kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,290
- 1,655
Habari za asubuhi wote mlio hai humu!!!
Jana nikiwa natoka kazini nikawa natembea kwa mguu kutoka maeneo ya Posta kwenda kupanda treni kulekea Pugu kwa kutumia treni ya TAZARA (ndio zangu daily) ghafla ubongo wangu ukanasa aina mpya ya wazo, akili ikaniambia hebu angalia wapita njia na walio kwenye gari ndogo na daladala zilipo kwenye foleni.
Sikuamini aisee! Si kama zamani unakuta aidha kwenye gari ndogo utakuta wengi wapo na wapendwa wao, aidha ni vichenchedi, wana ndoa waliopitiana makazini na kurudi pamoja jioni au wachumba au ata michepuko.
Kwa wanandoa utawagundua kwa kununiana, na hao wengine utawagundua kwa furaha zao na kwa mchepuko utagundua kwani mwanamke utakuta kajiachia mpaka miguu ameegesha kwenye dash-board, da!!!
Kwenye daladala utagundua kwa kumuona mwanadada kamwekea jirani yake kichwa mabegani n.k, na watembea kwa miguu wenzangu utawaona wameshikana mikono wakitembea kwa furaha, ama wamekaa kwenye vivuli wakifurahi.
Sasa jana bhana nimeona tofauti aisee! Kuanzia pale J.M nilipotokea, pale penyewe kwenye eneo la vyakula na vinywaji kila jinsia ilikua ki-vyake, hamna wa kumjali mwenzake wala kumkonyeza na wala kukaa pamoja kwa jinsia tofautiwahida Wahindi na Waarabu (wachina na ndo kabisaa, kila munu kinyake)
Basi bhana, safari ikaanzia hapo nikatoka nje ya mjengo nakuanza kutembea taratibu, huku miti ikirudi nyumalakini magari yakinipita. Wakati mwingine magari nayapita{foleni}, basi kazi yangu ikawa kupiga chabo ndani ya magari, da!!! midume tupu au mijike tupu, au mixer lakini kila m2 yupo kwenye simu anadukua na wengi wao wanapeana lift, wengine wanalipia buku 2 hadi GOMS, Huyoooo!! kufika pale kwenye super market ya manji{sijui inaitwa PUGU COMPLEX!!!}
Ah! Nikaona kwa vile bado saa limoja treni lisepe,nikaona bado nina muda, ngoja nako niakaone nilichokiona huko nilkotoka kama ni kweli aithee!! ni yaleyale jamaa!!! sijui wa2 wamezoea ule mtindo wa keep distance wakati wa CORONA au vipi.
Basi nikatoka hapo nikaendelea kuchapa raba hadi ndani ya behewa namba 2015, haya kwenye behewa langu nako mambo ni yaleyale, utakuta midume mitatu demu mmoja wamekaa pamoja au midume miwili nademu wawili {viti vya kuangalia} hapo ndo kabisaaaa!!! Midume utasikia yakibishana kwa sauti mpaka kero,"oooh!!mayele noma babu, mwingine chama balaa, mwakani lazima tuchukue kombe la shirikisho AFRIKA!
Wale madem nao wamesinzia au wanachati...da!!!!nikajiuliza hawa hawana GENYE au?..,nikashukia MAJOHE,nikaona nipitie bar moja inaitwa 4WAY PUB kwa mzee URIO nipate kongoro na bia mbili nikalale. Looooh! Midume imekaa pamoja inazungusiana raundi mingine ipo kaunta kivyao, wanawake nao kivyao{wachache mpaka wanatia huruma}
Nikaamua niwaeleze wenzangu walichonieleza nipigwa butwaaa,mmoja alisema"ah, nani anataka presha, m2 unam2nza m2 alaf unakuja gundua hauko peke yako"..mwingine akasema"sitaki stretena"
Mwingine tena"aisee massawe,usiniondolee mood au nahama meza!!"Da!! na pale mezani nii mmoja tu mwenye wengine wote watano tuliobaki 2po singo a.k.a 2METENGANA na sisi ambao 2po singo ndo 2menawiri na ndio 2liowai kwenda kupumzika na kumwacha mwenye mke pale akiendelea KUMWAGILIA MOYO na asubui leo nimempigia simu na kumuuliza"athee jana umeondoka saa ngapi?"...akanijibu " athee mathawe, ilibidi nichukue chumba nilale palepale, manake shemeji yako alinipigia simu ya vitisho kwa kusema kwamba lala hukohuko na malaya zako, ukitubutu kurudi naanzisha timbwili la ASHA NGEDERE, si unkumbuka mara ya mwisho nilivyovunjavunja vya icho kigari cha ko namba B?
Basi mdogo wangu mathawe,niliogopa kurudi manake ata 2kipigana huwa ananizidi kutokana na mimi unakuta nimeshalewa"GAME OVER wanaume wenzangu, sijui ninyi mnaonaje huko makwenu?
Jana nikiwa natoka kazini nikawa natembea kwa mguu kutoka maeneo ya Posta kwenda kupanda treni kulekea Pugu kwa kutumia treni ya TAZARA (ndio zangu daily) ghafla ubongo wangu ukanasa aina mpya ya wazo, akili ikaniambia hebu angalia wapita njia na walio kwenye gari ndogo na daladala zilipo kwenye foleni.
Sikuamini aisee! Si kama zamani unakuta aidha kwenye gari ndogo utakuta wengi wapo na wapendwa wao, aidha ni vichenchedi, wana ndoa waliopitiana makazini na kurudi pamoja jioni au wachumba au ata michepuko.
Kwa wanandoa utawagundua kwa kununiana, na hao wengine utawagundua kwa furaha zao na kwa mchepuko utagundua kwani mwanamke utakuta kajiachia mpaka miguu ameegesha kwenye dash-board, da!!!
Kwenye daladala utagundua kwa kumuona mwanadada kamwekea jirani yake kichwa mabegani n.k, na watembea kwa miguu wenzangu utawaona wameshikana mikono wakitembea kwa furaha, ama wamekaa kwenye vivuli wakifurahi.
Sasa jana bhana nimeona tofauti aisee! Kuanzia pale J.M nilipotokea, pale penyewe kwenye eneo la vyakula na vinywaji kila jinsia ilikua ki-vyake, hamna wa kumjali mwenzake wala kumkonyeza na wala kukaa pamoja kwa jinsia tofautiwahida Wahindi na Waarabu (wachina na ndo kabisaa, kila munu kinyake)
Basi bhana, safari ikaanzia hapo nikatoka nje ya mjengo nakuanza kutembea taratibu, huku miti ikirudi nyumalakini magari yakinipita. Wakati mwingine magari nayapita{foleni}, basi kazi yangu ikawa kupiga chabo ndani ya magari, da!!! midume tupu au mijike tupu, au mixer lakini kila m2 yupo kwenye simu anadukua na wengi wao wanapeana lift, wengine wanalipia buku 2 hadi GOMS, Huyoooo!! kufika pale kwenye super market ya manji{sijui inaitwa PUGU COMPLEX!!!}
Ah! Nikaona kwa vile bado saa limoja treni lisepe,nikaona bado nina muda, ngoja nako niakaone nilichokiona huko nilkotoka kama ni kweli aithee!! ni yaleyale jamaa!!! sijui wa2 wamezoea ule mtindo wa keep distance wakati wa CORONA au vipi.
Basi nikatoka hapo nikaendelea kuchapa raba hadi ndani ya behewa namba 2015, haya kwenye behewa langu nako mambo ni yaleyale, utakuta midume mitatu demu mmoja wamekaa pamoja au midume miwili nademu wawili {viti vya kuangalia} hapo ndo kabisaaaa!!! Midume utasikia yakibishana kwa sauti mpaka kero,"oooh!!mayele noma babu, mwingine chama balaa, mwakani lazima tuchukue kombe la shirikisho AFRIKA!
Wale madem nao wamesinzia au wanachati...da!!!!nikajiuliza hawa hawana GENYE au?..,nikashukia MAJOHE,nikaona nipitie bar moja inaitwa 4WAY PUB kwa mzee URIO nipate kongoro na bia mbili nikalale. Looooh! Midume imekaa pamoja inazungusiana raundi mingine ipo kaunta kivyao, wanawake nao kivyao{wachache mpaka wanatia huruma}
Nikaamua niwaeleze wenzangu walichonieleza nipigwa butwaaa,mmoja alisema"ah, nani anataka presha, m2 unam2nza m2 alaf unakuja gundua hauko peke yako"..mwingine akasema"sitaki stretena"
Mwingine tena"aisee massawe,usiniondolee mood au nahama meza!!"Da!! na pale mezani nii mmoja tu mwenye wengine wote watano tuliobaki 2po singo a.k.a 2METENGANA na sisi ambao 2po singo ndo 2menawiri na ndio 2liowai kwenda kupumzika na kumwacha mwenye mke pale akiendelea KUMWAGILIA MOYO na asubui leo nimempigia simu na kumuuliza"athee jana umeondoka saa ngapi?"...akanijibu " athee mathawe, ilibidi nichukue chumba nilale palepale, manake shemeji yako alinipigia simu ya vitisho kwa kusema kwamba lala hukohuko na malaya zako, ukitubutu kurudi naanzisha timbwili la ASHA NGEDERE, si unkumbuka mara ya mwisho nilivyovunjavunja vya icho kigari cha ko namba B?
Basi mdogo wangu mathawe,niliogopa kurudi manake ata 2kipigana huwa ananizidi kutokana na mimi unakuta nimeshalewa"GAME OVER wanaume wenzangu, sijui ninyi mnaonaje huko makwenu?