PALE MFALME ANAPOGEUKA WATU WAKE!
Anaandika, Robert Heriel
Pale Mfalme anapogeuka watu wake, Raia wa nchi yake hugeuka Watumwa wa Wageni. Wananchi hutumikishwa na Wageni, hufanywa vijakazi na vikaragosi,
Pale Mfalme anapogeuka Nchi yake, Raia hugeuzwa vibarua pasipo barua ya Mkataba, ilhali...