Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,614
3,903
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

FB_IMG_1644944529447.jpg
 
Yaani kuna watu kwa kulalamika hawajambo, kufanya kazi au kuwahudumia watu wa namna hiyo inabidi uwe na moyo wa chuma.

Wao kukiwa na baridi watalalamika, hiyo watalalamika, mvua watalamika, ukame watalaumu, wakidhulumiwa watalalamika, wakitendewa haki watalaumu, wakipewa watauliza kwa nini, wakinyimwa watalaani......

Kifupi wao wana shida na kila solution inayopatikana
 
Halafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?

Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
 
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma serikali inayoyafanya kwa njia ya kiingereza hii imeminya umma usiojua kiingereza kutojuwa yanayoendelea nchini tabia kama hii naona ni bora mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ZUHURA YUNISI atambue kuwa kwa sasa hayupo uingereza ni mhimu sana taarifa aziandike kwa kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini. ZUHURA TUNAOMBA UFAHAMU SISI NI WATANZANIA NA LUGHA YETU NI KISWAHILI ; LUGHA UNAYOTUMIA KUTUPASHA HABARI ZA IKULU NI MWIBA KWA WALIOWENGI HAPA NCHINI TUNAOMBA UBADILIKE NA KAMA UNAONA NI MHIMU KUANDIKA LUGHA HIYO BASI TUANDIKIE NA LUGHA YETU YA KISWAHILI.View attachment 2120348
Kwani ulikimbia umande?
 
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma serikali inayoyafanya kwa njia ya kiingereza hii imeminya umma usiojua kiingereza kutojuwa yanayoendelea nchini tabia kama hii naona ni bora mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ZUHURA YUNISI atambue kuwa kwa sasa hayupo uingereza ni mhimu sana taarifa aziandike kwa kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini. ZUHURA TUNAOMBA UFAHAMU SISI NI WATANZANIA NA LUGHA YETU NI KISWAHILI ; LUGHA UNAYOTUMIA KUTUPASHA HABARI ZA IKULU NI MWIBA KWA WALIOWENGI HAPA NCHINI TUNAOMBA UBADILIKE NA KAMA UNAONA NI MHIMU KUANDIKA LUGHA HIYO BASI TUANDIKIE NA LUGHA YETU YA KISWAHILI.View attachment 2120348

Ulimbukeni
 
Hizo chanjo za covid mtakazozalisha mtapeleka kwa mabeberu? Maana bongo hizo chanjo zimeshapotezewa.......
 
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma serikali inayoyafanya kwa njia ya kiingereza hii imeminya umma usiojua kiingereza kutojuwa yanayoendelea nchini tabia kama hii naona ni bora mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ZUHURA YUNISI atambue kuwa kwa sasa hayupo uingereza ni mhimu sana taarifa aziandike kwa kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini. ZUHURA TUNAOMBA UFAHAMU SISI NI WATANZANIA NA LUGHA YETU NI KISWAHILI ; LUGHA UNAYOTUMIA KUTUPASHA HABARI ZA IKULU NI MWIBA KWA WALIOWENGI HAPA NCHINI TUNAOMBA UBADILIKE NA KAMA UNAONA NI MHIMU KUANDIKA LUGHA HIYO BASI TUANDIKIE NA LUGHA YETU YA KISWAHILI.View attachment 2120348
Rudi Chato mkaandikiwe kilugha chenu
 
Wazee wa kupinga kila kitu, huwa mnapinga kwa manufaa yenu ili muonekane kuwa mmepinga?
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma serikali inayoyafanya kwa njia ya kiingereza hii imeminya umma usiojua kiingereza kutojuwa yanayoendelea nchini tabia kama hii naona ni bora mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ZUHURA YUNISI atambue kuwa kwa sasa hayupo uingereza ni mhimu sana taarifa aziandike kwa kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini. ZUHURA TUNAOMBA UFAHAMU SISI NI WATANZANIA NA LUGHA YETU NI KISWAHILI ; LUGHA UNAYOTUMIA KUTUPASHA HABARI ZA IKULU NI MWIBA KWA WALIOWENGI HAPA NCHINI TUNAOMBA UBADILIKE NA KAMA UNAONA NI MHIMU KUANDIKA LUGHA HIYO BASI TUANDIKIE NA LUGHA YETU YA KISWAHILI.View attachment 2120348
 
Kama hawatoi na taarifa ya Kiswahili huo utakuwa ni ulimbukeni. Kwa kuwa walengwa wakuu wa hizo taarifa ni umma wa waTanzania ambao lugha yao kuu ni Kiswahili.
 
Official language ni Kiswahili (Fasaha) na English. Sasa favouratism ya nini kuchagua lugha moja baada ya zote mbili?
 
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma serikali inayoyafanya kwa njia ya kiingereza hii imeminya umma usiojua kiingereza kutojuwa yanayoendelea nchini tabia kama hii naona ni bora mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ZUHURA YUNISI atambue kuwa kwa sasa hayupo uingereza ni mhimu sana taarifa aziandike kwa kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini. ZUHURA TUNAOMBA UFAHAMU SISI NI WATANZANIA NA LUGHA YETU NI KISWAHILI ; LUGHA UNAYOTUMIA KUTUPASHA HABARI ZA IKULU NI MWIBA KWA WALIOWENGI HAPA NCHINI TUNAOMBA UBADILIKE NA KAMA UNAONA NI MHIMU KUANDIKA LUGHA HIYO BASI TUANDIKIE NA LUGHA YETU YA KISWAHILI.View attachment 2120348
Mimi nashangaa kila siku kingereza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa kabisa; hiyo ya Kiswahili ni kwa WADANGANYIKA na hiyo ya pili ni ya INTERNATIONAL COMMUNITY!!
Mbona hiyo intenashno comunity haituletei habari za kiswahili na sisi tuelewe wanachofanya huko kwao?

Tuache ushamba.
 
Back
Top Bottom