wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tule tujamaa twa 'Mama asemewe'. tumepotelea wapi?? huwezi Kupambana na Ukweli ,Uhalisia !!.

    Wakuu, tujamaa tule tumeenda wapi??.
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Huu moshi mweupe ama mweusi kuchagua pope unatokea wapi..nani anawasha moto wake

    NILikuwa naangalia wapiga kura wa kuchagua pope mpya Kabla ya yotre ealieleza tukiona moshi mweupe ujue papa amekuja Mweusi mjue shuhuli pevu Sada nawaza huu moshi hutokea wapi Na kama ni sababu ya moto anayewasha n nani?? Kila la kheri mtoa moshi embu kwa walivyochoka wapiga kura njoo na...
  3. musicarlito

    JamiiForums Tanzania Nchi hii bila Kanisa Katoliki tungekuwa wapi?

    Wasalaam Juzi nimeona Kanisa Katoliki wamepeleka huduma za afya Kisarawe kupitia Caritas eneo ambalo asilimia kubwa ilionesha lina waislam wengi...walishukuru wanasema tangu uhuru hawakuwa na huduma za afya Wahudhuriaji wengi walikuwa waislamu pamoja na kuwa viongozi wa mradi alikuwa Askofu...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi mzizimkavu?

    Mda mrefu sana sijamuona huyu mzee humu ndani. Alikuwa mtaalamu sana wa mambo ya elimu ya gizani yeye na pacha wake mshana jr, ila kwa sasa sijui yuko wapi. Je kabadili id au naye alipewa lift na ile bombadia ya covid-19.
  5. Kitchener

    JamiiForums Tanzania Yale mabehewa ya SGR ya ngazi mbili yapo wapi? au tulishapigwa na kula hasara?

    Kwa wapenzi wa kupanga train ya mwendo kasi, kuna mabehewa fulani tulitunua kwa kodi za wananchi, tukatumia garama kubwa kusafirisha toka korea hadi hapa, ila sijaona yakitumika. Zipo fununu kwamba hayakuwa compatible, tunataka kujua why not compatible? yapo wapi? mazima au walituletea...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wale wazee "tutashitakiwa MIGA" walipotelea wapi?

    Huko bungeni Ulaya leo kutawaka moto. Kitini hawatakuwapo Tulia wa Zungu, wala mama yake na taarifa. Wapenda haki wameshafanya vitu vyao: Siyo Bora tungeshtakiwa MIGA? Hivi wale wazee wa kushtakiwa MIGA waliishia wapi? Tuwakumbuke wazee wa kushtakiwa MIGA: Etwege Elitwege Chillah Maswa...
  7. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana mnafeli wapi mpaka binti kama huyu anafika 29 yupo single ?

  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa dini na upinzani kuhamasisha haki sio uchochezi wala vurugu ni mwanzo wa ukombozi

    Kila mtu anajua kuwa viongozi wa dini ni watanzania na bado ni wapiga kura, kwahiyo ni haki yao kuhamasisha uchaguzi wa haki. Kila mmoja anajua upinzani ni chama halali cha siasa Tanzania kilichosajiliwa kihalali hivyo kuhamasisha haki na mabadiliko ya uchaguzi ni haki yao hiyo sio suala la...
  9. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Waafrika tunafeli wapi tunayajua haya yote na kuyasoma lakini hatubadiliki

    KITABU: UNAWEZA KUNISIKIA HUMU NDANI --- SURA YA KWANZA: MLIO USIOSIKIKA Nilianza kusikia sauti kabla sijazaliwa. Ililia kama upepo unaopita katikati ya milima isiyo na majina. Ilikuwa ni sauti ya kitu kilichokatwa — si mti, bali historia. Sauti ya mwangwi wa jina lililofutwa kwenye ramani...
  10. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Kama si hapa tuseme wapi? Maumivu hayawezi kunyamaza!

    Hii Game Imekuwa Chafu Sana… Who’s Gonna Clean Up the Mess? Kuna wakati moyo unachoka. Kuna wakati macho yanakataa kulala. Kuna wakati maneno yanakataa kunyamaza hata kama ulimi umebanwa. Hii ni hiyo time. Tumefika mwisho wa uvumilivu. Mtu anabebwa home kwake, usiku, kimyakimya. Hakuna doc...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Mh Mch Gwajima?

    Habari!! Sijamsikia kwa muda mrefu kidogo Mh Mch Gwajima, mbunge wa Jimbo la Kawe. Kuna mwenye taarifa alipo mheshimiwa huyu? Mbona kimya sana? au ni Mimi tu ndiye simsikii? Nitashukuru sana kwa taarifa za alipo. Ahsante
  12. M

    JamiiForums Tanzania Yuko Wapi Dkt. W. Slaa?

    Ndio, sijamsikia kwa muda mrefu Sasa. Kipindi tunachopitia, mazingira tuliyomo, matukio yanayotokea yeye Yuko wapi?
  13. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Rebecca Gyumi kapotelea wapi? Chezea NDOA wewe!

    1. Mwanaharati huyu Enzi za jiwe alikua na kampeni mujarabu ya kupinga Sheria ya ndoa na alifanikiwa kushinda mahakamani. 2. Sasa yeye alipoingia kwenye NDOA naona kapotea Mazima. NDOA ukiingia kiuhanarakati lazima uchechemee kama umekanyaga nnya
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kampeni za upandaji miti Kitaifa ziliishia wapi?

    Miaka fulani kulikua na kampeni ya Kitaifa upandaji miti January Mosi ghafla ikahamishiwa Aprili ghafla ikapotea. Tumetoka mbali ndugu zangu
  15. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Wanasheria wa Yanga walisomea wapi?

    Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAF kulalamikia goli la Aziz Ki kule South Africa,na ishu ya derby ya Simba kuipeleka CAS Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao kienyeji.zote huwa...
  16. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Technology Yetu miaka 10 ijayo je tutakuwa wapi?

    Wadau wa technology: Software Robotics AR & VR technology Mobile Computing Tech in Health Nk. Predictors (Pattern recognitors) wa tujadili next gen tech
  17. ESCORT 1

    JamiiForums Tanzania Wakali wa Location hapa ni wapi?

    Kama wewe unaifahamu vyema Tanzania, hapa ni wapi?
  18. Pettymagambo

    JamiiForums Tanzania Wapo wapi wanasimba hawa?

    Nimewakumbuka sana hawa wanalunyasi, hapa jukwaani walikuwa wanachangamsha kweli hasa kuanzisha nyuzi za mechi za mnyama, lakini tangu ubaya ubwela uanze sijawaona tena! Naomba nijue kama wanachunguliaga humu japo mara mojamoja nitafurahi mno, members hawa ni- Ghazwat mzee wa mwana kulitaka...
  19. Light Saber Imetosha Sasa

    JamiiForums Tanzania Ziko wapi zile familia?

    Kwani siku hizi hakuna zile familia za "CHUKUA MILLION 5 UKAE MBALI NA BINTI YANGU" Ali Nassoro Px Facebook
  20. B

    JamiiForums Tanzania Hussein Bashe: Kwa mujibu wa katiba Rais ndiye msimamizi wa Rasilimali za nchi. Yeye ndiye anaegawa keki

    Wakuu mnaoulizaga ni wapi Rais anapata pesa anazogawa ama ruzuku anazotoa === Hussein Bahe akizungumza kwenye uzinduzi wa benki ya ushirika Dodoma, leo Aprili 28, 2025 amesema kuwa wanaouliza ni wapi Rais Samia anatoa wapi pesa anazogawa kwa wakulima inapaswa wajue Rais ndiye mgawa keki. Bashe...
Back
Top Bottom