Sijui Tunaelekea wapi!

Sijui Tunaelekea wapi!

MpendaTz

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
2,231
Reaction score
937
Wana JF,
Hapa mengi yanasemwa na maisha ya kijana yanaweza kuwa hatarini nini?
 

Attachments

  • Pole2 Anateta.mp4
    8.2 MB
Mambo aliyoyalea akiwa ameshika hatamu ndio leo anaogopa kufanyiwa, lakini pamoja na yote bado hoja zake zinastahili kujibiwa, na sio kutishwa au vyovyote.

Amezungumzia uwepo wa vitu vinne ndani ya CCM, atakavyofanyiwa mwanachama wao atakae kuwa staright kwa kuhoji.

- Fitna: Kuzushiwa maneno ya uongo na wahuni.

- Zengwe: Kuletewa jambo ambalo atakuwa hajalifanya.

- Kulogwa: Ndio maana akasisitiza anamtumaini Mungu wa mbinguni

- Kuumizwa: Hili kila mmoja analijua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom