wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je, wajua kwanini wanaume wa kikongo hata walioko Tanzania hupenda kuvaa kitajiri wakati ni maskini? Angalia video

    Wanaume wa kikongo hupenda kuvaa kitajiri sana hata kama wanaishi maisha ya chini pa kulala pabovu Sababu yake hiyo hapo
  2. Utegemezi wa Wadada kwa Wanaume au wapenzi wao

    Kwa asilimia kubwa wadada wengi ni wategemezi kwa wanaume au wapenzi wao, hata kama wao wana kazi nzuri inayowalipa vizuri lakini bado watategemea cha mwanaume wake. Kwa hali hiyo wakuu si bora uoe au utafute mpenzi (mdada) ambaye ni jobless tu. Cha kwake ni cha kwake, na cha kwako ni cha kwenu...
  3. Wanaume: Mnapenda wapole au Wanafiki?

    Habari wanajamvi. Nimekuwa najiuliza hili swali, Wanaume mnapenda Mwanamke yipi haswa? Nina marafiki wa kiume na hata kaka zangu ambao huwa naongea nao kuhusu mahusiano. Utakuta yupo na mwanamke muda mrefu halafu Mara tu unasikia ameoa mwanamke mwingine, baadae anataka kumrudia wa zamani awe...
  4. M

    Kuoa wanawake wawili au kuwa na watoto wa mama tofauti kwa dunia ya leo ni kujitafutia matatizo

    Wanaume wenzangu, dunia imeshabadilika. Leo ukiwa na watoto wa mama tofauti kwenye familia yako jua unatengeneza kaa la moto baadae na kuwa na wake wawili ndio kabisa kwa asilimia kubwa unakuwa unajitengenezea jehanamu yako mwenyewe. Nimeshuhudia familia nyingi sana zinavurugana mpaka kufikia...
  5. Kuna wanaume hawana akili kabisa aisee

    Hapa nilipopanga asilimia kubwa tupo vijana wa kiume na wote tuko na mishe zetu, mkubwa ni jamaa mmoja hivi ambae ni Mhandisi kwenye taasisi flani. Huyu jamaa ameoa, sijui yeye na mke wake walikutana vipi lakini mke wake ni mkubwa kwake ana watoto watatu wakubwa, mtoto wake mmoja mkubwa wa kike...
  6. Hivi Magufuli ana shida gani na wanawake? Mbona huwatolea mifano mingi ya kudharirisha au unyonge na kuwatoa uthamani?

    Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere - Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa #JFMagufuli
  7. Mwanaume ni msimamizi wa Mwanamke

    1. Allah alivyotuweka wazi kuwa WANAUME NI WASIMAMIZI WA WANAWAKE. Si tu aliwapa ukichwa tu mjimwambafy. Ni kwamba mtakuja kuulizwa juu ya usimamizi wenu. MAANA YAKE MWANAMKE AKIYUMBA TU UJUE MWAUME ULIYUMBA KWENYE USIMAMIZI WAKO KABLA YA KUYUMBA MWANAMKE. Ukiona mwanamke ameharibikiwa ujue...
  8. M

    Hivi nyie wanaume mkoje?

    Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona. Sijawahi hata kukuona kwa machooo. Hii nikali sana . Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,... Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana?? Watu wengine...
  9. Huenda Wanawake wengi wangekuwa na Hekima na Busara ya hali ya juu kama huyu Dada, basi Ndoa zingedumu na Wanaume tungeacha hata Kuwasaliti

    " Mfano nimekuta mume wangu anacheat na mwanamke mwingine ninayemfahamu, siwezi kumfuata yule mwanamke nikamtukana, nitaanza na mume wangu na kumuuliza kwa sauti ya upole " - Riziki. globalpublishers Tatizo ni kwamba Wanawake wenye Utu, Hekima, Upendo na Busara kama ya huyu Dada Mungu Baba...
  10. Kama mnajua hamna chaji, ya nini kututia shombo?

    Hivi kwanini mnajidhalilisha? Iko hivi, kuna mkaka mmoja alinitoa..anaonekana dume six pack ila hamna kitu kwenye gemu. Eti dakika 5 kashamaliza anahema ka mjusi hata hajielewi, akazima kabisa nikampepea akazinduka hawezi round nyingine. Kama mnajua hamna chaji ya nini kututia shombo?
  11. Pale mume mkomoaji naye anapokutana na wanaume wanaojua kukomoa zaidi yake

    Lawrence Ripple, alienda kuiba benki, lakini baada ya kuiba aliendelea kubaki hapo akisubiri kukamatwa na Polisi. Alipokamatwa na kuhojiwa alidai ni bora akaishi jela kuliko kuendelea kuishi na mke wake mkorofi, baadaye alihukumiwa kifungo cha kukaa nyumbani kwa miezi 6. Chanzo...
  12. Hivi kuna shahawa za wanaume zinazokondesha na nyingine kunenepesha wanawake?

    Kuna rafiki yangu mmoja analalamika kila akifanya ngono na mwanamke yeyote lazima akonde na jamaa ni mzima wa afya na ana watoto wa nje. Ila wanawake wanamwambia ana shahawa mbaya. Je, kuna ukweli hapo?
  13. Hivi nyie wanaume tuwaweke wapi?

    Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu. Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua . Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu...
  14. Iran: Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram

    Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja. Watoto hao wachanga walikua tayari wamenunuliwa kwa hadi dola $500 (£400), na walikua wanauzwa tena kwa dola...
  15. P

    Imenishangaza: Dunia ya leo bado kuna wanaume wanapigana mpaka kuuana kisa mwanamke?

    Nimesikia Habari za Chuo cha Utumishi Tanga, Vijana wamezichapa hadi mmoja akaaga dunia kisa binti Sauda Hussein waliyekuwa wanachangia kimapenzi. Bado najiuliza huyu Sauda alikuwa na utamu kiasi gani? Mpaka hii mijemba kuona chuo kizima ni yeye tu wengine hawafai mpaka wakaanza kumgombania...
  16. D

    Siku ya Baba Duniani: Lady Jaydee akerwa kukithiri kwa rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike. Ujumbe uwafikie Takukuru

    Mwanamziki mkongwe Lady J Dee; ameonesha kukerwa Sana na tabia ya mapromoter, sponsor na mapresenter Kuwataka kingono wasanii wa kike! Adai tabia hiyo inaua Sana ndoto za wasanii hususani chipukizi kuingia kwenye gemu! Salam ziwafikie: Waziri wa Habari na Michezo Takukuru BASATA Swali ni je...
  17. Furaha yetu sisi wanaume ni nini haswa?

    Kwa upande wa wanawake furaha yao ni kuolewa na kuzaa basi. Na endapo mwanamke atakosa hivi wanawake hupata maumivu makali na hujisikia kasoro kwenye jamii. Ni maumivu gani aliyonayo Wema Sepetu au Lady Jay Dee kwa umri huo kukosa mtoto au watoto? Kutokana na maumivu haya hupelekea wanawake...
  18. Baada Dar kuwa mkoani, sasa ni zamu ya wanaume wa Dodoma

    Wanaume wa Dar waliandamwa sana kwa mengi, sasa Dar imekuwa mkoani kama Simiyu, Njombe na Songwe kazi kwenu wanaume wa Dodoma.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…