wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dada zetu kama mnajua hampo tayari kuwa Mama na hamuwezi kulea basi jichungeni

    Katika hali isiyo ya kawaida kabisa Jana jioni katika Vichaka vya iliyokuwa Tanganyika Packers Kawe aliokotwa Mtoto wa kati ya miaka Miwili hadi Mitatu wa Kiume akiwa ametelekezwa hapo na Mama yake. Najua Polisi ya Kawe inayo tayari hii taarifa kwani Juhudi kubwa zilifanywa na Walinzi Shirikishi...
  2. Y

    Wanaume tujifunze kupiga deki

    Natumai hamjambo wananzengo Wakuu wanaume wengi tumekua tukilichukulia poa sana suala la kupiga deki (kuzama chumvini) akati ni jambo muhimu sana katika ndoa/mahusiano ya sasa. Imagine upo kwenye mahusiano/ndoa na mdada aliezoea kupigwa deki hadi analimwaga unadhani atakuona sawa kama humpigi...
  3. Mwanamke usishiriki mapenzi na mtu wa aina hii

    Unajituma mwenyewe ukienda kwa boyfriend wako unamfanyia usafi, unampikia, unamfulia nguo, halafu kwa ujinga wako unampa na mapenzi moto moto. Unajikunja mwenyewe kama kambale kwenye sex mtoto wa watu viuno feni na vilio juu vya mahaba, unampa mpaka style za akiba za kwenye ndoa mpaka unataka...
  4. H

    Wanaume anachofanya huyu mwenzenu ni sawa?

    Najua mu wazima wa afya njema, mnaoumwa Mungu awafanyie wepesi mpone haraka. Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri kwenu na kueleweshwa kama ni sahihi kwa mwanaume kuhitaji mpenzi wako akufanyie kila kitu, unachotaka bila ya wewe kumjali? Kumjali namaanisha hujui amekuja kwa nauli gani...
  5. Kwanini Wanaume wengi siku hizi mmegoma kuzama chumvini?

    Nilikuwa naongea na bwashee mmoja WhatsApp baada ya kuletewa Uzi na shogangu WA Yule binti alieng'atwa na mbwa😂😂 Nikamwuliza bwashee kwanini wanaume wengi sikuhizi hampendi kuzama chumvini?! Nyie ndio mnafanya wanawake wengi kununua vimbwa na vipaka vya kuwalambalamba Wanaume wengi mpoo...
  6. Z

    Njoo hapa tulaani ubaguzi unafanya na wadada kuchuna, kutupiga mizinga baadhi wanaume

    Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi. Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga...
  7. P

    Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

    Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua. Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi...
  8. Napenda wanaume Umri mdogo lakini siwapati. Nifanyaje?

    Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe Money Penny: haya nambie mwanangu Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?! Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao? Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo...
  9. Utafiti: Wananchi zaidi ya milioni 2 wanatumia Tumbaku huku wanaume wakiongoza

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo amezindua ripoti ya utafiti wa kiwango cha matumizi ya Tumbaku kwa watu wazima. Taarifa hiyo inahusisha tathmini ya matumizi, watu waliojaribu kuacha, gharama za matumizi, ufikiwaji wa taarifa za madhara Amesema Taarifa inaonesha kuwa watu 4 kati ya 10 (32.9%)...
  10. R

    Wanaume tuwatengeneze warembo wetu

    Salaam kwenu wajomba na ma shangazi, Ujumbe huu uwafikie wanaume wote wawe ni wa Dar au ni wa wapi uko. Wanaume tuache kupenda mteremko, tuache tamaa za kutaka wanawake warembo kirahisi rahisi tu. Wanawake wote ni wazuri, wanatofautina matunzo tu. Sasa wewe hutoi hela kwa mke/mpenzi wako...
  11. Zijue tabia za wanaume wenye vipara

    NAOMBA NIANZE MOJA KWA MOJA KWENYE MADA.BAADHI YAO WANA TABIA KAMA ZIFUATAZO😂😂😂 1.Baadhi yao wanapenda lifi sanaa 2.Baadhi yao wanapenda hela ndogo ndogo sana ukimpa buku utamckia aah hii kubwa sana unakula kabisa hii:D 3.Baadhi yao wanapenda kutoa wosia sana na maneno mengi na hawamalizi...
  12. Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede, Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa, Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu? Kutulia na mke mmoja hamuwezi? BADILIKA TAFADHALI.
  13. Sababu za kiroho kwanini wanaume huchoka na kulala usingizi fofofo mara baada ya kupiga bao

    Madokta uchwara watakwambia " oooh NI Kwa sababu Una Tatizo la nguvu za kiume!!!" Usiwalaumu Kwa sababu hata wao hawajui what is going on . Ndio maana wanaitwa " WAGANGA". Neno Mganga linatokana na Neno " KUGANGA" Kuganga maana yake ni kubahatisha bahatisha. Mfano " Jamaa yupo Mjini ana...
  14. J

    Hii ina ukweli wowote kwa Wanaume wa TZ na kwa wanawake je?

    Wanaume wa Tz hawakuambii it's over ila utapigwa matukio mpaka utakimbia mwenyewe.
  15. GE2020 Jimbo la Kyela linahitaji Mbunge Mwanamke, wanaume wameshindwa kuleta maendeleo

    Kumbukumbu zangu zinaanzia kwa Mh Kasyupa Alipipi , huyu alimshinda Mwakipesile , enzi za Chama Kimoja , nilihudhuria kampeni zilizofanyika Ipande , kijiji cha Bukinga , kwenye eneo la wazi lililojulikana kama MPIKI KIMBWALA , nadhani ilikuwa mwaka 1980 ( niko tayari kusahihishwa ) wakati huo...
  16. Tiba za asili za COVID-19 pia zinaimarisha nguzu za kiume kwa waliokua hatarini kupoteza ndoa zao

    Sasa wakuu mimi binafsi nimeona tiba ya kitunguu swaum , tangawizi malimao yamekuwa mazuri sana kwangu, pia natumia sana habat souda na mrungu rungu katika kujitibu Corona Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini...
  17. Wanawake mnaofanya Kazi katika 'Madawati ya Jinsia' msipokuwa makini na aina ya 'Maswali' yenu kwa Wanaume mtakuja 'Kupigwa' siku moja

    Viswali swali vya Kipuuzi kama hivi msivyovibadilisha Watu wengine kama akina GENTAMYCINE tusio na Uvumilivu mtakuja Kupigwa! 1. Mkeo umefanya naye Mapenzi lini? 2. Huwa una tabia ya Kumkuna hasa Mkeo? 3. Kwa kawaida Mkeo huwa unampiga Bao ngapi? 4. Mara yako ya mwisho Kumkatia Mkeo Viuno...
  18. Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

    Jana katika pita pita zangu mitandaoni nikakutana na lile sakata la yule Bi. Mkubwa aliechezea vitasa mjini Moshi baada ya kuhusishwa na fumanizi flani. Katika hali ambayo iliamsha hisia zangu zaidi ni mahojiano ambayo yalifanyika kati yake na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Anna Mghwira...
  19. Hii ya Dkt. Chriss Mauki mnaionaje wakuu? Huyu si muharibifu wa ndoa za watu?

    Wakuu, huko kwenye twitter nimeona wanaume wakimshambulia Ndugu Chris Mauki kutokana na bandiko lake aliloweka huko kuwa wanaume ambao wanaombwa hela na wake zao na kusema kuwa kuna Jambo nafuatilia kila Siku wanasema hivyo, Chris Mauki anasema kuwa hao wanawake wanapaswa kujua kuwa wameolewa na...
  20. A

    Jinsi ya kuondoa misongo ya mawazo kwa wanaume

    Habari wanna JF. Wanaume siku zote ni watu wanaozungukwa na msongo wa mawazo katika mihangaiko ya kimaisha ha hapa na pale...... Baadhi ya vitu vinavotuletea msongo wa mawazo ni Kama; 1.kuachwa na mwanamke umpendae 2.kumpenda mtu asiekupenda 3.kuwa na madeni lukuki 4.kukata tamaa/kufeli Jambo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…