Kwa nini Zungu anaachwa kuendelea kuupotosha umma?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,826
35,827
Amesikika Zungu akiongelea masuala ya Internet:



Zungu hana ufahamu wowote wa kuhusu Internet zaidi ya kuwa yeye ni mtumiaji kama mtu mwingine tu.

Cha kushangaza ni kuwa ameachwa kuendelea na upotoshaji wake tena kwa raha zake.

Wataalam, TCRA, wasomi, vyuo nk wapo ila wote kimya! Utadhani wamemwagiwa maji. Hii ndiyo Tanzania sasa, nani mwenye kumfunga pale kengele?

"Kabla ya kuandika uzi huu ilibidi kujridhisha kwa kupata maoni ya wadau mbali mbali wakiwamo wabobezi kweli kweli."

Hapa chini ndiyo ulio ukweli:

1. Internet ni mtandao uliokua kimataifa kufika sehemu mbali mbali kwa wahitaji kujiunganisha kutokea katika sehemu ya karibu ulipo (point of presence).

2. Gateways ni points za kuingilia kuliko na internet kunapokuwepo pia vifaa husika vya kuwezesha kujiunganisha kwenye hizo points of presence. Vifaa hivyo vya kujiunganisha hapo navyo huitwa jina hilo "gateways." Kwa maana yake gateway ni kifaa au mahali.

3. Gateways (vifaa) zaidi vinaweza kutumika mahali pengine kwa wateja kwa ajili ya usalama wa watumiaji kwenye eneo fulani.

4. Kuweza kuwa mtoa huduma (ISP) yahitaji uwekezaji mkubwa wenye kuhusisha minara ya simu, masafa, nyaya, majenereta nk. Huo ni nje (outdoor) bado wa ndani (indoor) wenye kuhitaji servers, viyoyozi, na vifaa bwerere.

Zungu anapokomaa na kwamba gateway iko nje anajua anachokiongea au hata kuwa ana lenga nini?

U ISP upi anaowaongelea vijana na internet cafe zipi kwenye zama hizi ambazo internet Iko kwenye simu kiganjani?

Watu wa aina ya kina Zungu wanaochomoza kuudanganya umma ni muhimu wakaaswa kuachana na wasiyoyajua.

Ni muhimu wakaelekezwa kujikita kwenye tuliyowategemea kuyafanya. Yaani kuwatetea na kuwawakilisha wananchi dhidi ya serikali.

Kwani kodi zote stahiki, Zungu analipa? Kwani malipo yake yana nasibu uhalisia gani ikilinganishwa na tunayolipwa waajiriwa wengine?

Mnaowakamua tozo na kodi ni wazazi wao hawa:

IMG_20220925_111125_211.jpg


Kulikoni kutudhania hamnazo?
 
Amesikika Zungu akiongelea masuala ya Internet:

View attachment 2367444

Zungu hana ufahamu wowote wa kuhusu Internet zaidi ya kuwa yeye ni mtumiaji kama mtu mwingine tu.

Cha kushangaza ni kuwa ameachwa kuendelea na upotoshaji wake tena kwa raha zake.

Zungu: Ipeni nafasi Serikali ifanye kazi

Wataalam, TCRA, wasomi, vyuo nk wapo ila wote kimya! Utadhani wamemwagiwa maji.

Kabla ya kuandika uzi huu ilibidi kujridhisha kwa kupata maoni ya wadau mbali mbali wakiwamo wabobezi. Hapa chini ndiyo ulio ukweli:

1. Internet ni mtandao uliokua kimataifa kufika sehemu mbali mbali kwa wahitaji kujiunganisha kutokea katika sehemu ya karibu ulipo (point of presence).

2. Gateways ni points za kuingilia kuliko na internet kunapokuwepo pia vifaa husika vya kuwezesha kujiunganisha kwenye hizo points of presence. Vifaa hivyo vya kujiunganisha hapo navyo huitwa jina hilo "gateways." Kwa maana yake gateway ni kifaa au mahali.

3. Gateways (vifaa) zaidi vinaweza kutumika mahali pengine kwa wateja kwa ajili ya usalama wa watumiaji kwenye eneo fulani.

4. Kuweza kuwa mtoa huduma (ISP) yahitaji uwekezaji mkubwa wenye kuhusisha minara ya simu, masafa, nyaya, majenereta nk. Huo ni nje (outdoor) bado wa ndani wenye kuhitaji servers, viyoyozi, na vifaa bwerere.

Zungu anapokomaa na kwamba gateway iko nje anajua anachokiongea au hata kuwa ana lenga nini?

U ISP upi anaowaongelea vijana na internet cafe zipi kwenye zama hizi ambazo internet Iko kwenye simu kiganjani?

Watu wa aina ya kina Zungu wanaochomoza kuudanganya umma ni muhimu wakaaswa kuachana na haya wasiyoyajua.

Ni muhimu wakaelekezwa kujikita kwenye tuliyowategemea kuyafanya. Yaani kuwatetea na kuwawakilisha wananchi dhidi ya serikali.

Kwani kodi zote stahiki Zungu analipa? Kwani malipo yake yanasibu uhalisia gani kilinganisha na tunayolipwa waajiriwa wengine?

Mnaowakamua tozo na kodi ni wazazi wao hawa:

View attachment 2367443

Kulikoni kutudhania hamnazo?
Ndugu yangu wee. Umesahau kuwa uko nchi ambayo mwanasiasa ni mtaalam wa kila kitu? Alitokea mpotoshaji mmoja akaipotosha nchi nzima kuhusu Covid mpaka ilipompata ulisikia watu wanathubutu kuzungumza?
 
Hawana la kusema zaidi ya kujifanya mabingwa uchwara wa IT.

Subirini tuchukue nchi. Watarejesha vyote wanavyopora huku wakitupiga hadithi za uongo na kweli za ma gateway wasiyoyajua.
Mchukue nchi? Ya kusadikika?????
 
Ni mbumbumbu, ukweli ndio huo. Jamaa hamna kitu upstairs.

Watakuwa wanafanya damage control kila akiropoka, au wamshauri aache kutoa maoni ajikite kwenye kusimamia mijadala tu.

Watu hawa bila kuwaambia wanacho bwabwaja ni upuuzi wataendelea.

Kwani TCRA hawajui kuwa ya Zungu ni ush*zi mtupu?
 
Kuweza kuwa mtoa huduma (ISP) yahitaji uwekezaji mkubwa wenye kuhusisha minara ya simu, masafa, nyaya, majenereta nk. Huo ni nje (outdoor) bado wa ndani (indoor) wenye kuhitaji servers, viyoyozi, na vifaa bwerere.
Nchi yetu haiwezi kushindwa kununua hivi vifaa na kutengeneza gateway yetu ili nchi nyingine zije kujiunganisha kwetu. Hiki ndicho Zungu anachoshauri. Tatizo liko wapi katika ushauri huo?
 
Nchi yetu haiwezi kushindwa kununua hivi vifaa na kutengeneza gateway yetu ili nchi nyingine zije kujiunganisha kwetu. Hiki ndicho Zungu anachoshauri. Tatizo liko wapi katika ushauri huo?

Kama nilivyoeleweshwa na hatimaye kuandika, ninakuona ndugu kuwa angalau wewe labda una ufahamu zaidi kuliko hata Zungu. Zingatia wewe unauliza wakati Zungu ananena!

Iko hivi:

1. Gateway ni mahali au Kifaa. Mahali, kunako na point of presence of internet au Kifaa, kinacho wekwa kwenye point hiyo.

Pia Gateways (vifaa) huwekwa kwenye baadhi ya sehemu kwa usalama wa watumiaji kwenye ofisi au eneo fulani.

Gateways, vifaa nchini viko lukuki. Gateways mahali kwamba tayari Kuna internet nchini walipoungwa wengine, kupo lukuki.

2. Kwamba tayari zipo points of presence lukuki nchini pia gateways lukuki walikoungwa wateja, suala la kununua vifaa Ili kutengeneza gateway ipi ya nini linatokea wapi basi ndugu?

Hapa ndipo linakuja lile swala la mtu kubwabwaja tu asichokuwa na ufahamu nacho. Akiachwa mtu kama huyu kuendelea kupuyanga tu, anaweza kudhani mwerevu ni yeye.

Ushauri wa bure kwa jamii hii ya kina Zungu. 'Wasiyokuwa na weledi nayo waachane nayo.'

Sana sana tutawashukuru mno wakilipa kodi tu, wasizolipa.
 
Amesikika Zungu akiongelea masuala ya Internet:

View attachment 2367444

Zungu hana ufahamu wowote wa kuhusu Internet zaidi ya kuwa yeye ni mtumiaji kama mtu mwingine tu.

Cha kushangaza ni kuwa ameachwa kuendelea na upotoshaji wake tena kwa raha zake.

Wataalam, TCRA, wasomi, vyuo nk wapo ila wote kimya! Utadhani wamemwagiwa maji. Hii ndiyo Tanzania sasa, nani mwenye kumfunga pale kengele?

"Kabla ya kuandika uzi huu ilibidi kujridhisha kwa kupata maoni ya wadau mbali mbali wakiwamo wabobezi kweli kweli."

Hapa chini ndiyo ulio ukweli:

1. Internet ni mtandao uliokua kimataifa kufika sehemu mbali mbali kwa wahitaji kujiunganisha kutokea katika sehemu ya karibu ulipo (point of presence).

2. Gateways ni points za kuingilia kuliko na internet kunapokuwepo pia vifaa husika vya kuwezesha kujiunganisha kwenye hizo points of presence. Vifaa hivyo vya kujiunganisha hapo navyo huitwa jina hilo "gateways." Kwa maana yake gateway ni kifaa au mahali.

3. Gateways (vifaa) zaidi vinaweza kutumika mahali pengine kwa wateja kwa ajili ya usalama wa watumiaji kwenye eneo fulani.

4. Kuweza kuwa mtoa huduma (ISP) yahitaji uwekezaji mkubwa wenye kuhusisha minara ya simu, masafa, nyaya, majenereta nk. Huo ni nje (outdoor) bado wa ndani (indoor) wenye kuhitaji servers, viyoyozi, na vifaa bwerere.

Zungu anapokomaa na kwamba gateway iko nje anajua anachokiongea au hata kuwa ana lenga nini?

U ISP upi anaowaongelea vijana na internet cafe zipi kwenye zama hizi ambazo internet Iko kwenye simu kiganjani?

Watu wa aina ya kina Zungu wanaochomoza kuudanganya umma ni muhimu wakaaswa kuachana na wasiyoyajua.

Ni muhimu wakaelekezwa kujikita kwenye tuliyowategemea kuyafanya. Yaani kuwatetea na kuwawakilisha wananchi dhidi ya serikali.

Kwani kodi zote stahiki, Zungu analipa? Kwani malipo yake yana nasibu uhalisia gani ikilinganishwa na tunayolipwa waajiriwa wengine?

Mnaowakamua tozo na kodi ni wazazi wao hawa:

View attachment 2367443

Kulikoni kutudhania hamnazo?
Zungu hajawahi kuwa na Akili hata kidogo Ukiwa makini utamjua vzr sana.Mambo mengi ambayo huwa anapendekeza unaweza ukaanza kuhoji chimbuko lake.MUNGU Ibariki Tanzania.
 
Naibu Spika anayefanya kazi kwa maslahi ya chama chake na serikali.

Huko ulikompeleka kwenye ISP, gateways, etc umemuonea sana, huyu jamaa hajui hata jukumu lake la msingi kama NS na mbunge.

Badala ya kutumia kiti chake kuwasemea wale waliomchagua wanaolalamikia tozo, au watanzania kwa ujumla, amegeuka kuwadi wao.

Amewageuka hawa anafurahia wanavyolalamika, na ajabu zaidi, anazidi kujiona mjanja kuwaongezea mzigo mwingine kama alivyowapatia mzigo wa tozo, huu ndio ubunifu anaosifiwa kuwa nao.
 
Naibu Spika anayefanya kazi kwa maslahi ya chama chake na serikali.

Huko ulikompeleka kwenye ISP, gateways, etc umemuonea sana, huyu jamaa hajui hata jukumu lake la msingi kama NS na mbunge.

Badala ya kutumia kiti chake kuwasemea wale waliomchagua wanaolalamikia tozo, au watanzania kwa ujumla, amegeuka kuwadi wao.

Amewageuka hawa anafurahia wanavyolalamika, na ajabu zaidi, anazidi kujiona mjanja kuwaongezea mzigo mwingine kama alivyowapatia mzigo wa tozo, huu ndio ubunifu anaosifiwa kuwa nao.

Katiba Mpya itapendeza kuwa na vifungu vya wazi vya kuwatia adabu wabunge uchwara kama huyu wasioujua wajibu wao.
 
Zungu hajawahi kuwa na Akili hata kidogo Ukiwa makini utamjua vzr sana.Mambo mengi ambayo huwa anapendekeza unaweza ukaanza kuhoji chimbuko lake.MUNGU Ibariki Tanzania.

Ni vyema mtu huyu akafahamu tunafahamu ni mweupe na hata huku anakotaka kujifichia nako hana lolote la maana.

Kwa hakika ni heri akakaa kimya.
 
Back
Top Bottom