Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Imekuwa kurwa na dotto,
Kipindi hiki Simba SC wamepoteana sasa katika kuwaweka sawa mashabiki wanadai kwamba wamechukua kocha wa REAL MADRID kocha wa RONALDO.
Nakumbuka mwaka jana kipindi Yanga wamepoteana ikabidi wadai kwamba wana chukua kocha wa Barcelona Cedric 'Carzelona' Kaze
Pia mwaka Juzi 2019 Ajibu alikuwa Star wa Yanga sasa hivi Simba wamepotena Ajibu Star wa Simba.
UZI TAYARI
POVU RUKHSAA
Kipindi hiki Simba SC wamepoteana sasa katika kuwaweka sawa mashabiki wanadai kwamba wamechukua kocha wa REAL MADRID kocha wa RONALDO.
Nakumbuka mwaka jana kipindi Yanga wamepoteana ikabidi wadai kwamba wana chukua kocha wa Barcelona Cedric 'Carzelona' Kaze
Pia mwaka Juzi 2019 Ajibu alikuwa Star wa Yanga sasa hivi Simba wamepotena Ajibu Star wa Simba.
UZI TAYARI
POVU RUKHSAA