Waamuzi ligi Kuu wadhulumiwa PESA zao tangu mzunguko WA nne,Tff,azam,bodi ya ligi,nbc,gsm mko wapi?

ISOSTACY

Member
Jun 17, 2016
56
68
Hali ya waamuzi wa ligi kuu Tanzania ni mbaya, hawajapewa malipo yao tangu mzunguko WA nne WA ligi Kuu,licha ya uwepo wa wadhamini wengi. Si haki hata kidogo watu wanaenda vituoni wanachezesha mechi wengine wanazaidi ya mechi tatu hadi nne bila kupewa pesa yao. Kwa mazingira haya kweli tutapata ligi na matokeo ya haki. Udhamini wenu NBC, AZAM, GSM Unachafuliwa na watu wasio waadilifu hapo Tff na bodi ya ligi. Wadau wa soka wote tuungane kukataa uovu huu
 
Hali ya waamuzi wa ligi kuu Tanzania ni mbaya, hawajapewa malipo yao tangu mzunguko WA nne WA ligi Kuu,licha ya uwepo wa wadhamini wengi. Si haki hata kidogo watu wanaenda vituoni wanachezesha mechi wengine wanazaidi ya mechi tatu hadi nne bila kupewa pesa yao. Kwa mazingira haya kweli tutapata ligi na matokeo ya haki. Udhamini wenu NBC, AZAM, GSM Unachafuliwa na watu wasio waadilifu hapo Tff na bodi ya ligi. Wadau wa soka wote tuungane kukataa uovu huu
Ya kweli haya kweli
 
Back
Top Bottom