta mzee nae anachakalika.

Kwa kifupi mara ya mwisho kuja bagamoyo ilikuwa 2016, sasa nimerejea 2023 lakini sijaona mabadiliko yoyote ya kimaendeleo, kwa kifupi mji haukui. Stendi ya daladala iko vile vile. Miji mingi iko vilevile. Kwa sababu ni mji unaopakana na Dar es Salaam nilitegemea kuona maendeleo kwa sababu ni rahisi kuagiza bidhaa za ujenzi na mambo mengine ya kimaendeleo na mji ukakua.

Sijui hawa jamaa wanafeli wapi kwenye maendeleo, huu ni miongoni mwa miji mikongwe sana hapa Tanzania (Tanganyika) ila wilaya hii haina maendeleo na inazidiwa maendeleo na Wilaya za juzi juzi tu kama Chato, na wilaya nyingine zinazofanya vizuri kiuchumi.

Unaweza kuongezea experience yako kuhusiana na mji huu mkongwe, na pia unawashauri nini wageni wanaoingia mji huu ni kipi cha kuzingatia na kipi cha kukaa nacho chonjo, kipi cha kufanya na kipi cha kuacha kufanya ndani ya mji huu mkongwe toka enzi za utumwa.
kwa watu wa pwani hususani wazee,
kukaa nyumbani tena kibarazani ni utamaduni wao baada ya kutoka uvuvini ama minazini....

hayo mengine ya mabarabara, standi ya basi, mabodaboda, na pengine shule, mahospitali, mabenki nakadhalika yanatofatiani kidogo tu na maeneo mengi nchini....

Bagamoyo ni tulivu na kuna amani sana....
 
Nimebahatika kufika Bagamoyo safi na salama kabisa, shukran za dhati ziende kwa Mungu Mkuu.

Mji wa Bagamoyo ni mji mzuri sana kimandhari, ukitizama mji wenyewe huko kando kando ya bahari ya Hindi. Nimefika Bagamoyo kwanza ni mji umepoa sana, sio mji wenye harakati kwa sisi wachakarikaji, nahisi hata mzunguko wa pesa ni mdogo sana, na maduka ni ya kuhesabu hesabu kwenye mitaa niliyobahatika kupita.

Kwenye upande wa chakula wanajitahidi sana, nimekula wali wenye bei ndogo na radha nzuri tofauti na wali wa usukumani. Watu wa Bagamoyo hawasemi Wali, bali wanasema ni Ubwabwa. Kila mtu utasikia nipate Ubwabwa, mimi wa kanda ya ziwa nimezoea neno wali.

Ubaya wa Bagamoyo, mziki unaanzia kwenye barabara za mitaani, barabara nyingi mtaani ni za vumbi zenye mabonde mabonde, mvua ikinyesha barabara zote zinajaa madimbwi ya maji. Yaani hakuna Water Drainage Systems mabararani.

Maeneo mengi hayana nyumba za kupangisha za maana zinazoendana na kodi. Nyumba nyingi ni za wakazi, na za kupangisha utakuta unakaa na mwenye nyumba hapo hapo. Kwa sisi tusiopenda kukaa na wenye nyumba kidogo ni mtihani.

Mji ni mzuri, japo waswahili kibao, ukitembea hatua chache kila baada ya nyumba unakuta watu wamekaa nje. Vijana wengi ni bodaboda, wazee wengi ni wakukaaa majumbani tu. Tofauti na mikoa kama mwanza unakuta mzee nae anachakalika.

Kwa kifupi mara ya mwisho kuja bagamoyo ilikuwa 2016, sasa nimerejea 2023 lakini sijaona mabadiliko yoyote ya kimaendeleo, kwa kifupi mji haukui. Stendi ya daladala iko vile vile. Miji mingi iko vilevile. Kwa sababu ni mji unaopakana na Dar es Salaam nilitegemea kuona maendeleo kwa sababu ni rahisi kuagiza bidhaa za ujenzi na mambo mengine ya kimaendeleo na mji ukakua.

Sijui hawa jamaa wanafeli wapi kwenye maendeleo, huu ni miongoni mwa miji mikongwe sana hapa Tanzania (Tanganyika) ila wilaya hii haina maendeleo na inazidiwa maendeleo na Wilaya za juzi juzi tu kama Chato, na wilaya nyingine zinazofanya vizuri kiuchumi.

Unaweza kuongezea experience yako kuhusiana na mji huu mkongwe, na pia unawashauri nini wageni wanaoingia mji huu ni kipi cha kuzingatia na kipi cha kukaa nacho chonjo, kipi cha kufanya na kipi cha kuacha kufanya ndani ya mji huu mkongwe toka enzi za utumwa.

Mleta mada umeshawahi fika lindi?kilwa ishajifia yamebaki magofu tu.
 
Mada zako za kipimbi sana ,ona sasa unafanya marudio ya mada ambay ipo kitambo hapa Jf..
 
Ni ubaguzi tu wa utawala wetu,mfano mtwara,nyerere alingoa reli na barabara ya kusini kuipotezea miaka na miaka.
Bagamoyo,JK alipitisha barabara,Aliyeisimamia JPM akaleta sababu ya mto Ruvu ikapindishwa pindishwa na haikupita kati kati ya bagamoyo,ingepita ingekuwa rahisi magari ya mikoa kupita na kuamsha ari ya ukuaji.leo JPM amepitisha daraja juu ya ziwa.
Tukija makazini wachaga wanawaingiza watoto wao wakiwa form six,na chuo degree moja mbio mbio kwenye mashirika yote ambayo msuya na mtei waluwaingiza wachaga miaka zaidi ya 40 iliyopita,wao wanaingiza watoto.
Sababu ni nyingi sana.

Kwahiyo adui zako wakuu ni Nyerere,Jpm na wachaga ndio sababu kuu ya bagamoyo kutokuendelea?
 
kwa watu wa pwani hususani wazee,
kukaa nyumbani tena kibarazani ni utamaduni wao baada ya kutoka uvuvini ama minazini....

hayo mengine ya mabarabara, standi ya basi, mabodaboda, na pengine shule, mahospitali, mabenki nakadhalika yanatofatiani kidogo tu na maeneo mengi nchini....

Bagamoyo ni tulivu na kuna amani sana....

Pako poa sana bagamoyo.
 
Binafsi ninasema umwinyi,yaani kula bagamoyo huwezi kuta duka limefunguliwa saa 12 asubui, vijana hawajitumi, kuna jamaa alikuwa na mashine ya husaga sembe alikuwa anatauta mtu kutoka da anaenda kusaga, kuna mtu wa kule alikuwa anafanya kazi akijisikia yaani anaweza kusaga leo tena anakuja saa 5 ikifika saa 11 amefunga kazi
 
Back
Top Bottom