Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Habari wakuu.
Kuna ndugu yangu amehamishiwa Dar kikazi, ofisi yake iko maeneo ya Ubungo.
Sasa ameniomba ushauri aishi wapi kati ya Tabata Segerea na Kimara ili iwe rahisi kwake kufika kazini.
Kwa kua mimi makazi yangu ni Mbagala Maji Matitu, sina uenyeji wowote maeneo hayo aliyoyataja huyu ndugu yangu.
Naomba kwa wataalam mnipe ushauri ni wapi mbali kama unatoka Ubungo ama unaenda Ubungo kati ya Segerea ama Kimara. Hapa factor ni foleni, yeye ana gari binafsi.
Ahsante.
Kuna ndugu yangu amehamishiwa Dar kikazi, ofisi yake iko maeneo ya Ubungo.
Sasa ameniomba ushauri aishi wapi kati ya Tabata Segerea na Kimara ili iwe rahisi kwake kufika kazini.
Kwa kua mimi makazi yangu ni Mbagala Maji Matitu, sina uenyeji wowote maeneo hayo aliyoyataja huyu ndugu yangu.
Naomba kwa wataalam mnipe ushauri ni wapi mbali kama unatoka Ubungo ama unaenda Ubungo kati ya Segerea ama Kimara. Hapa factor ni foleni, yeye ana gari binafsi.
Ahsante.