Wanawake kujiuza kwenye mitandao ya kijamii

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Aug 28, 2020
2,204
2,083
Kumezuka tatizo kubwa la wanawake wa kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii.

Pamoja na kwamba wanawake wamepewa ubongo lakini ni wachache sana wenye uwezo wa kuutumia. Wengi wao kuanzia asububi mpaka jioni wanatumia ubongo wao kuwaza HIPS, na Nywele.

Siku zinazidi kwenda wakisubiria kuolewa alafu hawaolewi sasa wanajifia maskini kwa kusubilia wanunuliwe simu, wapewe pesa za bure, na kujengewa nyumba. Ni aibu sana kwa Tanzania

Ni tatizo kubwa sana, hili na linatokana na malezi mabovu ya watoto wa kike kumzoeza kutegemea wanaume badala ya kujitegemea mwenyewe. Hiyo inamfanya mwanamke ajione hawezi kufanya chochote cha kuzalisha pesa zaidi ya kuolewa na mwanamme ili amtunze asipo olewa ndio hivyo anaanza kufanya biashara ya kujiuza.

Lea mtoto wako wakike mfundishe kufanya kazi mbalimbali kwaajili ya maisha yake ya baadaye.

Mwanamke akitumia akili zake vizuri ndio mwenye uwezo wa kuibadirisha jamii. Asilimia kubwa ya wasomi Tanzania wasomeshwa na wanawake.

Wale mnaojiuza acheni biashara haramu ya kujiuza, kukaa uchi, kuchuna, pesa. Tafuteni pesa kihalali wanawake wakiamua, akili zao zinauwezo mkubwa mnoo.
 
Kumezuka tatizo kubwa la wanawake wa kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii.

Pamoja na kwamba wanawake wamepewa ubongo lakini ni wachache sana wenye uwezo wa kuutumia. Wengi wao kuanzia asububi mpaka jioni wanatumia ubongo wao kuwaza HIPS, na Nywele.

Siku zinazidi kwenda wakisubiria kuolewa alafu hawaolewi sasa wanajifia maskini kwa kusubilia wanunuliwe simu, wapewe pesa za bure, na kujengewa nyumba. Ni aibu sana kwa Tanzania

Ni tatizo kubwa sana, hili na linatokana na malezi mabovu ya watoto wa kike kumzoeza kutegemea wanaume badala ya kujitegemea mwenyewe. Hiyo inamfanya mwanamke ajione hawezi kufanya chochote cha kuzalisha pesa zaidi ya kuolewa na mwanamme ili amtunze asipo olewa ndio hivyo anaanza kufanya biashara ya kujiuza.

Lea mtoto wako wakike mfundishe kufanya kazi mbalimbali kwaajili ya maisha yake ya baadaye.

Mwanamke akitumia akili zake vizuri ndio mwenye uwezo wa kuibadirisha jamii. Asilimia kubwa ya wasomi Tanzania wasomeshwa na wanawake.

Wale mnaojiuza acheni biashara haramu ya kujiuza, kukaa uchi, kuchuna, pesa. Tafuteni pesa kihalali wanawake wakiamua, akili zao zinauwezo mkubwa mnoo.
Ukiona kitu kinauzwa ujue kuna wanunuzi.
 
Wakiwepo wanaume wa kuwapa pesa, wanawake hawa hawataacha.

Hivyo, usiangalie upande mmoja tu wa shilingi.
Ndio maana mimi huwa nawashangaa watu wanaowashangaa mashoga huku wakiwaacha watu wao.

Binafsi huwa nashangaa, inakuwaje mwanaume mzima unachukia mwanaume mwenzio na kwenda naye kupiga mashine 🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa kama soko lipo biashara itakufaje ?
 
Ndio maana mimi huwa nawashangaa watu wanaowashangaa mashoga huku wakiwaacha watu wao.

Binafsi huwa nashangaa, inakuwaje mwanaume mzima unachukia mwanaume mwenzio na kwenda naye kupiga mashine 🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa kama soko lipo biashara itakufaje ?
Aisee hebu nifafanulie post yako,sijakuelewa!
 
Nchi za wenzetu wanakata Leseni na wanalipa mapato,
sijui kwanini wanadamu wanawachukia hawa wafanyabiashara
waacheni itakoma km hamtaenda
 
Tukianza kwa kiwafundisha watoto wetu madhara ya kununua huduma hiyo itafaa zaidi.

Vijana wengi wakiwemo watu wazima wapo addicted na hii kitu.
 
Back
Top Bottom