Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Mimi ni kijana in my 20's miaka michache iliopita nilikuwa tongoza tongoza na nilikuwa nabadilisha sketi, nkaacha, badae nikawa na tabia ya kununua makahaba wanaojiuza barabarani, baada ya muda nilipima hivi Mara mbili, nikajikuta niko salama, Nilijitafakari na sikuona faida wala tuzo ya hayo yote niliofanya hapo juu, zaidi ya kujiweka kwenye risk ya kupata Ukimwi.
Cha kushangaza naona kuna wanaume wengine wana miaka 36, hadi 70 wanatongoza ovyo na Kufanya ngono hovyo na wadada tofauti, kama vile wamebalehe jana.
Mimi ni Mwanaume 100% straight, rijali, kiafya niko fresh, ila sahivi love interest na wanawake sina kabisaa, kununua makahaba nimeacha zamani, Sahivi mpaka nimtongoze mdada ni mpaka awe amenivutia sana vinginevyo nampotezea, hata akija ghetto akikaa uchi mbele yangu au akijitongozesha namkataa tu.
Hili ni badiliko la tabia? Au nayo ni steji tu
Cha kushangaza naona kuna wanaume wengine wana miaka 36, hadi 70 wanatongoza ovyo na Kufanya ngono hovyo na wadada tofauti, kama vile wamebalehe jana.
Mimi ni Mwanaume 100% straight, rijali, kiafya niko fresh, ila sahivi love interest na wanawake sina kabisaa, kununua makahaba nimeacha zamani, Sahivi mpaka nimtongoze mdada ni mpaka awe amenivutia sana vinginevyo nampotezea, hata akija ghetto akikaa uchi mbele yangu au akijitongozesha namkataa tu.
Hili ni badiliko la tabia? Au nayo ni steji tu