wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Ukatili wa kiuchumi kwa Wanaume umeongezeka, kunyimwa haki ya kuwa na mtoto pia ni Ukatili

    Msaidizi wa Mratibu wa Dawati la Jinsi na Watoto wa Jeshi la Polisi Tanzania, ACP Faidha Suleiman akiwa katika moja ya majukumu yake ya kutoa elimu kwa wananchi. Licha ya kuzoeleka matukio ya wanaume kuhusika kuwafanyia ukatili wanawake mara nyingi, utafiti umebaini kibao imegeuka na kuna...
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumfungulia biashara mwanamke ni kosa kubwa la kiufundi linalofanywa na wanaume wa kizazi hiki

    Nani kawaroga enyi wanaume wa ki,zazi hiki? Unaanzaje kufanya ujinga huu wa kumuandaa mwanamke ili akuache baadaye? Ndiyo! Kumfungulia mwanamke biashara YAKE ni maandalizi muhimu ya kutaka akuache siku za usoni. Kwasabb unampa uwezo wa kiuchumi ili asimame peke yake. Mwanamke ili atulie kwenye...
  3. Sheffer95

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake huwa mnajisikiaje katika hili?

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwaajili ya siku ya Akina mama wote, pili niwashukuru wanawake wote kwa mioyo yenu ya upendo, uvumilivu, kujali na kila kitu. Ninyi ni mama, dada,wadogo pamoja na wake zetu Ni hivi huwa mnajisikiaje pale tunapokuwa tumewadanganya na majanga yakatukuta na ikabidi...
  4. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume kwanini tunashoboka kwa wanawake wasiotutaka na wenye nyodo?

    Jumatatu asubuhi mida ya breakfast nilitoroka kwenye ka mishe kangu kidogo nikaenda kufungua kinywa kidogo pale Dodoma kuna mgahawa upo karibu na TRA kwa wanaopajua. Ok twende mbele,au basi mbele kote kwanini huko? Well mdogo mdogo. Nikacheki meza ambayo ni empty lakini nikakosa,kutokana na...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Geita: Wanawake wasusiwa mazishi, wanaume wagoma kushiriki kisa wakituhumiwa kuua waume zao

    Wanawake katika Kijiji cha Imaramawazo, Mtaa wa Ibongo, Kata ya Ludete, Wilaya ya Geita wamesusiwa kuchimba kaburi na kufanya mazishi ya Zawadi Mchele mkazi wa kijiji hicho aliyefariki kwa kuugua ghafla, sababu ikiwa ni wanawake hao kuhusishwa na tuhuma za mauaji ya wanaume katika kijiji hicho...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Wanaume ndiyo viumbe pekee wanaoweza kukaa pamoja na kupiga ‘story’ kwa saa 6 bila kujuana majina yao

    Wadau wote hamjamboni? Huo ndiyo ukweli na mashahidi ni wanaume wenyewe Hakuna kuulizana majina zaidi ya kupiga "story" Cha ziada utakachosikia ni wao kuitana kwa majina ya Kiongozi, Mkuu, Mwamba, Chalii wangu au Kamanda wangu n.k kutegemeana na muonekano wako Niwatakie Sabato njema
  7. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Mexico yatajwa nchi hatari zaidi kwa waandishi wa habari 2022

    Shirika la kutetea haki za wanahabari, Reporters without borders limesema Mexico imekuwa nchi hatari zaidi kwa wanahabari wa nje ya maeneo ya vita kwa mwaka 2022 - Luis Enrique Ramirez Ramos amekuwa mwandishi wa habari wa tisa kuuawa nchini Mexico mwaka 2022 katika mwaka ambao umeonekana kuwa...
  8. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Rombo: Kuyumba kiuchumi na kushindwa kulea familia vyasababisha Wanaume kupigwa na Wake zao

    Kuyumba kiuchumi na kushindwa kuwajibika katika malezi ya familia kwa baadhi ya wanaume, kumetajwa kuwa moja ya sababu za kunyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili na wake zao. Hayo yalibainishwa jana na ofisa Mtendaji wa Kata ya Kingachi, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Issa Maringo...
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Waandishi wanaume wananyanyasika kingono lakini hawasemi

    Unyanyasaji wa kingono katika vyombo vya habari umekuwa ukitajwa kutokea mara kadhaa, mara nyingi waathirika wamekuwa wakiathirika kisaikolojia na wakati mwingine kuwafanya kuwa na msongo wa mawazo, mpaka wengine kuamua kuhamia katika taaluma nyingine. Takwimu za Chama cha Magazeti na...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ndo vitoto vinavyonyima usingizi wanaume wa Dar

    Yaani hawa watoto wanawafanya nyie wanaume wa Dar msilale.....
  11. Expensive life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu msiwaonee huruma wanawake mnapokuwa sita kwa sita

    Vidume wenzangu punguzeni huruma kwa wake au wapenzi wenu mnapokuwa kwenye mahaba. Hawa viumbe wamapenda kupigwa paipu za maana si mnaona wenyewe wanavyo tutukana humu jamvini? Wakitoka nje wakikutana na vijana wenye hasira na mbususu wanazisasambua haswa tunaishia kutukanwa kwamba hatuna...
  12. Bata batani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

    Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji. Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuri au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa...
  13. voicer

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

    Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa. Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa! Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani. Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii! Wanaume wa Dar es salaam...
  14. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Mwanaume ambaye hana muda na usafi / utanashati ana haki ya kutongoza Wanawake?

    Sisi wanaume kubanwa na uchumi ni swala la kawaida sana lakini bado haijawahi kutuondolea asili yetu kupenda wanawake. Ila sasa unakuta mtu uchumi umembana lakini hajiongezi japo hata kidogo kwenye hygiene, huyu mtu yupo sawa kweli ? Mtu kavaa jezi siku 2 mfululizo Kuoga kwake ni shida na maji...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Hakuna Mwanamke anayekosa mume wa kumuoa, Ila wapo wanaume wanaokosa wake wa kuwaoa!

    HAKUNA MWANAMKE ANAYEKOSA MUME WA KUOLEWA NAYE. Anaandika, Robert Heriel Kuna uvumi unaoendelea katika jamii zetu za kiafrika kuwa mwanamke akifika umri Fulani anakuwa katika Mazingira magumu ya kuolewa Jambo ambalo sio kweli. Mwanamke anaweza kuolewa katika umri wowote hata akiwa kabibi, Ila...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wanaume wengi wanapenda kunyoa kipara?

    Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu. Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini...
  17. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

    Humu kuna wanaume wanaringa kama nini. Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu. Hawana pesa wala nini wote ni shida. Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment. Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume...
  18. Foxhound

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU Habari wanaJf? Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka 2000, alisema alianzia kwa kufanya mara moja kwa siku hadi ikafikia kipindi siku kwake ikawa...
  19. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

    Mhhh! ni masikitiko makubwa sana kwa wanajamvi tena mwanaume na akili zako timamu unakaa kuvizia ID mpya yenye kajina ambako unafikiri atakuwa msichana. Huo ni ulimbukeni na mwachage hiyo tabia kabisa nyie ndio mnao fanya watu waone JF ni kama badoo kuja na kuja mnataka muombe tunda. Kuna...
  20. bafetimbi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi imeandikwa wapi kwamba sisi wanaume ndiyo tulipie mapenzi?

    Mtu umeenda zako pub moja kali sana kuna warembo wakufa mtu cha ajabu unaonesha kuwa interested na mazi flani hata kampani umnunulie kinywaji mpige stori muda uende mtu anakwambia bila aibu miimi bao moja 70,000 what the hell is this? Kwani yeye hawezi kunilipa hiyo70,000 kwa kummwagia bao langu...
Back
Top Bottom