Hivi wanawake wananusa kama mbwa?

Buzi Maarufu

JF-Expert Member
Oct 30, 2019
423
330
Kuna Jamaa alikuwa akiambiwa na mkewe, huyu Aisha vipi mbona anajiachia sana kwako hakuheshimu Kama Mjomba wake? Jamaa akawa anamjibu mkewe acha mambo ya kipumbavu, Sasa wewe unahisi nini mpaka unaongea hivyo, unajua kabisa huyu ni mtoto wa dada, wacha mambo yako ya ajabu ajabu.

Mara kadhaa mkewe akawa anahisi Aisha anamzengea Mjomba wake (Mumewe) lakini kutokana na majibu ya ukali ya mumewe ikabidi awe mpole tu hana namna.

Aisha akapatwa na jipu chini ya kitovu lilimsumbua muda mrefu sana zunguka huku na kule bila mafanikio yoyote,siku ya siku baada ya hali kuwa mbaya akajipiga picha kwenye jipu akamtumia Mjomba wake, akamwambia hivi "Anko hii ndiyo hali nnayopitia mwanao ,Ankowe kuona ile hali akachanganyikiwa ikabidi aanze kuzunguka naye kwa Wataalam wa jadi na wa kisasa.

Walienda kwa mtaalam mmoja wa jadi akampaka dawa mgonjwa kisha akawaambia wasubiri saa nne jipu likamuliwe ,baada ya saa nne kupita kazi ya kukamua akapewa Mjomba ,baada ya wiki kadhaa Aisha akawa amepona kabisa.

Kwakuwa Mjomba alisha shikashika tumbo la Aisha akawa anatamani arudie tena kulishikashika,akashindwa kuidhibiti ile tamaa siku ya siku akamtuma ujumbe 'Aisha na mimi nina jjbu sehemu za siri staki anikamue yeyote isipokuwa wewe,Aisha akajibu "usijali Anko kwakuwa nawewe ulinisaidia nitakukamua.

Wakapanga sehemu ya kukutana Jamaa akiwa ameandaa condom tayari kwa ajili ya uzinzi,Aisha akashtuka kuona Anko wake anatoa condom na kumwambia avue nguo amkamue jipu,Aisha akaanza kujitetea "hiki unachokitaka Mjomba hakiwezekani wewe ni Kama baba yangu , Mjomba ni baba ,Anko naye akakomaa apewe mchezo purukshani zikaanza mara myuuu kitu tayari kimezama.

Mpaka sasa hawa watu ni wapenzi na mke wa jamaa hajui kinachoendelea. Maswali ninayojiuliza ,Je wanawake wananusa usaliti Kama ambavyo wanyama wananusa mawindo/maadui? Aisha hakuwahi kufikiria Kama Kuna siku atatembea na Mjomba wake, Mjomba hakuwahi kuona dalili zozote za kuviziwa na Aisha , lakini mkewe Jamaa alikuwa anahisi Aisha anamtaka Mjomba wake, wenye kufahamu nipeni elimu.
 
Kama Aisha alikuwa anammendea mjomba wake sasa kwanini siku anataka kuliwa alikataa mpaka ankoli ulitumia nguvu?

Au alikataa kusudi ili aonekane hakuanza yeye?
 
Kuna Jamaa alikuwa akiambiwa na mkewe, huyu Aisha vipi mbona anajiachia sana kwako hakuheshimu Kama Mjomba wake? Jamaa akawa anamjibu mkewe acha mambo ya kipumbavu, Sasa wewe unahisi nini mpaka unaongea hivyo,
Hii story alikuhadisia nani ? Aisha au mjomba wake ?
 
Back
Top Bottom