Habari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.