Nasema hivi, hatutakuja kupata tena nafasi nzuri na kwa muda muafaka wa kutengeneza katiba mpya iliyo nzuri kama sasa, namaanisha wakati wa utawala wa rais wetu mpendwa mama Samia Suluhu Hassan.
Zingatia na kumbuka yafuatayo:
1) Rais wa sasa anakubalika katika pande zote za Muungano, na...