wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. wizodg

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa waliendaga wapi

    Wakuu back then nakumbuka kuna kampuni inaitwa tttr autoupgrades nilikuwa nawafatilia instagram sasa leo naangalia kwenye ig maana ni mda sijawafatilia nakuta last post ni 2019.ni kwamba kampuni ilifungwa .ni nini kilihappen
  2. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Wazo la kumhusisha nyoka na uovu linatoka wapi?

    Biblia pamoja na simulizi nyingi za kale kutoka sehemu mbalimbali za dunia zinaashiria uwezekano wa wanadamu wa zamani kuwa na mawasiliano na viumbe wa ajabu waliotoka mbali maarufu kama Ancient Aliens. :::(Rejea mada tuliyowaongelea ANUNNAKI). Simulizi la bustani ya Edeni katika kitabu cha...
  3. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Mafundi wa umeme wa magari wanasomea wapi?

    Wakuu hivi kuna vyuo vya hii kitu au ndo full janjajanja za mjini? Inasomewa vyuo gani hapa nchini? Kozi inaitwaje? Nahitaji hii kitu one day aisee.
  4. N

    JamiiForums Tanzania TANESCO Arumeru-ARUSHA Umeme mbona tuko gizani, wapi umeme?

    Kwanini umeme unakatika kwa siku hata zaidi ya mara 10 kuna nini? Km leo kuanzia saa 12 hakuna umeme tuko gizani, kuna nini mbona hatuelewi. Maisha gani haya ya kuishi gizani zama hizi na umeme mnatuambia upo mpk wa ziada?
  5. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Kilimo BBT umeishia wapi?

    Je huu mradi bado UPO na kama UPO umefikia wapi BBT
  6. M

    JamiiForums Tanzania Faida ya elimu Tanzania iko wapi?

    Askari wa kidato Cha nne ana posho ya usafiri, chakula, vinywaji na akiwa na elimu ya diploma au degree au fani nyingine nayo inalipwa posho. Lakini Lecturer/Mhadhiri mwenye PH D Hana posho yeyote zaidi ya mshahara wake wa mwezi. Labda apambane na research abahatike kuokota chochote. Ndugu zangu...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Ujasiri wa Yezebeli kupaka wanja na kujipamba baada ya kupata habari za uhaini, aliutoa wapi?

    Salaam, Shalom! Mnasema wanaume ni majasiri, kuna mwanamke mmoja aliishangaza Dunia. Mchawi huyu alikuwa mke wa Mfalme Ahabu, alikuwa mchawi sugu, alikuwa amemtia limbwata mfalme, Mchawi huyu akauwa manabii wote nchini pake manabii wa Mungu aliye hai, waliopona kuuwawa walifichwa mapangoni...
  8. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Nilimwambia mshikaji wangu asitembee na viatu ndani lakini jamaa kasusa na kukasirika

    Ipo hivi nilimuita mshikaji tupige story moja mbili sasa tulianza usafi hapa na pale baada ya kumaliza nikaanza kuandaa chakula namuona jamaa ana zunguka ndani na viatu nikamchana sipendi mtu azunguke ndani na viatu af vichafu kakasirika kaondoka zake kasusa na chakula hapo ninakosa? Sipemdi...
  9. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania kwanini waumini wa Gwajima wanateseka, Mungu yupo wapi?

    Ukisoma biblia kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo Mungu alijitokeza waziwazi pale anapoona watu wake wakiteseka na kuumizwa. Nimepita hapo ubungo nimeona police wakizingira kanisa la KKKT ambapo waumini wa gwajima wanasali hapo, kimachoenda kutokea hapo ni kipigo cha hatari, Mungu yuko wapi awatetee...
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Naweza kupata wapi vitabu original vya Torati, Zaburi na Injili ambavyo havijapotoshwa/kuchakachuliwa?

    Inasemekana kwamba hivi vitabu vya sasa vya Taurat, Injil na Zabur wanavyotumia Wakristo ni nakala zilizopotoshwa na kuchakachuliwa na wajanja kwa kuingiza mambo yao. Ni wapi vinakopatikana vitabu original/halisi ambavyo havijachakachuliwa au kupotoshwa?
  11. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka unawaza hapo nyuma ulikosea wapi? Part[2]

    https://www.jamiiforums.com/threads/ushawahi-kujichanganya-kimapenzi-mpaka-ukawa-unawaza-hapo-nyuma-ulikosea-wapi.2291358/ Kwema wanafamilia.... Maisha haya hayana mapumziko, hasa hasa sisi wanaume, wanakuambia utapumzika ukifa.... Misukosuko nayo ni sehemu ya maisha hata ujitahidi vipi...
  12. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania RIP Ali Kibao, na Wengine wote ambao hatujui wako wapi au nini kiliwakuta

    Mods naomba msifute uzi huu, sina maana ya kuchochea wala kukosoa bali kuonyesha kusikitishwa na matukio ya kupotea, kutekwa na kuuwawa kwa baadhi ya Watanzania huku baadhi yao tukiwa hatujui wako wapi hadi sasa. Tunawaombea wale wote waliotangulia, na ambao wapo mahali labda wametekwa (hatujui)...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ni wapi naweza kupata solar

    Nahitaji kuwasha taa kumi na mbili Tv Je ni wapi naweza kupata solar kwa ajili ya kazi hizi kwa bei poa
  14. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Wale jamaa "USHAHIDI: JINSI MKOJO WANGU WA ASUBUHI ULIVYONIPONYA" waliishia wapi

    Watu wakaoga mamikojoo weee🤣🤣, sijui huko wanaendeleaje Mara sijui akashinda bet ya milioni 250 , aisee wabongo 🤣🤣
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15 mfululizo tangu mwaka 2010. Soma, Pia: Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Hivi CHAUMMA imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi?

    Hivi chaumma imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi? Anyways nani yupo free nimpitie kesho twende tukale mihogo na samaki?
  17. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta ma box makubwa matupu , wapi wanauza mabox matupu?

    Habari wadau Wapi wanauza ma box ?
  18. blogger

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Lodi Music? Anajua sana!

    Nimejikuta hapa .. nikamkumbuka. Yuko Wapi now Lodi Music?
  19. LOVE U JF

    JamiiForums Tanzania Hivi siku hizi wako wapi wale waliosema Iran haiwezi kurusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Israel?

    Ndugu kulikua na mtifuano humu jf baina ya waisrael wa buza na wa Iran wa yombo ila sioni fact za kutetea Israel kwa vita ya rising lion ya siku 12 nimemaliza uzi kwa kuuliza wako wapi waliosema Iran haiwezi rusha hata jiwe ?
  20. cacutee

    JamiiForums Tanzania Ushauri wapi patanifaa

    Habari zenu wapendwa. Mimi Niko salama. Ninakuja kwenu nikiwaomba wote wenye uzoefu wanisaidie ushauri. Ninatamani kuhamia maeneo ya migodini nikafanyie biashara huko. Nimechoka pia Kuishi ukanda wa pwani ninatamani maisha mapya na watu wapya. Hata kama nitaajiriwa pia huko sio mbaya...
Back
Top Bottom