Sasa ni wakati wetu Zanzibar kuitawala Tanganyika

AeIoU

Senior Member
Mar 14, 2008
178
139
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rufiji kuondokana na utegemezi wa umeme toka bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!
 
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aneachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rifiji kuondokana na utegemezi wa umeme toks bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!

Tanzania haitawaliwi inaongozwa naona kuna watu wana fikra za kiarabu. Tawala ni neno la kiarabu hatuna tawala sisi
 
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rufiji kuondokana na utegemezi wa umeme toka bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!
Yote hayo yakijengwa Zanzibar itakuwa lmejaa. Watu wataishi wapi?
 
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rufiji kuondokana na utegemezi wa umeme toka bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!
Kuitawala tanganyika kupitia huyo rais aliyebebwa na katiba? Kweye kura hapati hata theluthi..
 
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rufiji kuondokana na utegemezi wa umeme toka bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!
Mna rais
Mna ZRA
Mna baraza la mawaziri na wawakilishi
Mna kila kitu cha kwenu, mmeshindwa kujenga unavyotaka kwa pesa zenu unataka ujenge kwa pesa ya bara?

Shilingi ngapi tunachukua toka zenji? Tunawaingilia kwenye maamuzi yenu? Usimponze mama, mna nafasi ya kufanya kila kitu bila kuingiliwa na bara, fanyeni
 
Wewe sio Mzanzibar... Umeweka bandiko hili kusudi ili kuamsha hisia za chuki dhidi ya Mama yetu! Bila shaka wewe ni Sukumagang au Tagas, hakunaga mzanzibar mwenye ujasiri wa kuharibu au kunajisi jina la Mwenyezi Mungu kama ulivyofanya wewe hapo!
 
Acha ulalamishi kijana. Zanzibar tayari ina per capita income na HDI kubwa kuliko asilimia kubwa ya mikoa ya bara. Kwa lugha nyingine watu wa Zanzibar wana maisha mazuri kuliko wabara walio wengi.
Kama unaishi Zanzibar na maisha ni magumu unahitaji kujifikiria.
 
Tanzania inatawaliwa haiongozwi. Ingekuwa inaongozwa wananchi wangeweza kuwaondoa watu kama Sabaya au Bashite mamlakani.
Tanzania haitawaliwi inaongozwa naona kuna watu wana fikra za kiarabu. Tawala ni neno la kiarabu hatuna tawala sisi
 
Zanzibar ni Wake zetu sisi Watanganyika. Tuliwaoa rasmi 26/04/1964 mchana kweupe, kwa Ndoa takatifu mbele ya halaiki ya Watanganyika na Wazanzibari.

Kwa Bahati mbaya au nzuri Washenga na waliofungisha Ndoa hii hawapo na hawatakuwepo tena. Walishafanya kazi yao.

Kwahiyo haya malalamiko ni maneno tu ya kawaida ya mwanamke ndani ya Ndoa yake, hayavunji ndoa na talaka hatutoi asilani.

Wazanzibari kaeni kwa kutulia tu.
 
Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar mwaka 1964 tumekuwa tunatawaliwa na Watanganyika na kupangiwa nani awe Rais wa Zanzibar kwa kupitia vikao vya CCM Dodoma, hata huyo Mzee Mwinyi hakuwa mzanzibar mwenzetu ila ni mlowezi toka kisawawe pwani huko Tanganyika.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu subaana huwataala sasa ametupatia Rais wa Muungano Mama Yetu kipenzi Samia S. Hassan na ndio imekuwa kwa mara ya kwanza na sisi wa Zanzibar tunaitawala Tanganyika.

Kwa mapendekezo na maoni tuu aachana na mambo ya dodoma na kuja kuiendeleza Unguja yetu kwa kujenga ikulu kubwa kama ya Dodoma, Chuo Kikuu kikubwa kuliko hata Udom, hospital ya Rufaa kubwa tuu kuliko hata Muhimbili, chanzo kikubwa cha umeme huku kwetu kuliko hata Mwl Nyerere Rufiji kuondokana na utegemezi wa umeme toka bara Kiwanja cha Ndege kikubwa tuu kama JNIA, barabara na miundombinu mingi mizuri, kuwavutia wawekezaji zaidi kwa upande wetu huku ili kukuza uchumi na kutengeneza ajira za uhakika kwa vijana wetu huku visiwani.

Hutalaumiwa kamwe na atakayekuuliza tutamjibu kwa hoja kwa nini hawakuhoji wakati mwendazake akifanya hayo huko bara especially "Chato"

ZANZIBAR HOYEEE ! Na kazi iendelee na Ihamie Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibar!!!!!
Mawazo ya kichofu na dua la kuku. Iitawale vipi wakati imekaliwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom