Hali ya waamuzi wa ligi kuu Tanzania ni mbaya, hawajapewa malipo yao tangu mzunguko WA nne WA ligi Kuu,licha ya uwepo wa wadhamini wengi. Si haki hata kidogo watu wanaenda vituoni wanachezesha mechi wengine wanazaidi ya mechi tatu hadi nne bila kupewa pesa yao. Kwa mazingira haya kweli tutapata ligi na matokeo ya haki. Udhamini wenu NBC, AZAM, GSM Unachafuliwa na watu wasio waadilifu hapo Tff na bodi ya ligi. Wadau wa soka wote tuungane kukataa uovu huu