"Kuingia cha kike" inavyoshadadiwa na wanawake wenyewe!

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,712
12,068
Msemo wa "ameingia cha kike" itakua unawahusu Sana wanaume kuingia cha "kike" kuliko wanawake kuingia cha kike.

Utafiti nilifanya, nimegundua, huko wanakoingia ni CHOONI.

Sasa sijajua iwapo mwanaume ataingia cha kike, atashindwaje kukojoa, nilidhani mwanamke akiingia cha kiume, atashindwa kukojoa, cha ajabu msemo wenyewe hautamki Mambo ya "kuingia cha kiume".

Au labda vyoo vya kike ni vichafu Sana, wanawake tuelezeni. Kama ni kusafi, kwanini hamuuchukii huo msemo? Badala yake mnaiimba na kucheza Kwa madaha mnapofika kwenye iyo chorus!!
 
Siku moja pale Kigongo bar Buguruni nilijifanya nimelewa nikaingia choo Cha kike. Aloo. Niliyoyakuta huko Ni kweli kabisa mwanamme ukiingia chakike utakua umebugi big time.
 
Ndio maana nikasema wengi hua wanakosa nguvu, Na sababu kubwa ni kwamba insulin ambayo hutumika kuingiza Glucose (ambayo ndio source of energy) kwenye cell inshindwa kufanya kazi yake.

Matokeo yake Glucose inabaki kwenye Damu, Na ndio maana hata ukienda kupima hua wanaita blood glucose level/test, Ndio ile unakojoa mkojo una sukari, ukiona hivyo ni hatari.

Hii hufanya Cell zikose energy, na kama cell za mwili wako zimekosa energy automatic ni wewe ndio umekosa energy, sababu mwili wako ni muunganiko wa hizo cells.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom