Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 525
- 1,816
Naombeni matumizi sahihi ya iko na ipo au tuko na tupo.
Ukitoa maelezo na mfano wa sentensi itakuwa vizuri zaidi
Ukitoa maelezo na mfano wa sentensi itakuwa vizuri zaidi
Shemeji yake na shemeji wakeNaombeni matumizi sahihi ya iko na ipo au tuko na tupo.
Ukitoa maelezo na mfano wa sentensi itakuwa vizuri zaidi
Sawa sasa ni wakati gani wa kutumia iko na ipo?Léo tuko hapa
Léo tupo hapa
Sukari iko nyingi
Sukari ipo nyingi
Léo TUKO hapa,tutakunywa sana chai kwa vile Sukari IKO nyingi.
Léo TUPO hapa,tutalewa tutakavyo Sababu Pesa IPO nyingi.
Nadhani IPO na TUPO Ina Sound POA
Tumia IPO na TUPO,ukiwa hapa Tanzania
Tumia TUPO na IKO ukiwa kwa majirani zetu Wakenya.
Unaweza kufafanuaShemeji yake na shemeji wake
Tupe ujuzi huo mzee wa BAKITAMambo ya nafsi katika kiswahili hayo
Nimekuelewa kuwa iko ni kwa vitu vilivyo mbali na ipo vilivyopo karibuIpo maana yake ni hapa hapa, yaani ukisema sukari ipo ni kwamba ipo hapa hapa na
Iko ni kwamba sehemu nyingine yaani sukari iko, ila ni mpaka godown au store
Upo?
Sasa tujaribu hapa chini
"Upo hapo ulipo upo"? Atakaeweza kutafsiri
hapa nampa maua yake
NimekusomaKo - general (ujumla)
Kiaambishi hiki hutumika unapoongelea mahali kitu/mtu alipo kwa ujumla (general).
Mfano: Niko Dar es salaam (Dar es salaam ni kubwa na haifafanui upo Dar es salaam sehemu gani)
Pia kiambishi -ko kinatumika unapouliza kujua kitu/mtu mahali aliko.
Mfano: Mwanafunzi yuko wapi.?
Po - Specific (bayana)
Kiambishi hiki hutumika kuelezea bayana kitu/mtu alipo.
Mfano: Nipo Kinondoni
Yupo Makumbusho
Hujui namna ya kuzitumia ngeli?Nimekuelewa kuwa iko ni kwa vitu vilivyo mbali na ipo vilivyopo karibu
Vipi kuhusu tuko na tupo?
Upo sahihi kabisaNimekusoma
Kwa hiyo nitakuwa sahihi kusema kwa mfano: kwa sasa niko Dar es Salaam ila nipo Tegeta kimakazi
Hakika bado hujaelewaNimekuelewa kuwa iko ni kwa vitu vilivyo mbali na ipo vilivyopo karibu
Vipi kuhusu tuko na tupo?
Ama "uko sahihi kabisa"Upo sahihi kabisa
Ni kama jamaa yako Tu unamuuliza vipi upo shop hapo na je huo mchele upoIpo maana yake ni hapa hapa, yaani ukisema sukari ipo ni kwamba ipo hapa hapa na
Iko ni kwamba sehemu nyingine yaani sukari iko, ila ni mpaka godown au store
Upo?
Sasa tujaribu hapa chini
"Upo hapo ulipo upo"? Atakaeweza kutafsiri
hapa nampa maua yake
Tuelekezane tu mkuuHujui namna ya kuzitumia ngeli?
Samahani inabidi apatikane mwalimu sasa
Sawa kakaUpo sahihi kabisa
Unanisaidiaje?Hakika bado hujaelewa