Zijue tabia za wanaume wenye vipara

Zijue tabia za wanaume wenye vipara

RAKI BIG

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
394
Reaction score
459
NAOMBA NIANZE MOJA KWA MOJA KWENYE MADA.BAADHI YAO WANA TABIA KAMA ZIFUATAZO😂😂😂

1.Baadhi yao wanapenda lifi sanaa
2.Baadhi yao wanapenda hela ndogo ndogo sana ukimpa buku utamckia aah hii kubwa sana unakula kabisa hii😀
3.Baadhi yao wanapenda kutoa wosia sana na maneno mengi na hawamalizi maneno mdomoni
4.hawanaga kazi maalumu wazee wa mishentown yan ukimuuliza sehem flan tu kama dar hakuna asipopajua kama dude
5.waongo waongoooooo
6.Wanapenda kulelewa na majimama
7.wanapenda wanawake wenyewe maziwa makubwaaa
8.alafu wajuaji wa kila kitu kwenye siasa yumo biashara yumo balaa yan
9.alafu stori zake nyingi zakale miaka 70 huko 80 utamckia enzi zetu balaa ili kukuchanganya zvr
10.yeye kila siku anamchongo anafatilia
11.wanapenda kuvaa mashati ya blue bahari nakuchonga o
12.ndio wanaongoza kwa kuitwa wajomba mtaani wao hawana watoto
13.utamckia uncle haujambo nimekumiss


😂😂😂 ni utani tu kama unazo zingine weka

1788613_FB_IMG_15295827537549111.jpg
 
Huu nao ni uzi?[emoji846] Jamiiforums imevamiwa na vihio sana.
 
Katika siku niliyosoma post isiyo akisi wala kushabihiana na ukweli ni leo
 
Back
Top Bottom