wapenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi wapenzi kukopeshana pesa kwa riba?

    Wakuu inakuwaje mwanamke wako asiyefanya biashara ya kukopesha ukimwomba akukopeshe lazima aweke riba ya mwezi mmoja? Hapa kuna mapenzi kweli? Cha kushangaza anataka attention yako balaa. Kila mara SMS & calls. Hii imekaaje? Kukopeshwa sio tatizo, riba ndo tatizo.
  2. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Tupeane machimbo kunapouzwa kitimoto. Pia tubasilishane ujuzi wa mapishi

    Wapendwa, mambo vipi? Tuko hapa kibadilishana mawazo, maarifa, na kujulishana machimbo wanakouza Kitimoto 🐖🐷🐽 katika mikoa mbalimbali na wilaya zake
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Simba na Watanzania kwa ujumla wanataka kujua haya kuhusu uwekezaji wa MO kwenye timu ya Simba

    1. Kisheria ni nani aliyemuuzia MO Simba SC? 2.Ndani ya Simba SC ni nani mwenye mamlaka ya kumuhoji MO? Nje ya Simba SC je? Kama mpo kwa nini msimuhoji? 3. Kwanini MO anaruhusiwa kuchanganya dhana ya ufadhili, dhana ya biashara na dhana ya uongozi kwenye taasisi moja? 4. Je ripoti za...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa movies za Kijapan

    Ukitoa Hollywood, Japan ndiyo wanafuata kwa kutoa movies nzuri na za akili, iwe ni action, drama au animation. Na upande wa animations wanaweza kuwa wanaizidi hollywood. Na ubora wao upo toka miaka hiyo tunatawaliwa. Kama unapenda movies zao share hapa. Hii 11 Rebels ya 2024 ina story na...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa nyama ya kuku inabidi tuanze kufuga wenyewe

    Siku zinazo kuja itakuwa hata ukitaka kupata ganja halisi, itakubidi upande Dar Express au Kilimanjaro Express ukachukue mwenyewe Arusha. Kila kitu kimemuwa fake. Hata hawa wanao itwa Kuku wa kienyeji wana uzwa kwenye mabar wengi ni " Chotara"ambao nao pia watakuwa na madhara kama wa kizungu...
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi Outlander PHEV – SUV kali ya Hybrid na Kuchaji kwa wapenzi wa EV!

    Mitsubishi Outlander PHEV ni moja ya magari ya plug-in hybrid yanayoongoza duniani, likiwa na mchanganyiko wa teknolojia ya engine ya petroli na mfumo wa umeme. Mfumo wa Injini Outlander PHEV inatumia injini ya petrol ya cc 2,000 ikiwa na 4-cylinders, pamoja na mfumo wa umeme unaotoa jumla ya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mawakili wote wanaomshtaki Karia kuhusu endersoment ni wanachama na wapenzi wa Nyuma Mwiko, mnadhalilisha taaluma zenu

    Allyoce Komba, mmoja wa wanachama wa Yanga na wakili wa kujitegemea amefungua shauri kupinga uteuzi wa Karia kuwa mgombea urais wa TFF. Allyoce Komba ambaye amewahi kuwa mwandishi wa gazeti la Nipashe kila mtu anamjua tabia zake, kuwa ni Yanga lia lia. Hoja zote zilizowasilishwa na wenzake...
  8. Binti wa zamani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je unawakumbuka kwa majina watu wote uliokutana nao kimwili?

    Watu wote uliofanya nao s€x unawakumbuka kwa majina na sura au list ni ndefu sana huwezi kukumbuka? Kama hukumbuki majina, unafahamu idadi yao? Kwenye replies za Utamu wa tunda - Part 1 kuna mtu aliniuliza nakumbukaje mdinyo wa miaka 25 iliyopita. Mimi watu wote niliowafurahia na kuwapa chini...
  9. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, Acha Kutembelea Wapenzi Wanaokulemea!Kama unataka uhusiano wenye mafanikio na amani, ni muhimu kuepuka wanawake ambao wanakuleta mzigo

    Wanaume, Acha Kutembelea Wapenzi Wanaokulemea! Kama unataka uhusiano wenye mafanikio na amani, ni muhimu kuepuka wanawake ambao wanakuleta mzigo wa ziada badala ya kukuinua. Hapa kuna alama za mwanamke anayeweza kuwa mzigo (liability) kwako: 1. Mwanamke Asiyekuwa na Pesa za Usafiri Anadai...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Nyimbo za Injili Chimbo letu ni hili

    Kuna wakati roho yako inahitaji zaidi ya maneno – inahitaji wimbo. Wimbo unaogusa nafsi, unaobeba uzima, unaoinua moyo wako kutoka uchovu wa maisha hadi kwenye faraja ya kiroho. Kama unapenda nyimbo za Injili—za kuabudu, kusifu, na kuimarisha imani—basi tumekuwekea kitu cha kipekee. Karibu...
  11. SankaraBoukaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina Umri wa Miaka 40, Nilianza Sex Nikiwa na Miaka 20, Sijawahi Toa Bikra ya Mwanamke Ila Nimekutana Nazo Mbili

    Sasa ndugu zanguni, mimi ni mtu mzima kabisa, nina miaka 40. Nilianza shughuli za watu wazima nikiwa na miaka 20, nikawa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya "unyama wa mwituni", kwa lugha nyepesi—tulianza kupiga mpira miguuni bila viatu. 😂 Katika miaka hii 20 ya utafiti wa "mambo ya ndani", nimepita...
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Magari ya Audi: Kuanzia mwaka 2025 Audi A4 hatunazo tena, zimekua replaced na Audi A5!

    Tumetoka mbali sana na Audi A4, kuanzia mwaka 1994 na hatimaye tumefika mwisho wake baada ya miaka 30. Hadi sasa tumekua na jumla ya generations tano za A4, kuanzia B5 ya mwaka 1994 hadi B9 ya 2015. 1st Gen B5 2nd Gen B6 3rd Gen B7 4th Gen B8 5th Gen B9 Ni moja ya gari nilizowahi zielewa...
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanawake-Hivi huwa Mnafanyaje mkigombana na wapenzi wenu halafu upwiru umekushika

    Kwa wanawake ambao hawapendi kubadilisha wanaume hiyo hali ikikukuta unafanyaje?? Nimegombana na mpenzi wangu sijui wetu week ya pili sasa hatusemeshanii.. Mgomvi ni yeye,, nilimfumania kwenye simu.. toka siku hiyo sijamtafuta naye hajanitafuta.. na mimi siwezi kumtafuta maana hakuna kosa...
  14. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania WAPENZI WA NYIMBO ZA ANJILI NJOONI HAPA

    Kuna utunzi wa nyimbo za injili hakika unakonga nyoyo kuanzia mpangilio wa sauti Hadi upigaji wa ala za muziki Top five ya kwanza zinazo fanya vizuri katika maisha yangu ni hizi hapa 1; AIC Chang'ombe 2; Kwaya ya Mama jus 3;Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama 4;Kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi...
  15. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Efootball

    kwa wapenzi wa Efootball katika harakati za kupunguza stress na kutafuta burudani kwa bei chee karibuni tutengeneze league yetu wenyewe.... Cha kufanya tunatengeneza Group la wasap kwa ajili ya kutuma matokeo ya mechi ya kila mtu.. Nicheki wasap #0753112808 tuma jina la team yako na logo...
  16. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chimbo la wasaliti wengi hili hapa wanapotoka mtoko na wapenzi wao

    Simu huchuja meseji na calls, ni watu fulani tu simu zao zinaweza kuita na meseji zao kuingia, wengine wakiwemo michepuko missed call zao na meseji zitaonekana hadi do not disturb itapoondolewa.
  17. Magwangala

    JamiiForums Tanzania Hii ni dharau ya Injinia Hersi kwa wapenzi wa Yanga

    Badala ya washabiki wa Yanga kuuponda udhamini wa JayRutty kwa kuonesha kuwa anaongea visivyowezekana,wangemtaka Injinia atimize ahadi yake ya kujenga uwanja na kukamilisha ndani ya kipindi cha uongozi wake.Vinginevyo inaonesha kuwa washabiki wa Yanga ni wepesi mno kudanganywa na kusahau.
  18. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia nyengine za wapenzi wetu tusizilaumu sana, pengine alikutana na zimwi kabla yako!

    Ukute alikuwa mtoaji mzuri tu si mchoyo, alikuwa anashare taarifa,pesa n.k Lakini alipokutana na kurumbembe ambalo halikufunzwa kwao likamnyoosha. nayeye binti/kaka wa watu akaona isiwe tabu, Namna yakwenda na hawa walimwengu ni "Jino kwa jino!". kila binadamu huwa ana namna yakujilinda...
  19. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa kusikiliza spoken word

    kama wewe ni mpenzi wa kusikiliza spoken words umeshamsikiliza uyu jamaa wa +254 mwamba Thony Voks, kama bodo mpe sikio kama tayari ipi kali kwako kati ya hizi Thony voks the 1st conversation the 2nd conversation (Hatari) the 3rd conversation (God forgive me) the 4th conversation (Industry )...
  20. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wekeni picha za wapenzi wenu hapa, mtakao toka nao leo 'out'

    Wekeni picha za wapenzi wenu hapa, mtakao toka nao leo 'out' kutokana na kusherehekea hii sikukuu, tuone kama wana vigezo au laa. Tunajua ni chaguo lako, awe ni mrefu, mfupi, mnene, mwembamba n.k; lakini ni muhimu pia kupongezana. Ata kama anaonekana kama mzazi wako, na ana makunyanzi; huyo...
Back
Top Bottom