wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Wale jamaa "USHAHIDI: JINSI MKOJO WANGU WA ASUBUHI ULIVYONIPONYA" waliishia wapi

    Watu wakaoga mamikojoo weee🤣🤣, sijui huko wanaendeleaje Mara sijui akashinda bet ya milioni 250 , aisee wabongo 🤣🤣
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15 mfululizo tangu mwaka 2010. Soma, Pia: Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi CHAUMMA imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi?

    Hivi chaumma imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi? Anyways nani yupo free nimpitie kesho twende tukale mihogo na samaki?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta ma box makubwa matupu , wapi wanauza mabox matupu?

    Habari wadau Wapi wanauza ma box ?
  5. blogger

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Lodi Music? Anajua sana!

    Nimejikuta hapa .. nikamkumbuka. Yuko Wapi now Lodi Music?
  6. LOVE U JF

    JamiiForums Tanzania Hivi siku hizi wako wapi wale waliosema Iran haiwezi kurusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Israel?

    Ndugu kulikua na mtifuano humu jf baina ya waisrael wa buza na wa Iran wa yombo ila sioni fact za kutetea Israel kwa vita ya rising lion ya siku 12 nimemaliza uzi kwa kuuliza wako wapi waliosema Iran haiwezi rusha hata jiwe ?
  7. cacutee

    JamiiForums Tanzania Ushauri wapi patanifaa

    Habari zenu wapendwa. Mimi Niko salama. Ninakuja kwenu nikiwaomba wote wenye uzoefu wanisaidie ushauri. Ninatamani kuhamia maeneo ya migodini nikafanyie biashara huko. Nimechoka pia Kuishi ukanda wa pwani ninatamani maisha mapya na watu wapya. Hata kama nitaajiriwa pia huko sio mbaya...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Yanga waweka bango kubwa za mechi walizo wafunga Simba

  9. evangelical

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amepata wapi mamlaka ya kusema anasitisha shughuli za bunge?

    Jana nimemsikia Samia akisema anasitisha shughuli za bunge tarehe 27 /6/2025 ila Bunge litavunjwa Tarehe 3/8/2025 nimesoma katiba yetu kwanza Ibara ya 65 ambayo inasema. Ninainukuu " 65.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, maisha ya kila Bunge yatakuwa ni muda wa miaka...
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Makamu wa Dr Mpango ?

    Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Trump kasema mpaka sasa Uchumi wa Marekani unafanya vyema je, yule niliyemsahau aliyesema kuwa Tanzania sasa ina Uchumi kuwazidi alizitoa wapi?

    Jamani ifike pahala sasa kama tunajijua kuwa ama tumelewa au tumelala nazo tusiwe tunakurupuka kwani tunaaibika!!
  12. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Nitakufaje? Na lini? Wapi? Nikifanya nini?

    Haya maswali yananizonga sana kichwani mwangu almost kila muda ya yawezekana kila siku na haya mawazo yameanza kuja baada ya kuanza kujitegemea na maisha yangu sijajua kama ni ugonjwa wa akili ama ila ni mawazo ambayo yananifanya niwe karibu au nijitahidi atleast kuwa na karibu na mwenyezimungu...
  13. Dominik Dominik

    JamiiForums Tanzania Wako wapi hawa Makamanda machachali wa Polisi?

    Hello wazee,ni kitambo kama maajabu kutowaona katika pilika pilika za polisi hawa makamanda maana kama wengekuwa ma RPC basi tungesikia tu au kama wanapewa au kuhamishwa vitengo maana kiutaratibu inapotokea kiongozi anahamishwa au kupewa kijiti tunataarifiwa wazi. 1.Kamanda AHMED MSANGI,jembe...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Je maji yalitokea wapi?

    Hail the Prince, "Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji." Hivi maji yalitokea wapi? Nielezeni kwa upole
  15. B

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi "First Gentleman" wetu!!??

    Waungwana ninashangazwa saana kumuona "Mama" akiwa peke yake mda mwingi na katika ziara zake....vipi ""FG"" wetu masahibu gani yamemkuta? ...sio jambo la kawaida....au ndio yale mambo ya Diamond ya ""Niko salaaama sijui wewe ukoo.....ohooo uku nakula nyama kwa nyama ahaaaa sijui wewe uko"
  16. kingphisher

    JamiiForums Tanzania Posta hapa mpira unaoneshwa wapi

    Wakuu, hi ndo ile siku ya Watani wa jadi, Kkoo Derby. na siku yenyewe ni siku ya kazi, hii dabi imenikuta nikiwa kazini hapa Posta, Mtaa wa india (India street), karibu na Sabodo Car Parking. naombeni locations zinazoonesha mpira mta hii, yaani hapa hadi mtaa wa Kisutu kituoni. kama kuna mtu...
  17. Tanzania Nchi Yetu Sote

    JamiiForums Tanzania BAKITA mnakwama wapi?

    Mimi, mmoja wa watumiaji na mdau mkubwa wa lugha ya Kiswahili na mpenda maendeleo ya lugha hii adhimu, ninaandika malalamiko haya kwa masikitiko makubwa juu kukosekana kwa kamusi mtandao ya taasisi kubwa na yenye mamlaka kama BAKITA katika zama hizi za ukuaji wa kasi wa teknolojia. Awali...
  18. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Gwajima kaishia wapi na yuko wapi?

    Askofu Josephat Gwajima sasa kaisha. Kwanini hakujifunza toka kwa Jobless Ndugai juu ya kutotabirika kwa mama yao? Alijionyesha kama mtu anayejiamini kumbe mwoga wa kawaida! Ajirokeze na kupayuka kama mrume kweli tumuone. Japo alikuwa na hoja, hali ilivyo ni ukweli kakimbia hoja na kuangka...
  19. N

    JamiiForums Tanzania SHILAJIT inapatikana wapi Hapa DaresSalaam?

    Nimesoma sana kuhusu hii dawa SHILAJIT. Hasa ile ya kutoka Himalaya lakini sijui kama inapatikana Hapa Dar. Tafadhali mwenye ufafanuzi anielekeze fika gani inapatikana.
  20. R

    JamiiForums Tanzania Makonda kapangiwa wapi?

    nauliza tu maana list ni ndefu sijasoma. Hawa ndio eenye nchi yao, wamiliki, sisi ni wapangaji!
Back
Top Bottom