Victor Mugubi Wanyama (Kenyan English: [wɑˈɲɑːmɑ] (listen); born 25 June 1991) is a Kenyan professional footballer who plays as a defensive midfielder for Major League Soccer club CF Montréal and captains the Kenyan national team.Wanyama became the first ever Kenyan player to score in the UEFA Champions League when he scored the first goal in Celtic's 2–1 win over Barcelona on 7 November 2012. On 11 July 2013, Wanyama moved to Premier League club Southampton for £12.5 million making him the most expensive player sold by a Scottish club, surpassing the £9.5 million Russian club Spartak Moscow paid for Aiden McGeady in 2010.He has earned 60 caps for the Kenyan national team since making his international debut in May 2007 at the age of 15.
Kama kuna ukweli ambao dunia ingekuwa wanadamu wamezidi kuishi mwaka bilioni 1 moja tu ambayo wameishi wanyama na wengine wamekosa basi tungekuwa na mambo mengi.
Siwezi kukubari kuwa mwanadamu alikuwa miaka ya bilioni zaidi ya wanyama.
Ina maana kuwa kuna viumbe vilikuje hapa kutengeneza watu...
Kama usafiri unaweza kubisha hii mada.
Wenzetu unaweza kuwa na jirani na wala msiwe na urafiki na mazoea.
Nchi zilizoendelea ni ngumu sana kuwa na mazoea ya kulazimishana na urafiki kama huku afrika.
Ndio maana wanaruhusiwa kumiliki bunduki wajikinge na CCm wasiojulikana.
Wenzetu wameona...
Ni majumba bora yaliyojengwa na wakandarasi wabobevu lakini wasiojivuna
Ni wakandasi wa viwango wasiotumia hata msumari mmoja wala sementi lakini wanajenga vitu imara sana
Na zaidi hawana fundi maiko wa kuharibu kazi wala kuiba material😀
Katika ulimwengu wa wanyama si kila ugonjwa au majeraha huwatuma kwa daktari kwa sababu hawana! Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, wanyama wengi wamekuwa wakitumia njia zao asilia kujitibu au kupunguza maumivu wanapoumia au kuugua.
Kwa mfano:
Nyani walionekana wakila majani fulani ambayo...
🇿🇦🇹🇿MZEE BABA🇿🇦🇹🇿🇿🇦
Nimekuja kwenu Watanzania kuongea yaliyo moyoni kwangu........
Baada ya uchunguzi wa kutosha na ushahidi upo.....
......MABAHARIA WANASEMA USITOE SIRI YA JANDONI SASA MIMI NATOA SIRI YA JANDONI TUACHE MAJANDO YA KIPUMBAVU YA KUFANYIANA UNYAMA WENYEWE KWA WENYEWE
HAYA SASA...
🇿🇦🇹🇿MZEE BABA🇿🇦🇹🇿🇿🇦
Nimekuja kwenu Watanzania kuongea yaliyo moyoni kwangu........
Baada ya uchunguzi wa kutosha na ushahidi upo.....
......MABAHARIA WANASEMA USITOE SIRI YA JANDONI SASA MIMI NATOA SIRI YA JANDONI TUACHE MAJANDO YA KIPUMBAVU YA KUFANYIANA UNYAMA WENYEWE KWA WENYEWE
HAYA SASA...
KIFARU
KIFARU ni mnyama aliye mkubwa sana na mnene kabisa. Ingawa watu husema kwamba makao yake ni Afrika, wako wengine wa jamii yake Bara Hindi na Java na Sumatra; tena ziko alama za vifaru wa kale karibu kila upande wa Asia. Haya yanaonyesha kwamba zamani vifaru walikuwa wanakaa mahali...
CHUI
KATIKA wanyama wote wanaomshabihi paka hapa Afrika hakuna aliye mkubwa kuliko chui ila simba tu. Urefu wake, chui, toka pua yake mpaka ncha ya mkia wake wapata futi saba na uzito wake ni kama ratili mia na hamsini.
Anajulikana kwa ajili ya uzuri wa ngozi yake yenye madoa meusi.
Madoa...
Tujifunze habari za Wanyama na ndege kutoka kitabu Wanyama na Ndege wa Afrika.
TEMBO
TEMBO au ndovu ndiye aliye mkubwa kuliko wanyama wote wa dunia hii. Anakaa katika makontinenti mawili-yupo Bara Hindi na huku kwetu Afrika. Iko tofauti kati ya tembo hawa wawili. Huyu wa Afrika yu mkubwa...
Suricata (mongoose wa vidole 4) (jina la kisayansi Suricata suricatta) ni mamalia wadogo na wanachama wa familia ya mongoose.
Wanaishi kila mahali katika Jangwa la Kalahari, Botswana na Afrika Kusini. Kundi la suricate linaitwa "gloat", "ceat" au "colonie". Kundi la suricates kawaida huwa na...
Japo tunawadharau, wanyama ni viumbe bora kitabia kuliko wanadamu.
Hawafanyi uchafu hasa chuki na uroho, roho mbaya, tabia mbaya, fitina, majivuno, kunyonyana, kunyongana, wala kuawana kama binadamu. Nadhani ndiyo maana hawatishwi na hekaya za peponi na motoni.
Wanaaminika kuliko binadamu...
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.
Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi...
Leo kazini kwangu imekuja chuma ya mana,pisi Kali mbuga wanyama wanaluka Luka mbuga imenawili uoto wa asili inashawishi watalii kuja kutalii,imejitaidi kunichangamkia sana tokea asubui adi mda huu mchana inatoka inanichangamkia nn ila ikanambia niache kujifanya nipo buys eti nashindwa ata...
Habari wanajukwaa!
Ningependa kujua kwa nini baadhi ya wanyama, hasa mamalia na wengine, hula watoto wao dhaifu au waliokufa mara tu baada ya kuzaliwa. Mara nyingi huwa ni tabia ambayo ipo kwa paka, mbwa, fisi pamoja na wanyama wengine, kwani ni vigumu sana kuona amezaa na kukuta vitoto vyake...
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Utalii aone uwezekano wa kupitia Kanuni za Fidia kwa wanaothiriwa na Wanyama kuvamia mashamba, wakati huohuo amesisitiza Serikali inaendelea kutafuta mbinu mbalimbali za kuwazuia Wanyama kufanya uharibifu huo.
Ameyasema hayo leo Februari 24, 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.